mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Au story ya jirani yake katimuliwa[emoji16]Huna ofisi yoyote kapuku wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au story ya jirani yake katimuliwa[emoji16]Huna ofisi yoyote kapuku wewe
Hawa waandishi wanajifanya wanajua kuandika. Mbona siku ile ya ufunguzi waliogopa kwenda kumuhoji mzungu wameishia kumuhoji katumbi tu.Sasa elimu ya kuandika magazeti naitolea wapi?
Atakua katoka shule juzi anakuja kusumbua watu humu.Sio lazima, literally they may serve differently on meaning, what did you intend for?
AahaaaaSema nini, kipigo cha Yanga kwa Azam kimewaumiza zaidi Makolo kuliko Azam wenyewe..!!! Bado kuacha mke, kufukuza watoto etc..!!
Nakuja nayo ili baada ya kukutinduwa nikufuutie nayo wezele lakoNjoo na kanga moja, nikuoneshe ofisi yangu.
Emotional Intelligence capacity ina maana gani ya pamoja??Sio lazima, literally they may serve differently on meaning, what did you intend for?
Hakika maneno ya Ndugu Rage yanaishi......lkn hii ni zaidi ya Mbumbumbu..Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.
Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.
Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.
Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.
Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Umefanya jambo zuri sana kuiokoa kampuni yako.Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.
Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.
Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.
Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.
Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
[emoji23][emoji23][emoji23]ana elewa matumizi ya khangaNakuja nayo ili baada ya kukutinduwa nikufuutie nayo wezele lako
sasa simba wameingiaje hapo naendelea kuamini kuwa wenye Akili Yanga ni wawilituSema nini, kipigo cha Yanga kwa Azam kimewaumiza zaidi Makolo kuliko Azam wenyewe..!!! Bado kuacha mke, kufukuza watoto etc..!!
Kwa hiyo Mkurugenzi unataka tukutafutie mfanyakazi mwingine, na ambaye ni shabiki wa simba baada ya kumfukuza huyo wa Yanga?Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.
Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.
Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.
Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.
Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Mimi sio mtaalamu sana, anzia kwa ku google uone kama hayo maneno ni tenganifu muda wote ama yaweza kuwa ni noun phrase unganifu, emotion is a word and intelligence is a word so is emotional intelligence as a noun phrase or a phraseEmotional Intelligence capacity ina maana gani ya pamoja??
lkn ukiweka emotional, intelligence capacity inaleta maana.
Sorry lkn bro
Kwani kuna pahala nimewataja Simba?sasa simba wameingiaje hapo naendelea kuamini kuwa wenye Akili Yanga ni wawilitu