Nimemjengea mama yangu nyumba nikiwa bado nipo kwenye 20's

Mkuu,nimeona Kama umeandika kwa jazba ukiwa na kinyongo moyoni(Sina uhakika),lakin Cha kukushauri ni kwamba kinachoongoza maisha ni AKILI sio UMRI
#ukiwa mvivu usiwe n wivu#
 
Tutajuaje kama ni kweli umeishia Form 6 tu kwa uandishi huo na kiingereza mujarab?

Tutaamini vipi kuwa kweli umejenga wewe na si kuwa amejenga mwingine ukapiga tu picha na kupost hapa?
 
Tutajuaje kama ni kweli umeishia Form 6 tu kwa uandishi huo na kiingereza mujarab?

Tutaamini vipi kuwa kweli umejenga wewe na si kuwa amejenga mwingine ukapiga tu picha na kupost hapa?
Lugha ni kigezo Cha elimu mkuu!?,
Ina maana aliyeishia form 6 hawezi kuandika vizuri....!?

-imani ni nini!?,
 
mimi nimependa dogo anavyojibu maswali[emoji23][emoji23], Anajua kujibu vzuri maswali, wacha amjengee mama yake nyumba[emoji1787][emoji1787]
 
Vinginevyo uwe GINIMBI AU IVAN
Sihitaji kuwa Ginimbi au Ivan,najihitaji Mimi zaidi mkuu
Mkuu,niamini Mimi ,unaweza kufanya makubwa Sana Kama tu utatambua nafasi yako.....
 
Sihitaji kuwa Ginimbi au Ivan,najihitaji Mimi zaidi mkuu
Mkuu,niamini Mimi ,unaweza kufanya makubwa Sana Kama tu utatambua nafasi yako.....
Wengi wanatambua nafasi zao. Sijui kama unajua maana ya kutambua nafasi yako?. Na wanapambana ili kufikia kucaver ile nafasi yao lakini inashindikana,mpaka ana miaka 40 bado hajafikia malengo,japo wanatamani sana wajenge
 
Pole halikuwa jukumu lako bali la Baba ako!!!Jukumu lako ni kuandaa kwako pawe pazuri ili uje ulee watoto wako vema na wazazi wako wakizeeka tu!!Ulijipa kazi ambayo sio yako!!!!NAKUOMBEA USIJE UKAUMIA MUNGU AKIMCHUKUA MAMA NA NYUMBA IKAANZA KUGOMBANIWA NA NDUGU ZAKO KWA KIGEZO NI YA MAMA !!!!NAKUANDAA TU MAPEMA!!!
 
-Moja ya malengo yangu ni kuwajengea wazazi wangu nyumba,mzazi mmoja(baba yangu) alitangulia mbele za haki kabla hata sijamaliza advance (kazi ya mola haina makosa),sikuacha kutimiza NADHIRI yangu ndipo nlipomjengea mama yangu..

-wajibu wa wazazi ni kuhakikisha watoto wao wanapata mahitaji muhimu(makazi,mavazi, malazi) pamoja na ELIMU bora
-wajibu wa watoto watakapokua vijana ni kuhakikisha wazazi wao wanapata mahitaji muhimu(mavazi,malazi na malazi) pamoja na UPENDO....it's like reversible reaction[emoji18]

"Waheshimu wazazi wako ili upate miaka mingi na heri duniani"....
 
Magepi ni lazima tu
 
Mleta mada umeshapata mpenzi toka JF maana humu kuna mademu wanajua kunusa pesa ilipo.
Otherwise kama ulituletea chai bila sukari.
 
Pole kijana kwa kua na wazazi masikini wasiokua na makazi ya kuishi ......binafsi wazazi wangu walinijengea nyumba,kabla hata sijazaliwa
Hongera, wazazi wengi hususani akina baba hufanya uvivu ujanani na starehe, uzeeni wanategemea watoto ndio wa kujenga nyumba.
 
Pole kijana kwa kua na wazazi masikini wasiokua na makazi ya kuishi ......binafsi wazazi wangu walinijengea nyumba,kabla hata sijazaliwa
Ila haimaanishi kwa sasa bado wazazi ni masikini, kwa sasa ni matajiri nao, ni suala la kuwahi na kuchelewa tu. Wako waliwahi, wake wamechelewa, kitu ni kile kile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…