Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Utasahau narudia tena utasahau

Yalishanikuta we acha tu nilikuwa nalia ka mtoto mwanamke hanielewi kbs ananijbu hovyo mara nkipga cm ampe rafk yake ndo anapokea ananijbu we nani umekosea namba au akipokea yeye ananifokea ka mtoto nakumbuka mara ya mwsho alinpgia nikawa nambembeleza akanijibu hovyo aisee nilimkalipia nikamwambia usrudie tena kunifokea vingnevyo nikikupata takuua kbs maana nilikuwa naumia sn kazn mpk natega nasngzia naumwa na hapo alikuwa amenikosea yeye

Hakuwa mzuri sn wala hakuwa na tako lolote ila alikuwa kitandan vzuri sn aisee sjawai ona kbs mdada alikuwa ananipenda na anajua kutmbana htr ndo mara ya kwanza ku experience kwamba mwanamke anaweza kojoa hata mara 5 we hata hujakojoa bao la kwanza

Pili alikuwa anajua kupka hatari aisee
Tatu alikuwa msafi sn
Nne kama sina alikuwa hana shda kbs hata njaa tutalala

Mungu ambariki sn yule mnyiramba angel M. Toka iguguno.
Nakuelewa mwamba mwanamke akijua amekudatisha pale Kati wanatunyanyasa saana... Ila namshukuru maumivu yanaanza kupotea
 
Mkristu mZee
Ila utamsahau tu, Mimi mwenyewe pendapenda Sana,
Kuna mwanamke huko MBEYA nilimpendaga mnoo, Sasa bwana mi nna wivu Sana sana, nikatumia akili ya kiume nikaijua password ya simu yake ,

Sasa nikawa mida ya saa nane usiku namvizia amelala fofofo nafungua simu yake naanza kuikagua,ikawa ndio tabia yangu,

Mara ya mwisho Sasa nikaifungua simu yake, nakuta Kuna muhuni alikuwa anachatinae whatspp, muhuni akamuambia baby ukitoka kuoga naomba nikupigie Video call 😎 kabla ujavaa nguo,aisee yule mwanamke bwana kweli alivyotoka kuoga akafanya ivyo, nikakuta mengi, Mara bwana gafla yule mwanamke akashtuka usingizini, tukaanza kung'ang'aniana Simu Sasa,ye anaitaka,Mimi naizuia, ikawa Kama picha la kihindi, hapo tupo uchi Mimi pumbu zinaning'inia, yeye pia alkadhalika ,
Basi end of the day niliipigiza chini simu yake ya ghalama ,ikawa haifai, baada ya hapo ikawa mwisho wa Mimi na yeye,

Sasa mkuu nikaanza kuumia roho, nilikonda kwa kumuwadha, sometimes ikawa nahisi kujiua, sometime nahisi kupiga makelele,
Niliisha mwili, kumbuka nimezaanae huyo mwanamke,
Ila aisee Kuna njia nilifanya nikamsahau kabisakabisa, Mungu ni mwema kwakweli,


Kwaiyo hata wewe utamsahau tu Huyo kiumbe
 
Habari,

Kwa masikitiko makubwa baada ya kugundua mke Wangu anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.

Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years). Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.

Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke ninaopata hadi nakonda na hamu ya kula inaisha. Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli[emoji180]. Nahisi. Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana nateseka.

Nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia. Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)

Separation sijambo rahisi wazee kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late. I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili yake.

Usiombe

Nakushauri kaa na huyo mwanamke wako muyaonge kwa busara kabisa bila jaziba.kama alichepuka kwa bahati mbaya na kukiri kosa basi mrudiane.
Nakushauri hv sababu najua utaenda kupoteza kila kitu..kwanza utaenda kupata gharama kubwa sana za malezi ya watoto wako,pili utajikuta unaingia ktk mahusiano ambayo si sahihi kwako maana ni mara chache sana kupata mwanamke wa pili atakayewapa mapenzi stahili watoto wako..yaan kifupi itakucost nakushauri kakaa muyazungumze na muache kujifikiria nyie tuu muweke mawazo ya watoto wenu kwa karibu zaidi.
Ndio maana kuna malegend wanaishi vzr kama familia lkn chumbani kwao kila mtu analalia kitanda chake ingawa nje wanaonekana ni mke na mme.
 
Nakushauri kaa na huyo mwanamke wako muyaonge kwa busara kabisa bila jaziba.kama alichepuka kwa bahati mbaya na kukiri kosa basi mrudiane.
Nakushauri hv sababu najua utaenda kupoteza kila kitu..kwanza utaenda kupata gharama kubwa sana za malezi ya watoto wako,pili utajikuta unaingia ktk mahusiano ambayo si sahihi kwako maana ni mara chache sana kupata mwanamke wa pili atakayewapa mapenzi stahili watoto wako..yaan kifupi itakucost nakushauri kakaa muyazungumze na muache kujifikiria nyie tuu muweke mawazo ya watoto wenu kwa karibu zaidi.
Ndio maana kuna malegend wanaishi vzr kama familia lkn chumbani kwao kila mtu analalia kitanda chake ingawa nje wanaonekana ni mke na mme.
Yeye hayuko serious
 
Ila utamsahau tu, Mimi mwenyewe pendapenda Sana,
Kuna mwanamke huko MBEYA nilimpendaga mnoo, Sasa bwana mi nna wivu Sana sana, nikatumia akili ya kiume nikaijua password ya simu yake ,

Sasa nikawa mida ya saa nane usiku namvizia amelala fofofo nafungua simu yake naanza kuikagua,ikawa ndio tabia yangu,

Mara ya mwisho Sasa nikaifungua simu yake, nakuta Kuna muhuni alikuwa anachatinae whatspp, muhuni akamuambia baby ukitoka kuoga naomba nikupigie Video call 😎 kabla ujavaa nguo,aisee yule mwanamke bwana kweli alivyotoka kuoga akafanya ivyo, nikakuta mengi, Mara bwana gafla yule mwanamke akashtuka usingizini, tukaanza kung'ang'aniana Simu Sasa,ye anaitaka,Mimi naizuia, ikawa Kama picha la kihindi, hapo tupo uchi Mimi pumbu zinaning'inia, yeye pia alkadhalika ,
Basi end of the day niliipigiza chini simu yake ya ghalama ,ikawa haifai, baada ya hapo ikawa mwisho wa Mimi na yeye,

Sasa mkuu nikaanza kuumia roho, nilikonda kwa kumuwadha, sometimes ikawa nahisi kujiua, sometime nahisi kupiga makelele,
Niliisha mwili, kumbuka nimezaanae huyo mwanamke,
Ila aisee Kuna njia nilifanya nikamsahau kabisakabisa, Mungu ni mwema kwakweli,


Kwaiyo hata wewe utamsahau tu Huyo kiumbe
Njia ipi hiyo?
 
kwa dini yetu Kuna Aya za Qur'an unaandikiwa kwa zafarani kweny karatas, then unailoweka kweny maji unakunywa, hautomkumbuka kwa mazuri milele huyo mtu,

Yaan anafutika kabisa akilini mwako,haukumbuki ila lililobaya tu kwake
Ha ha ha haaaaaaa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo ikawa tiba yako.imani kitu hatari sana
 
kwa dini yetu Kuna Aya za Qur'an unaandikiwa kwa zafarani kweny karatas, then unailoweka kweny maji unakunywa, hautomkumbuka kwa mazuri milele huyo mtu,

Yaan anafutika kabisa akilini mwako,haukumbuki ila lililobaya tu kwake

Ni Makosa kuihusisha Qur’an na USHIRIKINA mkuu hio ni Shirk
 
Inauma sana alafu kibaya utakuta kaolewa na jamaa mwingine siku upo misele unakuta wameongozana.
 
Pole mkuu!

Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana? Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....

Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa

Mrudie!
Ni ukweli usiopingika ndo huwa nasemaga unapo mfukuza mke jichunguze kama unamanisha ila kama ni hasira zinazungumza aise bora ujitenge kwa mda asila ikiisha maisha yaendelee
 
Kwanini usijishushe kuomba msamaha mkuu mkaendelea nae tu ..

Inaonekana umeingia uwanjani kucheza ligi kuu (ndoa)bila kucheza ndondo cup(kula ujana na kupitapita na wanawake kuwajua)...
Yeye anataka tusiachane TATIZO Mimi nimeshindwa kurudisha Moyo hasa ukiZingatia nnahasira yakumdhuru Kila nikimkumbuka na kumuona .... Nnaona atanigharimu nikirudiana nae.

Swala la kula ujana si kivili issue ni vile nilijitoa Kikamilifu kwakua ni Mama watoto wangu
Ajishusha mwanamke ataendelea kua na kiburi uamuz uliochukua mi binafs naona n mzuri
 
Nakuelewa sister.... Ila wakati Mimi ilitokea tulikua na tofauti na distance ya miezi karibu miwili. Kwa mapenz alinibana akaniuliza hivi kipindi chote sija sex tuu mi nikafunguka na kusay sorry kwa magoti... But ilipofika kwake badala aombe msamaha ananiforce nimesamehe kwakua na mimi nilichepuka mbaya Zaid na nyumban akaondoka.... Nadhani ameona alipokimbilia sio ndio Mana anataka tusiachane japo naona hayupo serious .
Uzi wako unaonyesha bado unampenda mkeo,mana bado umeendelea kuandika hili neno " mke wangu" pamoja na kua katika process za divorce.nakushauri mludie mkeo mlee watoto anzeni ukuransa mpya.gharama za kuachana utazilipia ww kama alivongea mchangiaji mmoja hapo juu
 
Mkuuu naona bado unampenda,Kama kweli umemfumania na wewe huwa humcheat mkeo... Basi achana naye.. Mana ukisema uishi naye IPO siku utamchinja.... Either muache hapo home na watoto wewe NENDA kapange room nadhani mbelen utaamua mwenyewe Kama uwe unatuma MAHITAJI ya watoto au urudi IENDELEEE kuishi naye
 
Jamaaaaa nahisi sio BAHARIA yaan hata mwenge began Hana aiseee... Hata ukifumaniwa live unasema sio wewe inagoma katakata
Ila na we ni boya unakubalije et ulichepuka na wakati ushahidi hakuna,yaani et mtu anakubana tu unakubali,hilo ni kosa kubwa ulifanya na usije ukarudia maisha yako yote,yaani angalau akufume laivu na hapo unasema hazikuwa ni akili zako na hujui kama ni wewe,watu wanakana hadi video wewe unakubali kwa maneno tuu
I
 
Habari,

Kwa masikitiko makubwa baada ya kugundua mke Wangu anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.

Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years). Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.

Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke ninaopata hadi nakonda na hamu ya kula inaisha. Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli[emoji180]. Nahisi. Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana nateseka.

Nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia. Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)

Separation sijambo rahisi wazee kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late. I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili yake.

Usiombe

Pole sana muombe mungu sana sali funga utamsahau na kuyashinda wote
 
Ndoa ngumu kuna mtu alimfumania mkewe akaulizwa vipi unamwacha aende kwao au arudi kwako.Jamaa akainama kisha kwa machozi akasema naondoka nae. Miye nikabakia hoi.
 
Uzi wako unaonyesha bado unampenda mkeo,mana bado umeendelea kuandika hili neno " mke wangu" pamoja na kua katika process za divorce.nakushauri mludie mkeo mlee watoto anzeni ukuransa mpya.gharama za kuachana utazilipia ww kama alivongea mchangiaji mmoja hapo juu
Natamani iwe ivo baada ya kuona mwenzangu amejifunza kitu, ila kwako anaonesha alifanya hivo kunikomoa
 
Back
Top Bottom