Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nyie mna majengo ya aina hiyo ila sera mbovu, hivyo hamna faida kwa nchi.
Korea waliopigana vita mwaka 1954 na tukawa tunawazidi kiuchumi, mwaka 1958 walikuwa na hali mbaya, ila leo wanatengeneza simu za Samsung huku Tanzania chini ya CCM kwa miaka 60 sasa, inahangaika na matundu ya choo-John Heche.
Korea waliopigana vita mwaka 1954 na tukawa tunawazidi kiuchumi, mwaka 1958 walikuwa na hali mbaya, ila leo wanatengeneza simu za Samsung huku Tanzania chini ya CCM kwa miaka 60 sasa, inahangaika na matundu ya choo-John Heche.