Nimemfukuza kazi shabiki wa Yanga

Nimemfukuza kazi shabiki wa Yanga

Sio lazima, literally they may serve differently on meaning, what did you intend for?
Emotional Intelligence capacity ina maana gani ya pamoja??
lkn ukiweka emotional, intelligence capacity inaleta maana.
Sorry lkn bro
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Hakika maneno ya Ndugu Rage yanaishi......lkn hii ni zaidi ya Mbumbumbu..

Tarehe 5/11/2023 Jiandae kuifunga kabisa kampuni Yako uchwara au kunywa Sumu ya Panya ujiondoe Duniani....

Maana ni balaaaa

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Umefanya jambo zuri sana kuiokoa kampuni yako.
 
Sema tu ulichotaka kumaanisha.

Lakini kama umemfukuza kweli. Elewa ulichokifanya hakuna tofauti na ubaguzi wa rangi. Sawa na unyanyasaji wa kijinsia. Sawa na ubaguzi wa kidini.

Najua wewe ni simba lakini lazima uwe na uvumilivu. Mimi nina vijana wawili ofisini kwangu ni simba lia lia,lakini tunabishana tu sana mambo ya mpira tunaishia kwenye mpira. Labda tu ni vile mashabiki wa simba wengi ni wale watoto watoto,wengi akili hazijapevuka,wanajua kushabikia simba tu ndio mwisho wa maisha. Kumbe kuna maisha mengine baada ya pale . Hata humu jamvini ni mashabiki wa simba tu wenye kutukana matusi tu.

Huyo dogo tambua umemuonea. Majibu utayapata tu,inaweza isiwe leo,ni siku nyingine tu ambayo hutaikumbuka
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Kwa hiyo Mkurugenzi unataka tukutafutie mfanyakazi mwingine, na ambaye ni shabiki wa simba baada ya kumfukuza huyo wa Yanga?

Halafu hiyo Kampuni yako ya usafirishaji inaitwaje? Maana isije ikawa unatupiga fix hapa.
 
Emotional Intelligence capacity ina maana gani ya pamoja??
lkn ukiweka emotional, intelligence capacity inaleta maana.
Sorry lkn bro
Mimi sio mtaalamu sana, anzia kwa ku google uone kama hayo maneno ni tenganifu muda wote ama yaweza kuwa ni noun phrase unganifu, emotion is a word and intelligence is a word so is emotional intelligence as a noun phrase or a phrase
 
Michezo sio uadui, labda Kama wanategea muda wa kazi au wanagombana sababu ya mpira unaweza kuwaonya. Huyu mtu ana familia sidhani Kama unamtendea haki
 
Back
Top Bottom