Nimemchukia mke wangu

Fanya hiv mkuu kuokoa ndoa yako.Mfanye mkeo ni mchepuko,mpe ingalau robo ya mshahara wako,badala ya hiyo nusu unayoipeleka kwa michepuko nje.Anza kumpenda.utashangaa mambo yanageuka.Haya mambo yamechagizwa na kuchepuka kwako.umeshatengeneza hisia kiroho.Yaani in short umesababisha wewe.

Huwa inatokea wanawake kupoteza hamu ya tendo hasa pale anapokuhisi unacheat
 
Moja ya Njia rahisi ya kumfanya mumeo akuchukie na asikuhudumie ni kumnyima sex,kumpangia sex au kumpa kwa masharti.


Kuhusu kumchukia mtoto ni ujinga wako mwenyewe sababu hupaswi kumchukia mtoto unapaswa kutoa maamuzi ya usaliti uliofanyiwa kama ushahidi upo nasi kulia lia...

Wanawake:inawezekana mwanaume anatelekeza mke na familia

Majibu ndo yapo kwenye huu uzi.
 
Mleta mada kwa maelezo yako pamoja na kutoa lawama kwa mkeo ni wazi kwamba wewe hasa ndiye mwenye matatizo mengi yakiwemo ya kisaikolojia, inaonekana bado HUNA maarifa na uzoefu wa masuala mengi ya ndoa na uhusiano kwa jumla, nakushauri utafute msaada wa kisaikolojia, anza kusoma hata vitabu ili ujiongezee maarifa. Kama hujui wapi pa kuanzia tafuta kitabu kinaitwa Fungate ya Milele, utajifunza mengi sana, ukikwama nitafute pembeni
 
Pole sana ni vizuri ukashirikisha wazazi wa pande zote mbili ikibidi hata viongozi wa Dini, kwanini akunyime haki yako ya msingi ya Ndoa?
Tatizo kubwa hata wakienda kusuluhishana mambo ya msingi yanayofanya wagombane hatasema. Watasuluhisha hewa tu.

Unafikiri atasema mbele za wakwe au mshenga kwamba mke wangu ananinyima papuchi?

Hakuna kitu kigumu kama kusuluhisha ndoa.
 
Hilo kwamba kuna tatizo la kunyimwa uchi inawezekana lipo lakini ni mara ngapi humu tumesoma ME wakilalamika kunyimwa uchi kwa visingizio mbali mbali hadi wengine kuomba uchi wa house girl na wengine hata kufikiria kuwaoa HG? Kuhusu KE kunyimwa gegedo nimesoma labda moja tu au mbili lakini za ME kulalama kunyimwa uchi ni milioni 😜😜😜
Kitendo cha mkeo kukunyima haki yako ya ndoa inaonesha kuna tatizo ambalo hapa kwenye uzi wako umekataa kuandika.Umenishangaza kuweka chuki kwa mtoto kisa hajafafa nawe uzi wako kuna vitu vingi umefukia ili unekane u sahihi.
 
Mpendwa nijuavyo sex ni hisia jiulize kwa nini mkewe agome kumpa haki yake ina maana hana hamu ya tendo. Kuna kipindi inafikia kwenye mahusiano hutamani hata kiss kutoka kwa mwenzio hii yote inatokea baada ya migogoro ya mara kwa mara.
 
Melezo yako yamejaa hisia nyingi za maumivu , na hapo amekufikisha mke wako, sasa kitu ambacho sijasikia nikwamba umefanya jitihada gani za kimazungumzo kuweka mambo sawa wewe na mke wako , je wazazi wanajua hali mliyonayo hapo ?
 
Hilo ni kweli kabisa lakini si mara zote kutokana na maelezo mbali mbali niliyowahi kuyasoma humu. Nakumbuka jamaa mmoja mbongo mke mbongo wako majuu na watoto wao wawili wadogo. ME alilalamika humu kunyimwa uchi na mkewe kwa madai kwamba wakitoka kazini anakuwa amechoka. Mume akaamua kuanza kusafisha nyumba na kuwaosha watoto kila siku lakini hakukuwa na ahueni kwani mke alikuwa ni lazima aangalie vipindi vyake kwenye TV kuanzia mbili usiku hadi saa tano usiku kisha kudai masaa yameenda na anaamka asubuhi sana. Mume akaamua kuanza kuchepuka.



Mpendwa nijuavyo sex ni hisia jiulize kwa nini mkewe agome kumpa haki yake ina maana hana hamu ya tendo. Kuna kipindi inafikia kwenye mahusiano hutamani hata kiss kutoka kwa mwenzio hii yote inatokea baada ya migogoro ya mara kwa mara.
 
Kuna kitu umeshajenga kwenye mind, tatizo lipo hapo, jitahidi kuondoa hilo kwanza
 
Huyo dada amekosea Mume hanyimwi ile kitu hata kama mmegombana ni haki yake .
 
Kazi kweli, kama jitahada zangu zikikwama naona hatari ya kwenda nje ya ndoa, fasta naanza mchakato wa kumpiga chini.
 
Reactions: BAK
Wala si kulaumu ni haki yako na baadhi ya KE kunyima uchi wanaitumia kama silaha ya kumuadhibu ME bila kujua pia inavuruga ndoa na hata kuweza kuivunja kabisa.
Kazi kweli, kama jitahada zangu zikikwama naona hatari ya kwenda nje ya ndoa, fasta naanza mchakato wa kumpiga chini.
 
Suluhu inaanza na nyie wenyewe,
Mume ndiyo muamuzi wa ndoa iendeje, kama kuna mistake ulianza kuzifanya lazima wewe mwenyewe uanze kwa kuweka mfano kuachana nazo
Tatizo kubwa hata wakienda kusuluhishana mambo ya msingi yanayofanya wagombane hatasema. Watasuluhisha hewa tu.

Unafikiri atasema mbele za wakwe au mshenga kwamba mke wangu ananinyima papuchi?

Hakuna kitu kigumu kama kusuluhisha ndoa.
 
Tatizo lipo kwako mkuu. Badilika kwanza wewe ujipende mwenyewe kwanza.
 
huna mke hapo zaidi ya mla bure na mjaza choo

anabana papuchi , it means hana kingine cha ku offer kwenye ndoa

mpige chini, stick na mchepuko,
 
Melezo yako yamejaa hisia nyingi za maumivu , na hapo amekufikisha mke wako, sasa kitu ambacho sijasikia nikwamba umefanya jitihada gani za kimazungumzo kuweka mambo sawa wewe na mke wako , je wazazi wanajua hali mliyonayo hapo ?
Hatuna wazazi wote. Kwa kawaida mm na mke wangu wote sisi wakimya kupitiliza si waongeaji ongeaji so nishamweleza hapo nyuma kuwa anachofanya sio vizuri baada ya kuona hashtuki basi nikatafuta akili ya kutoka nje. Ukitukuta wala huwezi kugundua hatuelewani si chimbani wala sebuleni, tunaongea vizuri tu na mda mwingi rukitoka job tunautumia room maana mm pia huaa nikitoka kazini saa kumi namoja lazima inikutie nyumbani, haijalishi nina mgegedo ila piga ua saa 1! Jioni kila ratiba inaahirishwa naenda kwa mke wangu
 
Ndugu yangu niliandika walaka mrefu hapo juu upitie vizuri ,mpende mkeo rekebisha yako kwanza,usimchukie mtoto mpende sana,mwombe mkeo msamaha kwani ukijishusha utapungukiwa kuwa mwanaume ila utakuwa umetengeneza kitu kikubwa mbele za Mungu, mwisho hachana na michepuko kaka.all the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…