Nimemfumania zaidi ya mara tatu na kusamehe, nimemuambia kumuoa anakataa

Nimemfumania zaidi ya mara tatu na kusamehe, nimemuambia kumuoa anakataa

Yule wa kwanza ndo chaguo lake, wewe umeingia kati kama spare Tyre. Achana naye endelea na mambo yako.
Hapana tatizo yule wa kwanza alishamuazisha tabia ya kuzibua mifereji ya maji machafu na mwamba hafanyi hivo
 
Nimemfumania zaidi ya mara 3 na kumsamehe. Tuna mtoto mmoja, lakini bado hataki nimuoe.

Nina miaka 37 na niko kwenye mahusiano na huyu dada kwa miaka 12 sasa. Yeye ana miaka 35, ni mwanamke ambaye nampenda sana, lakini katika kipindi chote cha mahusiano nimepitia mambo mengi sana kiasi kwamba nimefika mahali nimeshakatishwa tamaa. Kipindi tulipoanza mahusiano nilimkuta akiwa na mwanaume mwingine, alikuwa akim*piga sana na kumdhalilisha, na mara nyingi alikuwa akimfanyia vitendo vya ajabu hadi kumuingilia kinyume na maumbile.

Kipindi hicho, alikuwa rafiki yangu, alikuwa ananiambia kila kitu. Nilimuonea huruma nikaingia naye kwenye mahusiano, nikamsaidia hadi akaachana na yule mwanaume na tukawa tuko vizuri. Baada ya mwaka mmoja, kuna siku yule mwanaume alinipigia simu na kuniambia nimwache mwanamke wake, alinidhihaki sana na kibaya zaidi alikuwa anatumia simu ya mwanamke wangu. Alimpa simu mwanamke wangu na akaniambia hanitaki tena kashaniacha.

Niliumizwa sana lakini baada ya mwezi mmoja alinitafuta na kuniomba msamaha akisema haitajirudia tena. Alidai kuwa alikutana na mwanaume huyo akampa lifti na wakajikuta wameanza tena mapenzi. Nilimsamehe na tukakaa kwenye mahusiano kwa miaka miwili hadi nilipokuja kumfumania na mwanaume mwingine. Huyu mwanaume alikuwa baba mtu mzima na nilimfumania mpenzi wangu akimtumia picha za uchi, akijichezea. Nilipomuuliza aliniambia ni tamaa tu na kwamba yule baba hana nguvu yoyote ya kumkufanya chochote, ana kisukari. Nilimwambia sipendi, nikamuacha lakini baadae akaja kunambia kuwa ana mimba yangu.

Kweli tulipima na ikathibitika kuwa ana mimba. Nilidhani kuwa akizaa atabadilika, hivyo nilimsamehe tukaanza upya. Hata hivyo, mambo yalikuwa mabaya kipindi cha ujauzito, alikuwa hanitaki, ananiomba pesa lakini hataki tuonane. Hadi mtoto alipofikisha miaka miwili, alikuwa haruhusu hata nimwone mwanangu. Nilienda kwao na kuongea na mama yake, wakamkalisisha kikao, akaniruhusu kumuona mtoto, lakini maisha yaliendelea vilevile. Nilimwambia kuwa tuna mtoto, kwa nini tusifunge ndoa, akanijibu kuwa umri bado.

Baadaye nilikuja kugundua kuwa amerudiana na X wake ambaye sasa ni mume wa mtu na niligundua baada ya mke wa huyo mwanaume kunitafuta na kunitumia ushahidi wa picha zao wakifanya mapenzi na meseji wanazochat. Nilipomwambia akaanza kunitukana sana, akaniambia hanitaki tulee mtoto na mambo ya mapenzi basi. Wakati huo nilikubali kwani na mimi nilikuwa tayari nimeshaingia kwenye mahusiano mengine.

Nilipata mwanamke mwingine ambaye alikuwa ananijali, ananionyesha upendo na alikuwa kila kitu kwangu. Nilienda kwao kujitambulisha, nikatoa mahari lakini X wangu aliposikia nataka kuoa, alimtafuta huyo mwanamke na kum*tukana sana akimwambia huyo ni mume wangu. Alirudi kwangu kwa lazima, akahamishia vitu vyake mpaka sasa tunaishi pamoja.

Ni miezi 9 sasa, nililazimika kumwacha yule mchumba wangu lakini tatizo ni kuwa huyu mwanamke kila nikimwambia kuhusu ndoa ananiambia bado. Umri umeenda, sijui nifanye nini. Je, ni mtu anayenipenda kweli au? Miezi 9 hii sijawahi kumfumania tena ila suala la ndoa ndio hataki, naomba ushauri wako!
Kama hii Stori ni ya kweli ndugu yetu unahitaji Kozi nzito ya kukufungua ufahamu ili ujue Kwa nini uliumbwa Mwanaume.
 
Nimemfumania zaidi ya mara 3 na kumsamehe. Tuna mtoto mmoja, lakini bado hataki nimuoe.

Nina miaka 37 na niko kwenye mahusiano na huyu dada kwa miaka 12 sasa. Yeye ana miaka 35, ni mwanamke ambaye nampenda sana, lakini katika kipindi chote cha mahusiano nimepitia mambo mengi sana kiasi kwamba nimefika mahali nimeshakatishwa tamaa. Kipindi tulipoanza mahusiano nilimkuta akiwa na mwanaume mwingine, alikuwa akim*piga sana na kumdhalilisha, na mara nyingi alikuwa akimfanyia vitendo vya ajabu hadi kumuingilia kinyume na maumbile.

Kipindi hicho, alikuwa rafiki yangu, alikuwa ananiambia kila kitu. Nilimuonea huruma nikaingia naye kwenye mahusiano, nikamsaidia hadi akaachana na yule mwanaume na tukawa tuko vizuri. Baada ya mwaka mmoja, kuna siku yule mwanaume alinipigia simu na kuniambia nimwache mwanamke wake, alinidhihaki sana na kibaya zaidi alikuwa anatumia simu ya mwanamke wangu. Alimpa simu mwanamke wangu na akaniambia hanitaki tena kashaniacha.

Niliumizwa sana lakini baada ya mwezi mmoja alinitafuta na kuniomba msamaha akisema haitajirudia tena. Alidai kuwa alikutana na mwanaume huyo akampa lifti na wakajikuta wameanza tena mapenzi. Nilimsamehe na tukakaa kwenye mahusiano kwa miaka miwili hadi nilipokuja kumfumania na mwanaume mwingine. Huyu mwanaume alikuwa baba mtu mzima na nilimfumania mpenzi wangu akimtumia picha za uchi, akijichezea. Nilipomuuliza aliniambia ni tamaa tu na kwamba yule baba hana nguvu yoyote ya kumkufanya chochote, ana kisukari. Nilimwambia sipendi, nikamuacha lakini baadae akaja kunambia kuwa ana mimba yangu.

Kweli tulipima na ikathibitika kuwa ana mimba. Nilidhani kuwa akizaa atabadilika, hivyo nilimsamehe tukaanza upya. Hata hivyo, mambo yalikuwa mabaya kipindi cha ujauzito, alikuwa hanitaki, ananiomba pesa lakini hataki tuonane. Hadi mtoto alipofikisha miaka miwili, alikuwa haruhusu hata nimwone mwanangu. Nilienda kwao na kuongea na mama yake, wakamkalisisha kikao, akaniruhusu kumuona mtoto, lakini maisha yaliendelea vilevile. Nilimwambia kuwa tuna mtoto, kwa nini tusifunge ndoa, akanijibu kuwa umri bado.

Baadaye nilikuja kugundua kuwa amerudiana na X wake ambaye sasa ni mume wa mtu na niligundua baada ya mke wa huyo mwanaume kunitafuta na kunitumia ushahidi wa picha zao wakifanya mapenzi na meseji wanazochat. Nilipomwambia akaanza kunitukana sana, akaniambia hanitaki tulee mtoto na mambo ya mapenzi basi. Wakati huo nilikubali kwani na mimi nilikuwa tayari nimeshaingia kwenye mahusiano mengine.

Nilipata mwanamke mwingine ambaye alikuwa ananijali, ananionyesha upendo na alikuwa kila kitu kwangu. Nilienda kwao kujitambulisha, nikatoa mahari lakini X wangu aliposikia nataka kuoa, alimtafuta huyo mwanamke na kum*tukana sana akimwambia huyo ni mume wangu. Alirudi kwangu kwa lazima, akahamishia vitu vyake mpaka sasa tunaishi pamoja.

Ni miezi 9 sasa, nililazimika kumwacha yule mchumba wangu lakini tatizo ni kuwa huyu mwanamke kila nikimwambia kuhusu ndoa ananiambia bado. Umri umeenda, sijui nifanye nini. Je, ni mtu anayenipenda kweli au? Miezi 9 hii sijawahi kumfumania tena ila suala la ndoa ndio hataki, naomba ushauri wako!
Shame on you 🤣🤣🤣
 
Nimemfumania zaidi ya mara 3 na kumsamehe. Tuna mtoto mmoja, lakini bado hataki nimuoe.

Nina miaka 37 na niko kwenye mahusiano na huyu dada kwa miaka 12 sasa. Yeye ana miaka 35, ni mwanamke ambaye nampenda sana, lakini katika kipindi chote cha mahusiano nimepitia mambo mengi sana kiasi kwamba nimefika mahali nimeshakatishwa tamaa. Kipindi tulipoanza mahusiano nilimkuta akiwa na mwanaume mwingine, alikuwa akim*piga sana na kumdhalilisha, na mara nyingi alikuwa akimfanyia vitendo vya ajabu hadi kumuingilia kinyume na maumbile.

Kipindi hicho, alikuwa rafiki yangu, alikuwa ananiambia kila kitu. Nilimuonea huruma nikaingia naye kwenye mahusiano, nikamsaidia hadi akaachana na yule mwanaume na tukawa tuko vizuri. Baada ya mwaka mmoja, kuna siku yule mwanaume alinipigia simu na kuniambia nimwache mwanamke wake, alinidhihaki sana na kibaya zaidi alikuwa anatumia simu ya mwanamke wangu. Alimpa simu mwanamke wangu na akaniambia hanitaki tena kashaniacha.

Niliumizwa sana lakini baada ya mwezi mmoja alinitafuta na kuniomba msamaha akisema haitajirudia tena. Alidai kuwa alikutana na mwanaume huyo akampa lifti na wakajikuta wameanza tena mapenzi. Nilimsamehe na tukakaa kwenye mahusiano kwa miaka miwili hadi nilipokuja kumfumania na mwanaume mwingine. Huyu mwanaume alikuwa baba mtu mzima na nilimfumania mpenzi wangu akimtumia picha za uchi, akijichezea. Nilipomuuliza aliniambia ni tamaa tu na kwamba yule baba hana nguvu yoyote ya kumkufanya chochote, ana kisukari. Nilimwambia sipendi, nikamuacha lakini baadae akaja kunambia kuwa ana mimba yangu.

Kweli tulipima na ikathibitika kuwa ana mimba. Nilidhani kuwa akizaa atabadilika, hivyo nilimsamehe tukaanza upya. Hata hivyo, mambo yalikuwa mabaya kipindi cha ujauzito, alikuwa hanitaki, ananiomba pesa lakini hataki tuonane. Hadi mtoto alipofikisha miaka miwili, alikuwa haruhusu hata nimwone mwanangu. Nilienda kwao na kuongea na mama yake, wakamkalisisha kikao, akaniruhusu kumuona mtoto, lakini maisha yaliendelea vilevile. Nilimwambia kuwa tuna mtoto, kwa nini tusifunge ndoa, akanijibu kuwa umri bado.

Baadaye nilikuja kugundua kuwa amerudiana na X wake ambaye sasa ni mume wa mtu na niligundua baada ya mke wa huyo mwanaume kunitafuta na kunitumia ushahidi wa picha zao wakifanya mapenzi na meseji wanazochat. Nilipomwambia akaanza kunitukana sana, akaniambia hanitaki tulee mtoto na mambo ya mapenzi basi. Wakati huo nilikubali kwani na mimi nilikuwa tayari nimeshaingia kwenye mahusiano mengine.

Nilipata mwanamke mwingine ambaye alikuwa ananijali, ananionyesha upendo na alikuwa kila kitu kwangu. Nilienda kwao kujitambulisha, nikatoa mahari lakini X wangu aliposikia nataka kuoa, alimtafuta huyo mwanamke na kum*tukana sana akimwambia huyo ni mume wangu. Alirudi kwangu kwa lazima, akahamishia vitu vyake mpaka sasa tunaishi pamoja.

Ni miezi 9 sasa, nililazimika kumwacha yule mchumba wangu lakini tatizo ni kuwa huyu mwanamke kila nikimwambia kuhusu ndoa ananiambia bado. Umri umeenda, sijui nifanye nini. Je, ni mtu anayenipenda kweli au? Miezi 9 hii sijawahi kumfumania tena ila suala la ndoa ndio hataki, naomba ushauri wako!
Tayari ....tayari....! umekwisha fail..
 
hataki kuolewa kwa sababu ana uhakika yupo na wewe unamfuga huku akitafuta mtu wa ndoto zake.
 
Nimesoma kichwa cha uzi tu hata habari sikutaka kusoma. Nika conclude kwamba hapo mwanaume ni kiazi mbatata. Nani alikwambia kosa la mwanamke ku cheat linasamehewa. Alaf wew umesamehe mara tatu. Shuubaaamit
 
Aisee kuna watu wanajua kupendaaaa.kaka wewe mbinguni moja kwa moja maana kauli ya upendo huvimila yote,upendo hauhesabu mabaya umeushilikia Hadi mwisho.
Kuna mtu aliniambia wanawake malayaaaa ndo huwa wanapata watu WA kuwapenda kweli.ila mficha uchi hazai.mwanamke ukiwa decent Sana mapenzi yatakutesa.
Au k inayotumika Sana inakuwa tamu zaidi nini?
Maana ukute hii kugegedwa kwa mwaka mara mbili inafanya k kuchacha ..ndo maana wanawake walotulia wanaume hawatulii nao
 
Nimemfumania zaidi ya mara 3 na kumsamehe. Tuna mtoto mmoja, lakini bado hataki nimuoe.

Nina miaka 37 na niko kwenye mahusiano na huyu dada kwa miaka 12 sasa. Yeye ana miaka 35, ni mwanamke ambaye nampenda sana, lakini katika kipindi chote cha mahusiano nimepitia mambo mengi sana kiasi kwamba nimefika mahali nimeshakatishwa tamaa. Kipindi tulipoanza mahusiano nilimkuta akiwa na mwanaume mwingine, alikuwa akim*piga sana na kumdhalilisha, na mara nyingi alikuwa akimfanyia vitendo vya ajabu hadi kumuingilia kinyume na maumbile.

Kipindi hicho, alikuwa rafiki yangu, alikuwa ananiambia kila kitu. Nilimuonea huruma nikaingia naye kwenye mahusiano, nikamsaidia hadi akaachana na yule mwanaume na tukawa tuko vizuri. Baada ya mwaka mmoja, kuna siku yule mwanaume alinipigia simu na kuniambia nimwache mwanamke wake, alinidhihaki sana na kibaya zaidi alikuwa anatumia simu ya mwanamke wangu. Alimpa simu mwanamke wangu na akaniambia hanitaki tena kashaniacha.

Niliumizwa sana lakini baada ya mwezi mmoja alinitafuta na kuniomba msamaha akisema haitajirudia tena. Alidai kuwa alikutana na mwanaume huyo akampa lifti na wakajikuta wameanza tena mapenzi. Nilimsamehe na tukakaa kwenye mahusiano kwa miaka miwili hadi nilipokuja kumfumania na mwanaume mwingine. Huyu mwanaume alikuwa baba mtu mzima na nilimfumania mpenzi wangu akimtumia picha za uchi, akijichezea. Nilipomuuliza aliniambia ni tamaa tu na kwamba yule baba hana nguvu yoyote ya kumkufanya chochote, ana kisukari. Nilimwambia sipendi, nikamuacha lakini baadae akaja kunambia kuwa ana mimba yangu.

Kweli tulipima na ikathibitika kuwa ana mimba. Nilidhani kuwa akizaa atabadilika, hivyo nilimsamehe tukaanza upya. Hata hivyo, mambo yalikuwa mabaya kipindi cha ujauzito, alikuwa hanitaki, ananiomba pesa lakini hataki tuonane. Hadi mtoto alipofikisha miaka miwili, alikuwa haruhusu hata nimwone mwanangu. Nilienda kwao na kuongea na mama yake, wakamkalisisha kikao, akaniruhusu kumuona mtoto, lakini maisha yaliendelea vilevile. Nilimwambia kuwa tuna mtoto, kwa nini tusifunge ndoa, akanijibu kuwa umri bado.

Baadaye nilikuja kugundua kuwa amerudiana na X wake ambaye sasa ni mume wa mtu na niligundua baada ya mke wa huyo mwanaume kunitafuta na kunitumia ushahidi wa picha zao wakifanya mapenzi na meseji wanazochat. Nilipomwambia akaanza kunitukana sana, akaniambia hanitaki tulee mtoto na mambo ya mapenzi basi. Wakati huo nilikubali kwani na mimi nilikuwa tayari nimeshaingia kwenye mahusiano mengine.

Nilipata mwanamke mwingine ambaye alikuwa ananijali, ananionyesha upendo na alikuwa kila kitu kwangu. Nilienda kwao kujitambulisha, nikatoa mahari lakini X wangu aliposikia nataka kuoa, alimtafuta huyo mwanamke na kum*tukana sana akimwambia huyo ni mume wangu. Alirudi kwangu kwa lazima, akahamishia vitu vyake mpaka sasa tunaishi pamoja.

Ni miezi 9 sasa, nililazimika kumwacha yule mchumba wangu lakini tatizo ni kuwa huyu mwanamke kila nikimwambia kuhusu ndoa ananiambia bado. Umri umeenda, sijui nifanye nini. Je, ni mtu anayenipenda kweli au? Miezi 9 hii sijawahi kumfumania tena ila suala la ndoa ndio hataki, naomba ushauri wako!
Yaani wewe unapaswa kupigwa mabomu kabisa siyo tu viboko

Huyo mtoto kwanza hakuna uhakika kama ni wa kwako

Huyo siyo mke wewe ni nice boy endekea kuchakazwa akili mu kichwa
 
Aisee kuna watu wanajua kupendaaaa.kaka wewe mbinguni moja kwa moja maana kauli ya upendo huvimila yote,upendo hauhesabu mabaya umeushilikia Hadi mwisho.
Kuna mtu aliniambia wanawake malayaaaa ndo huwa wanapata watu WA kuwapenda kweli.ila mficha uchi hazai.mwanamke ukiwa decent Sana mapenzi yatakutesa.
Au k inayotumika Sana inakuwa tamu zaidi nini?
Maana ukute hii kugegedwa kwa mwaka mara mbili inafanya k kuchacha ..ndo maana wanawake walotulia wanaume hawatulii nao
Hivi kwanin??
 
Naamini ni hadithi tu ukiwa na lengo la kuburudisha wanajukwaa.
 
Back
Top Bottom