Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Utapotea wewe...hakupendi angekuzalia watoto?

Hao wanaokushauri hivo nao mahusiano yao rojorojo, tia maji shauri yako
Alicheki DNA?
Mwanamke mzinzi anaweza kukuzalia watoto wako toka kwa wanaume wengine tofauti... kila mtoto na baba yake..
 
Hahahahahaha huwa niko busy kuchukua notes KE akiwa anaelezea kuhusu MUME/BF kuchepuka na yeye kuamua kumsamehe kumbe what comes around goes around.

Kumbe unajua[emoji1787][emoji1787]
 
Ni kwel Mimi ni chanzo lakini je kwa mke wa mtu mwanamke mwerevu mwenye watoto kuacha nyumba yako ukaamia kwa mpita njia ni ujanja au upumbavu!??

#chanzo Mimi simtimizii nahitaji yake yooote
Pole Sana mkuu Mimi nakushauri usimwache watoto ndio watakaopata shida kumbuka mazuri yake pia msamehe

[emoji848][emoji848] Ni mahitaji gani kakosa jaman hadi akaamua kukucheat mi nafikiri sababu kubwa hapo ni kulipiza kisasi kwa sababu nawewe ulimcheat
 
Kaka mke mzinzi sio wa kurudiana nae
Ukisharudiana naye inakuwa hivi,"Yani nikichelewa kidogo unahisi mi nilikuwa kwa wanaume",unaamua kukaa kimya, hapo ukute kweli alikuwa kule kule au kwa mwingine.Ndoa hizi, tuachieni siye ma senior...
 
Pole Sana mkuu Mimi nakushauri usimwache watoto ndio watakaopata shida kumbuka mazuri yake pia msamehe

[emoji848][emoji848] Ni mahitaji gani kakosa jaman hadi akaamua kukucheat mi nafikiri sababu kubwa hapo ni kulipiza kisasi kwa sababu nawewe ulimcheat
Mwanamke msaliti harudiwiiiii!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alicheki DNA?
Mwanamke mzinzi anaweza kukuzalia watoto wako toka kwa wanaume wengine tofauti... kila mtoto na baba yake..
Hapana

Kati ya vitu mwanamke yuko makini ni kuzaa watoto nje labda uwe huna mbegu mume[emoji848]
 
Polee sana Mkuu
Jikaze kaka, usithubutu kurudiane naye. Utasumbuka kwa muda tu ila baadae utazoea. Lakini liwe funzo kwako na wenhine mnaojidanganya Kuwa Marriage is a a sacred thing mnaacha hata kuwa na Back up somewhere. Katika maisha yangu haya sitaweza kukaa na Mwanamke mmoja.


Back up is for everyone, people are cruel and heartless. Don’t ever forget and trust somebody. Utaishi kwa amani sana. I am very sorry, this too shall pass.
Kwa taarifa yako huyu mleta mada alikuwa na michepuko ya kutosha tu mbona mke kalipiza na yeye analia lia hapa
 
Mbona hata nyie mnatusaliti au kwenu nyie ni sawa?
Tuna tofauti kubwa sana kati yetu. Mimi sijawahi msaliti mke wangu hata siku moja, lakini ikitokea hivyo sitamdharau wala kupunguza chochote ndoani mwetu. Ni hulka na maumbile yetu, ila mwanamke akishaanza kufanya hivyo hapo hamna nyumba/familia tena. Mwanamke msaliti haachi, mana mwanamke hafanyi mapenzi kama starehe, anafanya kwa upendo tofauti na mwanaume. Mwanamke hampi mwili wake mtu asiempenda ndio maana akichepuka huwa tabu kuacha na dharau kwa mmewe. Kama anabisha arudiane nae ataleta ushuhuda mwingine.
 
pole sana miwangu aliend hadi mahakamani kuomba taraka na taraka Kapewa badae kesi ikAmliwa nimpe asirimi 30 akaaata rufAaa badae kesi ikamliwa nimpenyumba akae na watoto kipindi chote hicho mimi sikuwa mtu wa kufatiri kesi maana tiYari nimesha mpisha nikaenda kupanga chumba kimojA akabaki nyumba nikapata mtu nikamwambia tukae tusogeze maisha leo nimwexi wa 7 juzi kati hapa kaumwa kashidwaa kutoka ndani niliendA kuchek madogo nikakuta anaumwa sana nikazama mfokon nikampa dogo pesa kumbe alikuwa yuko hoi nilipo mpa pesa akakimbiA hospitar akalazwA biri kuja adaiwa sh 300000 hana ata mia kiroho safi nikamlipia kilakitu ila kisheria mimi sikupaswaa kufanya ivyo wanawake wengi huwa wanakurupuka badae mbele anakwama mrie buyu anawexa kuja amesha nyooka mambo yamemshinda anaitaji msaada apo wewe unakuwa mbabe
 
TATIZO nna Moyo mdogo saana linapokuja swala la kusalitiwa. . Nikipenda napenda saana kupitiliza Sasa ndo Mana ukinivuruga kunirudisha Kama mwanzo inakua ngumu. Kusamehe nimesamehe ila Kila nikimuona naingia hasira Kali natamani hata kuua, naona itanidhuru baadae. Nateseka kinyama yaani.
Bro mwache Dada aendelee na maisha yake nawe muda ukipita utazoea!!
 
Yeye anataka tusiachane TATIZO Mimi nimeshindwa kurudisha Moyo hasa ukiZingatia nnahasira yakumdhuru Kila nikimkumbuka na kumuona .... Nnaona atanigharimu nikirudiana nae.

Swala la kula ujana si kivili issue ni vile nilijitoa Kikamilifu kwakua ni Mama watoto wangu
Kila mtu akae mwenyewe hata miezi 6 then ikipita utatathmini mwenyewe!
 
Tuna tofauti kubwa sana kati yetu. Mimi sijawahi msaliti mke wangu hata siku moja, lakini ikitokea hivyo sitamdharau wala kupunguza chochote ndoani mwetu. Ni hulka na maumbile yetu, ila mwanamke akishaanza kufanya hivyo hapo hamna nyumba/familia tena. Mwanamke msaliti haachi, mana mwanamke hafanyi mapenzi kama starehe, anafanya kwa upendo tofauti na mwanaume. Mwanamke hampi mwili wake mtu asiempenda ndio maana akichepuka huwa tabu kuacha na dharau kwa mmewe. Kama anabisha arudiane nae ataleta ushuhuda mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kumbuka hakuna mkamilifu inawezekana kapitiwa tu kashawishika tu pengine siyo tabia yake..

Je akimwacha akamwoa mwingine akimcheat atamwacha Tena?

Atawaacha wangapi mwisho wa siku watoto ndio watapata shida

Hivi kutotimiziwa mahitaji kunamfanya mtu atoke nje ya ndoa [emoji848][emoji848] nimesikitika sana
 
Sawa kumbuka hakuna mkamilifu inawezekana kapitiwa tu kashawishika tu pengine siyo tabia yake..

Je akimwacha akamwoa mwingine akimcheat atamwacha Tena?

Atawaacha wangapi mwisho wa siku watoto ndio watapata shida

Hivi kutotimiziwa mahitaji kunamfanya mtu atoke nje ya ndoa [emoji848][emoji848] nimesikitika sana
Nakuelewa mkuu na yaweza isiwe tabia yake. Ila kama kapata haswa anachokitaka haachi, hata amsamehe hamna ndoa hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu amsamehe tu akirudia tena amwache na huyo dada ni Kama analipiza kisasi kutokana na maelezo yake
Hawezi heshimika tena. Inauma sana ukivuta picha ile raha anakupa afu amepewa mwingine. Wahuni wakimpata mke wa mtu kazi yao si yakitoto. Dah pole yake mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi namshangaa mkuu... badala amuite yaishe walee watoto yy ameendekeza kisasi tena kinamtafuna mwenyewe[emoji848]
wanawake tunaweza san alf wanasema sisi viumbe dhaifu wao kwenye mapenzi ni dhaifu zaidi sisi tunasemehe ata tukufumania na maisha yanaendlea
 
Back
Top Bottom