Nimemjengea mama yangu nyumba nikiwa bado nipo kwenye 20's

Nimemjengea mama yangu nyumba nikiwa bado nipo kwenye 20's

Usibweteke Sasa kwa hicho kidogo ilichoifanya Sasa. You can billions times of why you've done.
Naona umezaliwa katika umasikini Kama mie Ila jua una unlimited potential than what you put limits on yourself.

Wanaume wenzako wanahonga maghorofa remember Tena la hotel mkuu. Ila pia kwa hatua uliyofikia umepigana.pia maisha sio kusoma Nina Billionaires in terms USD kaongelea ni school drop out.
Tutafutie elimu ya dangote kwanza, gate, Steve jobs
 
Hivi majibu ya ajira za afya yanatoka lini? Mtaani kugumu asee, hata kupata Mia mbovu tabu! [emoji848]
 
Naona umeshaanza panda value kuwa haujibu pm. Kikubwa keep focused jifanye Kama ilichoifanya ni kidogo Sana kwako na sio chochote ama ujiwekee nadhiri kuwa inatakiwa umjengee ghorofa ya billioni kumi you can go for it
Hakuna mafanikio hapo. Subirini mpelekwe Foreksi au QNET ndio mtajua hamjui🤣

Na mimi ngoja nikapige picha nyumba niliyomjengea mama.

Nakuja na ID mpya halafu sitaweka wazi issue ninazofanya wala sijibu PM 🤣
 
Wasalaam,

Habarini Wana jf,kwanza kabisa niseme nawashukuru wanajamii-forum wote kwa ujumla hasa hili jukwaa letu pendwa la biashara,uchumi na ujasiriamali, kwani tumekua tukipeana mbinu za kibiashara ambazo zinaweza kutusaidia kujikwamua kiuchumi kwa namna moja au nyingine...mbarikiwe sanaaa[emoji119]

Ni miaka mitatu Sasa tangu nimalize kidato cha sita na kuingia mtaani kuanza kupambana rasmi na maisha(binafsi sikufanikiwa kuingia chuo). Katika

View attachment 1826439
Hongera
 
Labda ungesema ulifanyaje ili wengingine nao wajifunze kutoka kwako.

Ulichoandika mtoa mada ni kujimwambafai tu kitu ambacho hakina msaada kwa wengine.

Pia hata wauza ngada na wanaosafirisha mzigo nao huwa wananunua Magari na Kuwajengea Nyumba wzazi wao.
 
Wasalaam,

Habarini Wana jf,kwanza kabisa niseme nawashukuru wanajamii-forum wote kwa ujumla hasa hili jukwaa letu pendwa la biashara,uchumi na ujasiriamali, kwani tumekua tukipeana mbinu za kibiashara ambazo zinaweza kutusaidia kujikwamua kiuchumi kwa namna moja au nyingine...mbarikiwe sanaaa[emoji119]
Mkuu acha blah blah na longo longo za ONTARIO hebu elezea vizuri umepata hela kwa njia gani mpaka kujenga
 
Hakuna mafanikio hapo. Subirini mpelekwe Foreksi au QNET ndio mtajua hamjui🤣

Na mimi ngoja nikapige picha nyumba niliyomjengea mama.

Nakuja na ID mpya halafu sitaweka wazi issue ninazofanya wala sijibu PM 🤣
Haya bana
 
Back
Top Bottom