mr_politician
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 631
- 452
Mkuu,Kwanini usijishushe kuomba msamaha mkuu mkaendelea nae tu ..
Inaonekana umeingia uwanjani kucheza ligi kuu (ndoa)bila kucheza ndondo cup(kula ujana na kupitapita na wanawake kuwajua)...
yani kuchepuka achepuke mke wake,
then jamaa aombe msamaha,
daaaH!
Jamani acheni utani bana.
Mkuu jaribu ku imagine kwamba ungeishi vipi nawanao kama angekua Kafariki.
kama ungeweza, then ata saizi unaweza mkuu,
Sikushauri urudiane nae aisee,
Pagumu mwanzoni, but trust me yatakwisha hayo na utaizoea tuu io hali yasasa...
Kuhusu kuoa mke mwingine Sikushauri,
au vuta mdaa kdg,
walau mwaka 1 au 2,
nauwe umejiridhisha kwamba ataweza tunza wanao,
ila kama wawapenda sana wanao na waitaji uishi nao wewe mda wote
then don't Marry boss.
.