Nimemiss kupendwa....

Naelewa, ahsante
 
Mapenzi yako na mwenzio yamekwishakomaa sasa. Yataenda, mpaka mtatengana vyumba. Siyo kwa sababu ya ugomvi.., la hasha. Kwa sababu ya kuzoeana tu, kutokutaka kujambiana, ama kupigiana kelele za kukoroma, nk. Hata ukibadilisha mwenza... ni hivyo hovyo... mwanzoni mapenzi motomoto, baadae yatachuja tu. Ni kawaida ya wanadamu. Utamaliza mabucha, nyama ni ile ile.
 
Sasa hiyo unayoishi ndio reality ya maisha. Yale ya zamani ishapita hivyo, sasa hivi ni mwendo wa bills za LUKU, king'amuzi, maji nk. Ukianza kusomesha ndio mziki utakuwa mnene zaidi, mkoa za kujenga ndio utaipata raha zaidi. Hapo omba Mungu kipato kiwe kinaongezeka ili kukidhi mahitaji ya kila siku, otherwise kubebishwa utakusikia kule Nyamagana...
 
Hili ndio la muhimu. Na pengine ndilo linalom-keep busy mume wake. Ashukuru kuwa na mme ambaye anatumia muda wake kwa mabo ya msingi na siyo text message za babe, babe....
Hapo omba Mungu kipato kiwe kinaongezeka ili kukidhi mahitaji ya kila siku,
 
Just normal feelings Madame.
Unasikiaga kula mifupa meno yangaliko! Ukivuka stage...zitabaki story tu Kama hizi
 
Ndo nakafanyia haka kabinti nowadays haya yote.Ila naona kama kanachukulia poa tu.
 
Kiukweli hata na mimi nimemiss kupenda. Ile feeling niliyokuwa nayo kitambo hicho yaani mtu usipomuona siku tatu moyo hautulii ni kama kiu flani hivi [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4].. Siku hizi hiyo relationship ninayo zaidi na pesa maana hakuna dollar yenye drama wala mapenzi ya uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…