Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa utawapiga mafalasiNote:tafadhali sijibu pm.....
Ungepiga picha moja tu ya jengo lote, sio vipande.Wasalaam,
Habarini Wana jf,kwanza kabisa niseme nawashukuru wanajamii-forum wote kwa ujumla hasa hili jukwaa letu pendwa la biashara,uchumi na ujasiriamali, kwani tumekua tukipeana mbinu za kibiashara ambazo zinaweza kutusaidia kujikwamua kiuchumi kwa namna moja au nyingine...mbarikiwe sanaaa[emoji119]
Ni miaka mitatu Sasa tangu nimalize kidato cha sita na kuingia mtaani kuanza kupambana rasmi na maisha(binafsi sikufanikiwa kuingia chuo). Katika kipindi hiki Cha miaka mitatu(3) nimejifunza mamb mengi Kama kijana,itoshe kusema katika kipindi hicho chote nimejifunza kupambana till my last drop to achieve my wildest dream,pili kuwa mkweli kwa nafsi yangu
Katika vitu vinavyonipa faraja ni kumjengea mama yangu nyumba nikiwa bado nipo kwenye 20's[emoji847],hii kitu imenipa faraja sana sana,ingawa bado sijafika Ila nimeanza kuuona mwangaza kwa mbaaaali
LENGO /DHUMUNI LA HII THREAD;
Lengo la huu Uzi ni kukujulisha kijana mwenzangu kuwa sasa ivi tunaishi katika "information age"(golden era) hatuhitaji tena pesa kutengeneza pesa bali taarifa sahihi na uthubutu kutengeneza ukwasi wa kutisha,hivyo basi jitahidi Sana Sana Sana kuwa na taarifa sahihi......itakusaidia
#never lose focus#.....today is tuesday choose it wisely
View attachment 1826441
View attachment 1826439
Sasahivi wimbi la uhalifu limerudi kwa kasi hasa vijana miaka 18 -35umeotea korongo nini mkuu??!
sie wengine tumechochora maisha embu tupe MENU
Swali zuri sana hili...HONGERA SANA, unafanya shughuli gani mkuu?
Asante sana mkuu[emoji1666],hatupunguzi matarajio yetu yawe sawa na utendaji wa kazi,bali tunaongeza utendaji wa kazi kuyafikia matarajio tuliyojiwekea. Sababu maendeleo ni mawazo yaliyotekelezwa...Mungu atakubariki zaidi kamanda, zidisha mapambano.
Mbona unachagua comment za kujibu?Asante sana mkuu[emoji1666],hatupunguzi matarajio yetu yawe sawa na utendaji wa kazi,bali tunaongeza utendaji wa kazi kuyafikia matarajio tuliyojiwekea. Sababu maendeleo ni mawazo yaliyotekelezwa...
Na lazima ujue kuwa ili information ziwe na nguvu...lazima ziwe kwenye cycle ya watu wachache....mtoa mada endelea kuonyesha picha tu. ...if its matter of information don't ever disclose itTunaishi kwenye information age lakini wewe unatunyima hizo information, tutatoka kweli?