Nimemfuma mke wangu akimfunda jirani/maarufu kama shoga yake kuchepuka

Nimemfuma mke wangu akimfunda jirani/maarufu kama shoga yake kuchepuka

Ukiskia kipa anafungisha ndo huyu sasa, hakuna amani kuwa na mke kama huyu. Ila jambo moja ambalo huyu mwanamke ameshindwa kuligundua ni kwamba huyo anaemuona ni sunshine kamwe sio suluhusho lake kwakuwa huyo amekuja kuchapa ilale tu, hata kama atakuwepo for a year or two he is not there to stay.

Hakuna mwanaume atakayeendelea kukupenda siku zote isipokuwa mumeo, hasa yule mumeo mliyetoka nae kwenye ujana pamoja, athari ya mapenzi yenu ya ujanani inabakia na nguvu siku zote (ndo maana wazee wenye busara wanashauri uchunge sana kuoa mwanamke aliyeachika ikiwa mumewe bado yupo hai).

Pili, wanawake wanapaswa waelewe kuwa kadri mwanaume anavyokuwa na mke zaidi ya mmoja ndo sexual interest yake inavyoongezeka juu yenu. Chagueni moja, aoe mke wa pili ama achepuke ... ila tambua kuwa usijitusu kulipiza hata kama ukigundua mumeo anachepuka, mwanamke akichepuka effect yake ni almost irreversible.

Wanaume tumeumbwa kuwa na mke zaidi ya mmoja, huo ndo ukweli na hiyo ndo salama ya ndoa zetu.
 
Usikute wewe ni mmoja wa hivyo vidumu mikononi wakati wajiona ndio ndoo kichwani...
Hahahha halafu nimetoka kuandika hiki kitu hata kabla sijasoma. Tumewaza sawa🤣
 
Ukute kwenye hivo vidumu viwili wewe ni kimoja wapo. Najua ulidhani yawezekana wewe ndio ndoo ila hapana wewe ni kidumu kimojawapo.
Inahuzunisha sana ukute bidada alikua anasaidia mpk kununua bati wkt unajenga ukajua mwenzangu nihela zavikoba
 
Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.

Pole sana, Ushauri:

1. Wanamla 100%
2. Usitake kujua au kuthibitisha.
3. Weigh your options.
4. Ukiona unapenda ndoa then muulize.
5. Ila, nashauri jipange tu kuachana naye.
6. Mtazamo wake Hauwezi ubadili.
 
Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.
Wanasema, kama haujamfumania laivu, unapotezea tu ili ndo yenu idumu. Kikubwa unakuwa unapima mara kwa mara ili asije kukuletea ngoma mana wanawake huwa wanagongwa bila hata kondomu ndio wanapenda
 
Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.

View: https://youtu.be/mzQ-K56cCDc?si=GviULArnQctB9JVp
 
Mleta mada sio kwamba aliwahi kuingia, aliyoyasikia ni mengi akaona bora ayakatishe. Maana walipokuwa wanaendelea alihisi atasikia siri ya mtoto mmojawapo sik wake.
Hapa amekatisha tu story
Mkuu pole wewe ni dhaifu sana
 
Hapo sasa mtihani, ila tukija kwako pia

Kwa hiyo mzee ndio kusema hucheat kabisaaaaaa

Au ndio vile tena wasemavyo waswahili

Mosi, Nyani haoni...... na pili, Mkuki kwa nguruwe . . .
Wewe ukichepuka unamruhusu na mkeo achepuke kweli mkuu?
 
Asalaam wana JF!

Leo sikuwa na ratiba ya kwenda popote, nikasema wacha niadhimishe 9 Dec hapa hapa nyumbani, mpaka pale nilipopigiwa simu na Mwenyekiti wangu mpya wa mtaa aliyechaguliwa kwa kura chache sana na kutangazwa mshindi chini ya ulinzi mkali sana.

Sijui kwanini, lakini ni Mwenyekiti pekee wa chama pinzani aliyejinyakulia kiti kati ya mitaa 18 ya kata hii.

Baada ya kupokea simu ya Mwenyekiti, akanitaka tuadhimishe 9 Dec kwa kuungana na Mheshimiwa Diwani kufanya usafi Kituo cha Afya na kupanda miti maeneo hayo ili, miti ikikua, ndugu wa wagonjwa wakae chini ya vivuli kujadili bili za wagonjwa wetu na kuwasimanga manesi wavivu kuhudumia wagonjwa.

Sasa bwana, baada ya zoezi la usafi na kupanda miti kumalizika, nikarejea nyumbani.

Nilipofika nyumbani, sikuingia moja kwa moja sebuleni, nikakaa kwenye kibalaza cha kenopi kwanza. Nikiwa hapo, nilipata wasaa wa kuutazama mlimao ambao ni mrefu kuliko nyumba na nilioupanda miaka 7 iliyopita.

Haujawahi kuzaa hata mara moja, na umedhibitiwa ujanja na mchenza niliouotesha mwaka huu, ambao tayari umeweka machenza matatu.

Wakati wote, hakuna aliyejua kama nimefika maana waifu na shoga yake walikuwa wamekolea kwenye stori zao pale sebuleni. Hata hivyo, hakuna aliyeweza kutarajia kama ningerejea muda ule, maana wakati naenda kuungana na Mwenyekiti kufanya usafi, waifu aliniuliza kama nitawahi kurudi ili wapike na share yangu.

Nikamjibu nitarejea jioni, hivyo mchana wasiniwekee chakula.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, huku mimi nikiendelea kuulaani mlimao kwa kushindwa kuzaa, ghafla nilishawishika kuvuta umakini kwenye mazungumzo ya waifu na shoga yake. Ilianza baada ya waifu kuulizwa swali na shoga yake:

"Shoga angu mwenzangu, kwenye ndoa umedumu sana. Nini siri ya mafanikio?"

Majibu ya wife:

"Nikuambie kitu besti, unapokwenda kuchota maji na ndoo kichwani, hakikisha una vidumu viwili mikononi. Maana hata ndoo ikiaanguka, utabakia umeshikilia vidumu mikononi."

Majibu hayo ya wife yalinistua sana. Nikajikuta nikiingia ndani bila hata ya kubisha hodi. Waliponiona, wote walishituka sana kwa pamoja. Baada ya dakika nne, shoga yake akaaga na kuondoka.

Wife tangu wakati huo hana amani, mpaka sasa hivi. Anajaribu kuanzisha mazungumzo lakini kila akijaribu kusema jambo, anababaika sana.

Ila majibu yake kwa shoga yake ni dhahiri shahiri kwamba alikuwa akimfundisha jinsi ya kumiliki michepuko akiwa ndani ya ndoa.

Muwe na usiku mwema. Itoshe tu kusema kwamba ndoa si sehemu salama tena.
🤣🤣🤣sicheki kama mazuri lah, hizo ndio ndoa sasa hizo
 
Back
Top Bottom