Unaweza kupata,lakin itakua vyuo vya kawaida vya bei ghali pia,,,ushindan n mwingi kwa nini usiende six ujaze msuli ufahulu vizuri uunge degree moja kwa mojaLakini comb ya PCB haijabalance kwani kupitia chuo itakuwa vigumu mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kupata,lakin itakua vyuo vya kawaida vya bei ghali pia,,,ushindan n mwingi kwa nini usiende six ujaze msuli ufahulu vizuri uunge degree moja kwa mojaLakini comb ya PCB haijabalance kwani kupitia chuo itakuwa vigumu mno
1 machame cotcJe?ni vyuo vipi bora kwa diploma ya clinical medicine
Kuna jamaa humu ameniambia kuna vyuo vya kuweza kupata 75%first class GPA kama vipi mkuu1 machame cotc
2kibaha cotc
3sengerema
4Mafinga cotc
5kilosa cotc
6mtwara
7kcmc pia wanatoa
NAkumbuka baadhi ya hivi kwa kua ni vikongwe sana na nimesoma kimojawapo miaka ya zamani ila sasa hiv vyuo vimeshakua n vingi sana
Sio kweliNenda endelea na advance,,baadae itakusumbua sana kuja kusoma udaktari chuo kizuri kwa kutokua na chet cha form six
Sawa, aendeSio kweli
Any privateKuna jamaa humu ameniambia kuna vyuo vya kuweza kupata 75%first class GPA kama vipi mkuu
Hizo GPA unazitafuta hupewi mzesKuna jamaa humu ameniambia kuna vyuo vya kuweza kupata 75%first class GPA kama vipi mkuu
Sijakupata mkuu vizuri unamaanisha nini?Hizo GPA unazitafuta hupewi mzes
Tafuta chuo ukasome hakuna GPA inayokuja kubwa bila juhudi vyuo nilivyokuorodheshea hapo utapata skills nzuri n juu yako ukomae kupata ufaulu mzuriSijakupata mkuu vizuri unamaanisha nini?
Uzuri vina hospitali piaTafuta chuo ukasome hakuna GPA inayokuja kubwa bila juhudi vyuo nilivyokuorodheshea hapo utapata skills nzuri n juu yako ukomae kupata ufaulu mzuri
I'm appreciateUzuri vina hospitali pia
Kuhusu upambanaji mimi nimpambanaji kwa matokeo hayo ni kutokana na shule za kataUzuri vina hospitali pia
Omba hivyo vyuo hapoKuhusu upambanaji mimi nimpambanaji kwa matokeo hayo ni kutokana na shule za kata
🙏 🙏 🙏 🙏 🙏Cha kufanya ni kusoma clinical medicine, vyuo vipo vingi sana baada ya hapo hakikisha unapata GPA kuanzia ya 3.0 kama vigezo vinavyotaka ila kujihakikishia nafasi unaweza kuscore GPA kuanzia ya 4.0 hapo unaweza kuwa MD ila ikigima nenda kozi nyingine ambazo ni nzuri pia
Kama lengo lako ni kusoma MD basi nenda kasome form6 PCB. Kama ukikosa serikali basi kaaply private.Matokeo yapo kama hivi
Civ C
Bio C
Chem B
English B
Phy D
Math D
History B
Kisw B
Nitumie njia ipi ili nitimize ndoto yangu ya MD kupitia Diploma ya clinical medicine
Hata hiyo diploma kupata nafasi ya degree ya MD itamsumbua na wenda asisome kabisa kwa ushindani uliopo.Komaas PCB ....upate Div 3 uone kama utaenda Dip miaka 3.....then uunge MD 5yrs....la sivyo utasumbuka sanaa bila form 6
Kazi sana apige Dip aende AMO....basi inatosha sanaaaa......kama njia hiyo ni ndefu sanaaaaHata hiyo diploma kupata nafasi ya degree ya MD itamsumbua na wenda asisome kabisa kwa ushindani uliopo.
NB: Unadhani muhimbili pakiwa na nafasi moja imebaki alafu akaapply form6 mwenye 1.3 au 1.4 pcb na CO mwenye gpa ya 4.9 unadhani nani atapewa hiyo nafasi moja? (Jibu unalo).