Nimemfukuza kazi shabiki wa Yanga

Nimemfukuza kazi shabiki wa Yanga

Mtu yeyote hata awe na elimu gani awe injinia,daktari,mwalimu, nk ila linapokuja suala la yanga tu anakuwa kama Charlie Champlin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akili zinafyatuka ghafla,
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Umemfuta kazi kibarua,.... huna uwezo wa kumfukuza kazi mwajiriwa.
 
Mtu yeyote hata awe na elimu gani awe injinia,daktari,mwalimu, nk ila linapokuja suala la yanga tu anakuwa kama Charlie Champlin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akili zinafyatuka ghafla,
inakuuma nini si ubaki na u genius wako
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
😆😆
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Umeniudhi sana.Ungemkandika na makwenzi kabla ya kumfurusha.Huwa hawana akili hao.
 
Kama Kuna watu wameajiriwa na wewe basi ni viazi Kama wewe!
 
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa anashabikia Yanga. Huyu jamaa alikuwa yuko tayari kukosana na wafanyakazi wengine sababu ya kubishana mambo ya Yanga. Hii ilinifanya nijiulize maswali mengi, hasa nilishangaa kuona mtu anakuwa kama mwehumwehu.

Nilimvumilia sana kwa ujingaujinga wake, ikafikia mpaka utendaji kazi wake ukaanza kuyumba na ushirikiano na wenzake ukapungua.

Jana kukatokea ubishani juu ya Feisal Toto. Wakati Aucho alipoonekana kukamia kumuumiza Feitoto wakati wa mchezo, kuna kijana alikuwa analaumu kuwa Aucho anamchezea vibaya Feitoto. Sasa pale kulizuka mzozo mpaka kuzima TV.

Hapohapo nilimfukuza na Leo namlipa stahiki zake. Sitaki ujinga Mimi. Na siwezi tena kuajiri mtu anaye shabikia Yanga.

Wanakuwaga hawapo sawa, haijalishi amesoma au hajasoma. Hata marafiki wanao shabikia Yanga naanza kuwapunguza.
Hapo mjingamjinga ni wewe umeshindwa itifautisha kazi na ushabiki
 
Niliwahi sema ukiona mtu mnazi sana wa Simba na Yanga, muda wote anaongelea Yanga na Simba jua kichwani kuna mapungufu. Umefanya vizuri kabla madhara zaidi hayajatokea.
 
Back
Top Bottom