Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Sina kondisheni lkn😂😂😂Ila nyie mna mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina kondisheni lkn😂😂😂Ila nyie mna mambo
Kweli kabisaMaisha yana mengi sana mkuu.
Acha wakome wanakera sana yani mtiririko wa sms tu unaonyesha mdada ni dangaji lililokubuhu,😂😂😂Huna huruma dada
Hahah kwakweli Yani Hadi nimetamani iyo laki na nusu angenipa Mimi nikaongezea kuku bandani kwangu nikafuga angebarikiwa sana kuliko kuitupa namna iyo😀😀😀Acha wakome wanakera sana yani mtiririko wa sms tu unaonyesha mdada ni dangaji lililokubuhu,
100%Acha wakome wanakera sana yani mtiririko wa sms tu unaonyesha mdada ni dangaji lililokubuhu,
Kachezewa akili sio akili ya kawaida ukisoma chat yaoHahah kwakweli Yani Hadi nimetamani iyo laki na nusu angenipa Mimi nikaongezea kuku bandani kwangu nikafuga angebarikiwa sana kuliko kuitupa namna iyo😀😀😀
Zaidi ya mjasiriamwili100%
Huyo sio mke mtarajiwa...ni majasiria mili
Sasa wewe umechukua samaki wa mapambo yule wa kupendezesha sebule kwenye kasha la kioo lenye maji unataka kumfanya kitoweo. Unafikiri wanaochukua vibua ni vichaa?Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Si naye alipewa kitu?🤣Hahah kwakweli Yani Hadi nimetamani iyo laki na nusu angenipa Mimi nikaongezea kuku bandani kwangu nikafuga angebarikiwa sana kuliko kuitupa namna iyo😀😀😀
😂😂😂KwakweliSi naye alipewa kitu?🤣
So nawe ungempa?😂😂😂Kwakweli
Ela yake na anatishiwa pia😀Kachezewa akili sio akili ya kawaida ukisoma chat yao
Have a drink babeNi chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....
Kuna wanawake wajinga sana.Ela yake na anatishiwa pia😀
Kuna wanawake na majanamke hilo ni janamke aisee, 😂Ela yake na anatishiwa pia😀
Nimependa jibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....
Unakuta service yenyewe ya kiwaki tu.Ni chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....