Nimemfumania zaidi ya mara tatu na kusamehe, nimemuambia kumuoa anakataa

Chagua strong ukifika early 40
Au kumuacha
 
Mkuu huo ni Ubwege na usipojiangalia utapata magonjwa ya moyo tukiachana na magonjwa ya ngono ambayo atakuletea. Na usipokuwa makini soon atakuletea mwanaume mwenzio ndani
Na atapigwa threesome kweli mana si kwa ufala huo.
 
Mkuu kwa maelezo yako unanionuesha picha ambayo huko mnakokwenda na huyo mpenzi wako kitachofuata ni mauti na wewe unaonekana una wivu na kinganganizi mwanamke ulishamfumania mara tatu bado uko nae eti ameniomba msamaha kweli Ina ingia akilini kumwelezea mtu
 
Chai nyingine bhana.
Miaka 12 ulishindwa kuchukua maauzi,wakapatikana wanaoweza. Hivyo,tulia. Kiubwa unataka tu kumsogeza asiliwe,na yeye hataki. Kitu kizito
 
Kitu kizito jamani!!!!
 
King Kong III ushauri wako unahitajika huku muzee

Hawa ni watunzi tu ,script writers ,spin doctors ,wanaandaa story za kuchangamsha genge zisizo na uhalisia.

Mwanamme kamili akimfunaia mkewe kwa mara ya kwanza tu ndoa kusurvive ni miujiza ya mwamposa au kiboko ya wachawi ndiyo itaokoa tena kwa 1% ndiyo ije kumfunania mata tatu? Mwanamme uwe unajua kabisa kwamba demu huko alikotoka alikuwa analiwa nyuma kwanza hata kumtongoza utaogopa au ujue tu alikuwa na mtoto utaona soo kumtongoza!! Wanaume tuna fikra za ajabu sana kwa wanawake ukisikia kama ana mtu mwingine labda mwanamme marioo ndiyo atavumilia.
 
Wewe ni kinyesi cha kisukuma
 
Huyo mwanamke ni kabila gani na wewe kabila gani? Tutaendelea ukijibu
 
Una shetani wako, pole! Mtoto umethibitisha kitaalam ni wako?
 
Mie namjua huyo. Anapenda kuingiliwa kinyume na maumbile! Mjaribu uone atakavyo kuvuta mwenyewe kufunga ndoa!
 
Mimi kama mtu wa usalama wa ndoa (UWN) taarifa kutoka kwa afisa kipenyo wetu eagle 1 anasema huyo mtoto hana uhakika kama ni wako .....kipenyo wetu kasema ni wa X wake ndo maana alikuwa hataki umeone ...muda huo x ndo alikuwa anaenda kumuona mwanae

Taarifa za kipenyo wetu zina sema mwanamke yeye anakuoba boya sana huna pa kwenda anatangaza mitaani eti amakuweka kwenye kiganja chake

Mimi kama mkurungezi wa usalama wa ndoa za watu ...nimetoa maamumuzi yafuatayo achana na huyo mwanamke haraka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…