Nimeliwa baada ya kutrade forex hela ya matumizi ya nyumba na nauli ya mdogo wangu kwenda shule.

Kuna jamaa yangu naona amedhamilia kabisa kuniingiza na Mimi huko forex,maana yupo busy kunishawishi usiku na mchana mara anionyeshe sijui ametoa pesa dollar [emoji383] kadhaa...basi tabu tupu.
 
Forex is not for everybody!
 
Endelea kutengeneza videos na memes zilushe mtandaoni hiyo ni biashara nzuri sana. Acha kutoa ushauri indirectly kwa watu wanaofanya forex kwasababu hawatokusikiliza wewe idiot.
 

hyo ndio sura yako!!
we lia tu hamna mtu atakuelewa kwa iyo sura! we kua tu strong
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…