Hapana sio lazima iwe kila mara nipe nikupe but kuna ule utayari wa kuhudumia anapohitajika upo?Umenifurahisha kwaiyo hupew had utoe huduma?
Kwakua unajua sina ujanja ehhahah toa ruhusa
Can you elaborate more for clear understanding?Thank God i am no longer a beta. 150k?? I be damned. Even when i was weak i wasnt so stupid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv kuna wanawake wanaozingua kutoa mzigo achen masihara banaHapana sio lazima iwe kila mara nipe nikupe but kuna ule utayari wa kuhudumia anapohitajika upo?
Kuna mwingine yeye anataka akikohoa tu apewe lakini ikifika muda na jamaa ana mahitaji naye anaanza sound makusudi...huyo apauke tu🤣🤣🤣
Lakini mimi sina wa hivyo
Hujui tu, kuna wanawake wazinguaji mnooHv kuna wanawake wanaozingua kutoa mzigo achen masihara bana
Nyingi ngapi
Sio sawaHujui tu, kuna wanawake wazinguaji mnoo
Kwa kweli wanakera.Sio sawa
Maisha yana mengi sana mkuu.Kwakweli sie wa 200k sio maslay queen hatujui kuvaa sio classic acha wafe na stress hivo ela anavomwaga angekuwa amefanyia kitu Cha maana huenda angekuwa na mwanamke mwenye akili angekuwa na nyumba hata 2😀😀😀
Yes kama kuna kuombana hayo sio mahusianoKwa kweli wanakera.
Mnapokuwa wapenzi inapendeza kila mmoja ajali hitaji la mwenzake.
Isipokuwa labda kuna wakati hana ...nawe ke umwelewe
[emoji23][emoji23][emoji23] aiseee
Kumbe muelewa, basi nitakupa siri 3Yes kama kuna kuombana hayo sio mahusiano
Mtu asiyejulikana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
NipeKumbe muelewa, basi nitakupa siri 3
Hauko siriaz...sebuleni kabisa???Nipe
Mleta mada ndio kashanyoosha mikono 😂Mambo ya viuno sijui sana, lakini kwa mada hii, mtoa mada ni wale wanaopenda pisi kali. Sa pisi kali zinakamua mifuko daddekkk..wanawake wasioomba hela, hawana tako, sura zao za kawaida na vijichunusi vya hapa.na pale, most of the times wanajielewa sana na wako serious na maisha. Lakini unafikiri watu aina ya mleta mada watawataka??? Wanafata wenye chura, ndo wanaishia kugharamikia chura...ndegelec..😅😅😅😅
Nikitoa nakula 🏃🏃🏃Kuanzia laki… vijana wenzangu wanaolisha ukoo hiyo laki akupe kwa mkupuoo subutu labda kama hajakupa pesa miezi miwili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤭Mleta mada ndio kashanyoosha mikono 😂
Itabidi arudi kwetu sisi wenye vijichunusi vya hapa na pale...hata hivyo kei si ile ile 🤣
Fumbaf sana wewe dada🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mleta mada ndio kashanyoosha mikono 😂
Itabidi arudi kwetu sisi wenye vijichunusi vya hapa na pale...hata hivyo kei si ile ile 🤣