Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Ila na we ni boya unakubalije et ulichepuka na wakati ushahidi hakuna,yaani et mtu anakubana tu unakubali,hilo ni kosa kubwa ulifanya na usije ukarudia maisha yako yote,yaani angalau akufume laivu na hapo unasema hazikuwa ni akili zako na hujui kama ni wewe,watu wanakana hadi video wewe unakubali kwa maneno tuu
Katika kosa ambalo mwanaume hutakiwi kukiri ni kwamba kweli umechepuka. Bila kujali ushahidi wowote ule hupaswi kukiri daima
 
Sasa tutakua watu wa kulipiziana Hadi lini!?
Hata wewe unamsapoti kwa hili?
Mi nimemuona Kama mke mpumbavu aliyevunja nyumba yake mwenyewe
Kwa alichokifanya simsapoti Ila msamehe tu mkuu Mana hata ww ulishawahi kumcheat siyo vizuri kulipiziana kisasi
 
Kwa alichokifanya simsapoti Ila msamehe tu mkuu Mana hata ww ulishawahi kumcheat siyo vizuri kulipiziana kisasi
Ukitoa nafasi ya umama (kuzaa) alichobakiza ni sex tuu ndo naimiss.... Vingine vyoote alishapoteza maana hata malezi alikua Hana kwa watoto.
Let's wait mda uamue
 
Ukitoa nafasi ya umama (kuzaa) alichobakiza ni sex tuu ndo naimiss.... Vingine vyoote alishapoteza maana hata malezi alikua Hana kwa watoto.
Let's wait mda uamue
Sawa mkuu tuuache muda uamue Ila kumbuka hakuna mkamilifu
 
Sawa kumbuka hakuna mkamilifu inawezekana kapitiwa tu kashawishika tu pengine siyo tabia yake..

Je akimwacha akamwoa mwingine akimcheat atamwacha Tena?

Atawaacha wangapi mwisho wa siku watoto ndio watapata shida

Hivi kutotimiziwa mahitaji kunamfanya mtu atoke nje ya ndoa [emoji848][emoji848] nimesikitika sana

Kuacha hakuna idadi maalumu unaweza kuacha hata mara Elfu 2
 
Kama mwanamke atakuja kukuomba msamaha na kweli ameregret hapo unaweza kumfikiria. Otherwise achana naye. Peleka watoto kwa bibi tafuta mwanamke ambaye ataweza kukusukuma katika kipindi hiki ili uweze kusahau maumivu (temporary wife). Baadaye utarecover na kutafuta wa kukufaa. Jipende mwenyewe enjoy your life. You deserve best. Acha kumfikiria.

Sent from my SM-G530W using JamiiForums mobile app
Sure ndugu
 
Utaangalia mwenyewe ssa,ila kama huko alikoenda walimkoa fresh baasi tambua hawezi acha kamwe
Mkisharudiana ataacha kwa muda huku analinganisha ladha then unakuja mwendelezo ambao ukija gundua,Nakuona kwenye nondo au kaburini.

Acha kumpoteza jamaa, hapo yeye akaze hakuna kubembeleza mtu ameenda kugongesha mpaka umejua si dharau hizo. Mie sinaga msamaha hata nimemcheat mara 1000. Kila mtu huwa anacheat ila suala ni kwamba Fanya kwa siri nisijue tofauti na hapo kibarua kitaota nyasi.
 
Back
Top Bottom