Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
😀😀karibu mkuu...karibu mbogwe...!baridi kama loteHaya mie naingia wilayani mbogwe kwanza weekend nitakuwa Kahama mjini karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀karibu mkuu...karibu mbogwe...!baridi kama loteHaya mie naingia wilayani mbogwe kwanza weekend nitakuwa Kahama mjini karibu
Balaa nitakuwa hapo barabarani tu karibu na hiyo sheli kuna eneo mwenyeji wangu kanipangishia makazi ya muda kama unaingia kuelekea barabara unayoenda Geita ya vumbi😀😀karibu mkuu...karibu mbogwe...!baridi kama lote
fANANCIAL MARKET NDIO NINI MKUU?kwa hiyo kupitia hiyo financial market unatushauri nini sisi ambao hatujawajengea wazazi wetu hata chumba wanaishia kufukuzwa kwenye nyumba za kupanga?-kilimo na ufugaji(ufugaji wa kuku wa kisasa)
-financial markets.
Huyu kakopy na kupaste ya Ontario. Kaanza na kilimo cha mbogamboga kama Ontario alivyoanza na mahimdi [emoji38][emoji1787][emoji23][emoji81][emoji38][emoji1787][emoji23][emoji81][emoji38][emoji1787][emoji23][emoji81][emoji38][emoji1787][emoji23][emoji81][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu dogo anafikiri kila mtu ni mtoto km yeye
Asante mkuu, kumjengea mzazi wako ilikua katika moja ya mipango yako!?,Hongera kwakuwa kwa hali halisi tuliyo nayo wengi ni ngumu maana hiyo nyumba kwa harakaharaka Ni ya thaman kuanzia 35M+ na vjana weng U30 hatuna mtaji wa biashara hata wa 10M kwahiyo inakuwa ni ngumu sana kuwajengea wazazi mapema
Pole kijana kwa kua na wazazi masikini wasiokua na makazi ya kuishi ......binafsi wazazi wangu walinijengea nyumba,kabla hata sijazaliwaWasalaam. Habarini Wana JF,
Kwanza kabisa niseme nawashukuru wanajamii-forum wote kwa ujumla hasa hili jukwaa letu pendwa la biashara, uchumi na ujasiriamali, kwani tumekua tukipeana mbinu za kibiashara ambazo zinaweza kutusaidia kujikwamua kiuchumi kwa namna moja au nyingine. Mbarikiwe sanaaa[emoji119]
Ni miaka mitatu Sasa tangu nimalize kidato cha sita na kuingia mtaani kuanza kupambana rasmi na maisha(binafsi sikufanikiwa kuingia chuo). Katika kipindi hiki Cha miaka mitatu(3) nimejifunza mamb mengi kama kijana, itoshe kusema katika kipindi hicho chote nimejifunza kupambana till my last drop to achieve my wildest dream, pili kuwa mkweli kwa nafsi yangu
Katika vitu vinavyonipa faraja ni kumjengea mama yangu nyumba nikiwa bado nipo kwenye 20's[emoji847],hii kitu imenipa faraja sana sana, ingawa bado sijafika Ila nimeanza kuuona mwangaza kwa mbaaaali
LENGO /DHUMUNI LA HII THREAD:
Lengo la huu Uzi ni kukujulisha kijana mwenzangu kuwa sasa ivi tunaishi katika "information age"(golden era) hatuhitaji tena pesa kutengeneza pesa bali taarifa sahihi na uthubutu kutengeneza ukwasi wa kutisha, hivyo basi jitahidi sana, sana, sana kuwa na taarifa sahihi. Itakusaidia.
#never lose focus# Ttoday is Tuesday choose it wisely
View attachment 1826441
View attachment 1826439
Wazazi wangu walikua na makazi ya kuishi kabla,nlifanya hivyo kwa kua ilikua moja ya nadhiri zangu na ilinipasa niitimize mkuuPole kijana kwa kua na wazazi masikini wasiokua na makazi ya kuishi ......binafsi wazazi wangu walinijengea nyumba,kabla hata sijazaliwa
Hongera sana mkuu nimekuelewa sasa nini unazungumza.Wazazi wangu walikua na makazi ya kuishi kabla,nlifanya hivyo kwa kua ilikua moja ya nadhiri zangu na ilinipasa niitimize mkuu
Sawa.Hongera
-Boss,a good news is that information is abundant &free,the bad news is that.... information is abundant and free.Tunaishi kwenye information age lakini wewe unatunyima hizo information, tutatoka kweli?
Good good boss wangu!-Boss,a good news is that information is abundant &free,the bad news is that.... information is abundant and free.
-(Mkuu, habari nzuri ni kwamba Taarifa zinapatikana kwa wingi na ni bure,habari mbaya ni kwamba Taarifa zinapatikana kwa wingi na ni bure.....)
-mfano naweza kukupa fursa ya biashara,nkakwambia biashara ya viatu vya kike kariakoo ina faida Sanaaa(nkashindwa kukutajia changamoto zake), then nkaendelea kukwambia ukifungua meza zako nne au tano kwa mwezi una faida nzuri kabisa
lakin kwangu hiyo ni opinion sio fact(insane solution)
-baada ya Mimi kukupa hiyo fursa ya biashara wewe ukachukulia Kama fact,ukaanza hiyo biashara Mara moja baada ya muda ukakutana na changamoto zikakupelekea kuacha biashara ukaja kunilaumu.lakin labda ungeenda zako kariakoo labda kila weekend ukawa unafatilia hiyo biashara kinagaubaga ungefaham jinsi ya kukabili adha zake
#make sure you know how to classifying information so as to be insider information#
Looh,umaskini wako sio wa kuisha leo wala kesho unahitaj ukombozi wakifikra.....Akadanganye mademu zake wa kijijini. Sijui house boy anataka kujimwambafai kwa uongo wa kitoto sana
Hapana mkuu,ni vyema maswali yote nikayajibu hapa,sioni sababu ya mtu kunifata onNaona umeshaanza panda value kuwa haujibu PM. Kikubwa keep focused jifanye kama ilichoifanya ni kidogo Sana kwako na sio chochote ama ujiwekee nadhiri kuwa inatakiwa umjengee ghorofa ya billioni kumi you can go for it.
Mkuu kinachoongoza maisha ni AKILI na sio UMRI,huenda viwango tofauti vya maisha vinatokana na viwango tofauti vya kufikiri......Miaka mitatu umetoka shule dogo ukamilishe nyumba kali hivyo kwa vyanzo gani vya mshiko labda uwe ntu wa dili