Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USIJALI MKUU,dah sijui nafanya nini mimi jamani.pesa ambayo ilikuwa ya matumizi ya nyumbani na nauli ya mdogo wangu kwenda shuleni niliingia ushawishi nikaipeleka kwenye forex.
najuta sijui ntafanya nini mimi na sina sehemu ya kukopa sina mchele wala unga ndani,upumbavu wangu mimi kuipeleka laki tatu yote kwenye forex.
Sina hata senti tano mpaka hivi sasa wakuu naomba ushauri nifanye nini mimi.
Sio mara moja huwa napatapata hela ila mara hii nimeingia tamaa daah.
Nimelose trade ya kwanza nikataka kurevenge.
Naomba msaada wenu jamani nafanyaje mimi.
Niuzie simu yako uliyotumia kuandika hii threaddah sijui nafanya nini mimi jamani.pesa ambayo ilikuwa ya matumizi ya nyumbani na nauli ya mdogo wangu kwenda shuleni niliingia ushawishi nikaipeleka kwenye forex.
najuta sijui ntafanya nini mimi na sina sehemu ya kukopa sina mchele wala unga ndani,upumbavu wangu mimi kuipeleka laki tatu yote kwenye forex.
Sina hata senti tano mpaka hivi sasa wakuu naomba ushauri nifanye nini mimi.
Sio mara moja huwa napatapata hela ila mara hii nimeingia tamaa daah.
Nimelose trade ya kwanza nikataka kurevenge.
Naomba msaada wenu jamani nafanyaje mimi.
Wapigie simu huwa wanakopesha unacheza tena.Daa mkuu nimevurugwa haswa
Halafu na hela kidogo iliyobaki nayo ukainunulia bundle ili uje uji trendishe mitandaoni. Ama kweli wewe ni sikio la kufadah sijui nafanya nini mimi jamani.pesa ambayo ilikuwa ya matumizi ya nyumbani na nauli ya mdogo wangu kwenda shuleni niliingia ushawishi nikaipeleka kwenye forex.
najuta sijui ntafanya nini mimi na sina sehemu ya kukopa sina mchele wala unga ndani,upumbavu wangu mimi kuipeleka laki tatu yote kwenye forex.
Sina hata senti tano mpaka hivi sasa wakuu naomba ushauri nifanye nini mimi.
Sio mara moja huwa napatapata hela ila mara hii nimeingia tamaa daah.
Nimelose trade ya kwanza nikataka kurevenge.
Naomba msaada wenu jamani nafanyaje mimi.
Huu ndo msaada wa kibingwa, asipokuelewa basi tena.Niuzie simu yako uliyotumia kuandika hii thread
Betting hata ukiliwa unaona kabsa nimeliwa kihalaliHii forex imemfanya jirani yangu kitu mbaya sana yaani muda wote kama chizi ukimuuliza kuhusu forex na aanze kuonyesha flow ya pesa
Halafu kuna wajinga wa forex wanatuponda sisi wa betting wakati sisi tunacheza vitu real yaani kama leo Girona 3- Athletico Madrid 2 halafu naweka mia yangu natulia tuli
Wewe ni ME au KE? Umeliwa nini? Hahahahaaa!!!dah sijui nafanya nini mimi jamani.pesa ambayo ilikuwa ya matumizi ya nyumbani na nauli ya mdogo wangu kwenda shuleni niliingia ushawishi nikaipeleka kwenye forex.
najuta sijui ntafanya nini mimi na sina sehemu ya kukopa sina mchele wala unga ndani,upumbavu wangu mimi kuipeleka laki tatu yote kwenye forex.
Sina hata senti tano mpaka hivi sasa wakuu naomba ushauri nifanye nini mimi.
Sio mara moja huwa napatapata hela ila mara hii nimeingia tamaa daah.
Nimelose trade ya kwanza nikataka kurevenge.
Naomba msaada wenu jamani nafanyaje mimi.
Naunga mkono hojaCheza tena utakula
Ova
We mpumbavu kwerikweridah sijui nafanya nini mimi jamani.pesa ambayo ilikuwa ya matumizi ya nyumbani na nauli ya mdogo wangu kwenda shuleni niliingia ushawishi nikaipeleka kwenye forex.
najuta sijui ntafanya nini mimi na sina sehemu ya kukopa sina mchele wala unga ndani,upumbavu wangu mimi kuipeleka laki tatu yote kwenye forex.
Sina hata senti tano mpaka hivi sasa wakuu naomba ushauri nifanye nini mimi.
Sio mara moja huwa napatapata hela ila mara hii nimeingia tamaa daah.
Nimelose trade ya kwanza nikataka kurevenge.
Naomba msaada wenu jamani nafanyaje mimi.