Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #81
Naelewa, ahsanteUkiona hivyo ujue familia imekuwa majukumu yameongezeka ule muda wa kupetiwa petiwa umegawanyika ktk majukumu mengine, kwa watoto wenu wapendwa, na kwa wakwe, acha kukariri maisha na kutamani mombo ya wakati ukiwa kigori na leo ni mama wa watoto watatu.
Kila jambo ktk familia na maisha ya mwanadamu lina muda na ukomo wake, kubaliana na hali na mabadiliko ktk mwili wako na hasa maisha ya familia. Waza kuijenga familia ili uwe msaada kwa baba watoto badala ya kikwazo, hata yeye hakuwa na mrembo mmoja wakati huo na hata sasa hapendi ila amekubaliana na mabadiliko kwa afya ya familia.
Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.
leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Hapo omba Mungu kipato kiwe kinaongezeka ili kukidhi mahitaji ya kila siku,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Abeeee
Nyie ufilipino raha sana jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sanaaaa.
Ila sio ile yenu ya mishumaa kwenye mvua.
hautaki kunitafuta?Hahahh..lol
Mkuu Vp ww umeoa?Ndoa ni kifungo kibaya sana..kila mtu ataubaini huu ukweli kwa wakati wake..
Ntakutafuta darlin'hautaki kunitafuta?
sawa bana!
sawaNtakutafuta darlin'
Acha kunipiga mkwara, ulichozoea kufanyiwa usilinganishe na wengineWewe unamjua huyo mtu??
Naona unatikisa mzinga wa nyuki mchana shaur yako we endelea
Ukipigwa Sindano za manundu vumilia mix na 0713...utaelewa tuu
Acha kunipiga mkwara, ulichozoea kufanyiwa usilinganishe na wengine
Malizia kirikuu chako ukalaleEndelea tusilaumiane Hapo mbele
Kipigo Cha mbwa koko shaur yako View attachment 1107662
Andaa Vaseline kabsaa nakujaMalizia kirikuu chako ukalale