Nimemaliza kidato cha nne, napenda kusoma MD

Kazi sana apige Dip aende AMO....basi inatosha sanaaaa......kama njia hiyo ni ndefu sanaaaa
AMO sio MD na yeye anataka MD na sio AMO. Ndio maana nikamshauri kama kweli kapata hiyo div1 kwa juhudi zake akasome PCB hata private. Tena atafute private zile za dini na akishapata nafasi kabla hajaanza shule ahakikishe anasoma twishen walau topic moja au mbili kwenye kila somo.
 
Ushahuri muhimu huu nimemshahuri nenda six hao diploma nafasi n chache sana sa hv
 
Na nasikia bugando enyewe hawachagui ambae hakwenda A level ila ana diploma so sijui ka ni kweli kwa hapo ila sikubzinavyozid vigezo vitakua vingi ili kupunguza jam kimojawapo utaambiwa udaktari licha ya diploma lazima uwe na chet ya form six
 
Matokeo yapo kama hivi
Civ C
Bio C
Chem B
English B
Phy D
Math D
History B
Kisw B

Nitumie njia ipi ili nitimize ndoto yangu ya MD kupitia Diploma ya clinical medicine
science and laboratory dit mwanza then piga biomedical dit dar es salaam
 
Lo! Form six Gani aende na PCB point 9, Shule ipi hiyo?
Labda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…