Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
Kwa ajili ya kutafuta amani ya moyo. Milioni kitu gani?Dah, sina cha kukushauri mkuu wangu. Maana nami yalisha nokuta nikaacha mahari yangu ikaliwa hivihivi.
Wazazi funzeni adabu watoto wenu, mnatutia hasara. Ona sasa kijana wa watu anatamani hata kuacha milion zake za mahari. So sad🥲
Mbususu ndo mvivu kinyamaa bora na kwngneYaan Mimi mwanamke akiwa mvivu nashangaa Sana
Ina maana yeye kazi yake ni kutoa tu mbususu basi...!!?
[emoji1787][emoji1787]Hiyo niliwai kufanya kwa mmarangu mmoja aisee hata nilikohamia uswazi kweli kweli sijui alijuaje kaniibukia na mbanga zote nirudi kwangu.
[emoji1787][emoji1787]Tukiwaambia KATAA NDOA mnatuona wabaya ona sasa ushatapeliwa tayari unakuja kulia huku. Kimbia haraka kabla hujaendelea kutapeliwa.
NDOA NI UTAPELI.
Ahhhhh wapi.Ushauri wa hovyo kabisa huu. Asipoondoka je?
kama ni porini? kwamba usiende kwenye senta/kijijiUnapogundua umepitiliza kituo cha kushukia, shukia hapo hapo, usiache ufike Mbali zaid
umenena mkuu.Pole sana. Kawaida, wanawake wa kizazi hiki wanafanana. Kama Kuna kilichokuvutia Toka mwanzo Hadi ukatoa mahari basi ng'ang'ania hicho.
Mfunze taratibu na umueleze unachokitaka au unachokitegemea katika maisha yenu ya ndoa.
Inachukua muda kufikia hatua ya kubalance Tabia zenu katika ndoa ukizingatia kila mtu alikuwa na maisha yake kabla ya kuoana.
Usichoke mapema. Bora shetani umjuaye kuliko malaika usie mjua.
Ashakuambia mtu mwenyewe ni mbabe kwa staili hio si atamchoma kisu cha kifuani akiwa usingiziniAnza kuchepuka,
Kisha Simu ondoa password
Nakuhakikishia atakimbia mwnyw[emoji4]
Hapo umeoa tatizo mkuuMbususu ndo mvivu kinyamaa bora na kwngne
Bilionaire kekeman uko na mpira, mbele yako yupo Onyango, utashindwa kufunga?Ukishaachana nae njoo kwangu mtoto wa kimakunduchi mie
Sijui anataka kumuachia nani furushi lakeUmefunga ndoa? Hizo sababu hazitoshi kuacha mke. Mke anaachwa tu Kwa sababu nzito nzito. Kama kuchepuka, muuaji, kapata kichaa, mlevi wa kupindukia!
Gubu halitoshi kumuacha mkuu beba mzigo wako
Mkuu hii imenikuta namimi nipo kwny wakati mgumu sanaDah, sina cha kukushauri mkuu wangu. Maana nami yalisha nokuta nikaacha mahari yangu ikaliwa hivihivi.
Wazazi funzeni adabu watoto wenu, mnatutia hasara. Ona sasa kijana wa watu anatamani hata kuacha milion zake za mahari. So sad🥲
sambaza namba yake hapa watu wajue cha kufanya shap. unajibaraguza kutaka kuacha mke, wanaoacha huwa wanaaga?Aisee hii mindset ya kusema kabila fulani ni mzuri halafu kabila lingine ni mbaya ni kitu kubaya sana aisee asikuambie mtu wakuu na unatakiwa kuindoa hiyo mindaet kabisa
Miezi kadhaa nilimchumbia binti mmoja wa kabila la kanda ya ziwa mkoa wa simiyu yeye ni Mkristo (Msabato) mie ni ni mlokole hopefully kuweza kumbadilisha dini yake aisee nilichokuja kukutana nae najuta kabisa na mbaya zaidi nilitoa mahari milioni kadhaa aisee
Binti ana hasira,mbabe na sometime ni mvivu kitu ambacho sikukitegemea, yaani kwasasa nimemchoka natamani nimpige chini ila nashindwa nianzie wapi na wazazi wake niwaambie nini?