Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwa hiyl sera yenu nzuri ndio imefanikisha hilo jengo hapoNyie mna majengo ya aina hiyo ila sera mbovu, hivyo hamna faida kwa nchi.
Utadhani kina iriziSijui Chadema wanakapendea nini hako kajengo miaka yote.
Huna Akili kabisa unafananisha Chama chenye Serikali kinachotumia hela za Serikali na Chama kichanga kisicho na Serikali Akili au MatopeMiaka yote hiyo kumbe mnatokea hapa[emoji23], nimesikia mnazindua CHADEMA Digital Marekani na bado makao makuu ni hapa. View attachment 1884546
Kwa hio hapo ni ile nyumba yenu ya urithi?Na hapo pamepangishwa
Ukweli unauma.Hamia Korea.
Na sababu ya hao wengine kushindwa hata kumiliki ofisi nzuri ni ulemavu wa akili.Sababu ya hao wengine kua na jengo kubwa la ghorofa, ni kutapeli wananchi. Kudhulumu rasilimali za taifa, na unyonyaji uliopitiliza!
Wakija hapa utasikia Mwamba tuvushe[emoji23][emoji23][emoji23] mwamba kashindwa kutoa hata nyumba yake 1 iwe ofisi.Na hapo pamepangishwa
Kwahiyo majengo yakukodi kama la CHADEMA ndo yanaleta maendeleo? Kama kiongozi kashindwa kujenga ofisi ataweza kujenga nchi?Pale unapikuta mwenye akili km wewe na unajiita msomi kwa kufikiria majengo mazuri ndo yataondoa umasikini wako hapo, em amka bhana, unaaibisha jukwaa hili