Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Hahah kwakweli Yani Hadi nimetamani iyo laki na nusu angenipa Mimi nikaongezea kuku bandani kwangu nikafuga angebarikiwa sana kuliko kuitupa namna iyoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kachezewa akili sio akili ya kawaida ukisoma chat yao
 
Sasa wewe umechukua samaki wa mapambo yule wa kupendezesha sebule kwenye kasha la kioo lenye maji unataka kumfanya kitoweo. Unafikiri wanaochukua vibua ni vichaa?

Si kila mwanamke anafaa kwa uhusiano, wengine wameletwa kutuongezea msongo wa mawazo tu.
 
Dah! Hamna mke hapoo, ukisikia kuchunwa ndo hukoo afu ukiendelea nae atakupiga hasara then atakujibu shombooo utatokwa kamasi wiki.Temaa mbona mazii nyingii classic zipo zinambwela tu.
 
Hao kudeal nao simple tu, ila kama mko string attached fuata vile moyo wako unataka.

mwanamke anaekupenda kamwe hawezi kukuomba hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…