NDORANGA
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 216
- 376
Wasalaam. Habarini Wana JF,
Kwanza kabisa niseme nawashukuru wanajamii-forum wote kwa ujumla hasa hili jukwaa letu pendwa la biashara, uchumi na ujasiriamali, kwani tumekua tukipeana mbinu za kibiashara ambazo zinaweza kutusaidia kujikwamua kiuchumi kwa namna moja au nyingine. Mbarikiwe sanaaa[emoji119]
Ni miaka mitatu Sasa tangu nimalize kidato cha sita na kuingia mtaani kuanza kupambana rasmi na maisha(binafsi sikufanikiwa kuingia chuo). Katika kipindi hiki Cha miaka mitatu(3) nimejifunza mamb mengi kama kijana, itoshe kusema katika kipindi hicho chote nimejifunza kupambana till my last drop to achieve my wildest dream, pili kuwa mkweli kwa nafsi yangu
Katika vitu vinavyonipa faraja ni kumjengea mama yangu nyumba nikiwa bado nipo kwenye 20's[emoji847],hii kitu imenipa faraja sana sana, ingawa bado sijafika Ila nimeanza kuuona mwangaza kwa mbaaaali
LENGO /DHUMUNI LA HII THREAD:
Lengo la huu Uzi ni kukujulisha kijana mwenzangu kuwa sasa ivi tunaishi katika "information age"(golden era) hatuhitaji tena pesa kutengeneza pesa bali taarifa sahihi na uthubutu kutengeneza ukwasi wa kutisha, hivyo basi jitahidi sana, sana, sana kuwa na taarifa sahihi. Itakusaidia.
#never lose focus# Ttoday is Tuesday choose it wisely
Kwanza kabisa niseme nawashukuru wanajamii-forum wote kwa ujumla hasa hili jukwaa letu pendwa la biashara, uchumi na ujasiriamali, kwani tumekua tukipeana mbinu za kibiashara ambazo zinaweza kutusaidia kujikwamua kiuchumi kwa namna moja au nyingine. Mbarikiwe sanaaa[emoji119]
Ni miaka mitatu Sasa tangu nimalize kidato cha sita na kuingia mtaani kuanza kupambana rasmi na maisha(binafsi sikufanikiwa kuingia chuo). Katika kipindi hiki Cha miaka mitatu(3) nimejifunza mamb mengi kama kijana, itoshe kusema katika kipindi hicho chote nimejifunza kupambana till my last drop to achieve my wildest dream, pili kuwa mkweli kwa nafsi yangu
Katika vitu vinavyonipa faraja ni kumjengea mama yangu nyumba nikiwa bado nipo kwenye 20's[emoji847],hii kitu imenipa faraja sana sana, ingawa bado sijafika Ila nimeanza kuuona mwangaza kwa mbaaaali
LENGO /DHUMUNI LA HII THREAD:
Lengo la huu Uzi ni kukujulisha kijana mwenzangu kuwa sasa ivi tunaishi katika "information age"(golden era) hatuhitaji tena pesa kutengeneza pesa bali taarifa sahihi na uthubutu kutengeneza ukwasi wa kutisha, hivyo basi jitahidi sana, sana, sana kuwa na taarifa sahihi. Itakusaidia.
#never lose focus# Ttoday is Tuesday choose it wisely