Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

hahaha jamaa dhaifu sana ila okay kosa lake omba wewe msamaha mkuu mrudiane but kama kapata ujasiri wa kwenda kuishi na huyo mwanaume dah sioni upendo hapo angeenda kwao sawa ila kasepa kwenda kwa jamaa Mungu akutangulie.
 
Pole mkuu!

Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana? Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....

Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa

Mrudie!

Anakufa yule ambaye amewekeza kwa mwanamke, these days things have changed. Not as before, siwezi mpa mwanamke asilimia zote. Hata kama akiamsha hainiumi.
Na haya ndio madhara ya kuishi unamtegemea mwanamke au Mwanaume awe chanzo cha Furaha yako.

I trust no body except Me.
 
Kwanini usijishushe kuomba msamaha mkuu mkaendelea nae tu ..

Inaonekana umeingia uwanjani kucheza ligi kuu (ndoa)bila kucheza ndondo cup(kula ujana na kupitapita na wanawake kuwajua)...

Hii ya kupita ndondo Cup watu wanaichukuliaga masihara ila inasaidia sana. Just imagine, getting married without being heartbroken even once alfu ndio uje Uzinguliwe kwenye ndoa si itakuwa kama huyu Jamaa.

Wanaomfahamu wajitahidi kuwa naye karibu anaweza akafanya ujinga wa kujitoa uhai. Heartbreak’s pains are unbearable.
 
Habari,

Kwa masikitiko makubwa baada ya kugundua mke Wangu anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.

Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years). Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.

Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke ninaopata hadi nakonda na hamu ya kula inaisha. Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli💘. Nahisi. Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana nateseka.

Nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia. Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)

Separation sijambo rahisi wazee kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late. I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili yake.

Usiombe


Kama uliyoandika kumhusu ni kweli na kwa Amani amekuachia watoto wa miaka 7 huyo hakuwa mke na shukuru Mungu kaenda!

Unaweza kuteseka ila upo kwenye njia sahihi, achana naye kabisa, haya yote utayazoea!
 
Habari,

Kwa masikitiko makubwa baada ya kugundua mke Wangu anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.

Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years). Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.

Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke ninaopata hadi nakonda na hamu ya kula inaisha. Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli[emoji180]. Nahisi. Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana nateseka.

Nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia. Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)

Separation sijambo rahisi wazee kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late. I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili yake.

Usiombe


Polee sana Mkuu
Jikaze kaka, usithubutu kurudiane naye. Utasumbuka kwa muda tu ila baadae utazoea. Lakini liwe funzo kwako na wenhine mnaojidanganya Kuwa Marriage is a a sacred thing mnaacha hata kuwa na Back up somewhere. Katika maisha yangu haya sitaweza kukaa na Mwanamke mmoja.


Back up is for everyone, people are cruel and heartless. Don’t ever forget and trust somebody. Utaishi kwa amani sana. I am very sorry, this too shall pass.
 
TATIZO nna Moyo mdogo saana linapokuja swala la kusalitiwa. . Nikipenda napenda saana kupitiliza Sasa ndo Mana ukinivuruga kunirudisha Kama mwanzo inakua ngumu. Kusamehe nimesamehe ila Kila nikimuona naingia hasira Kali natamani hata kuua, naona itanidhuru baadae. Nateseka kinyama yaani.

Mkuu pole sana, ila usifikirie habari ya kuua.
Move on, ikibidi ondoka hapo nyumbani ukae mbali naye. Utazoea tu japo ni ngumu ila inawezekana. Polee sana
 
Wewe hujawahi kumsaliti?

Maana kama hujawahi kumsaliti toka muanze uhusiano wenu, basi usimrudie[emoji848][emoji848]

Lakini kama unafanyaga basi endelea nae mkuu, hakuna mkamilifu labda upige chini mahusiano but % kubwa usaliti umetamalaki

Yaani kama kunisaliti anisaliti tu, Haijalishi mimi nimemsaliti mara ngapi. Ila nisijue, that’s it. Siwezi kusamehe mtu nimemkamata red handed.

Code: Cheat unavyojua ila usikamatwe.
 
Yeye anataka tusiachane TATIZO Mimi nimeshindwa kurudisha Moyo hasa ukiZingatia nnahasira yakumdhuru Kila nikimkumbuka na kumuona .... Nnaona atanigharimu nikirudiana nae.

Swala la kula ujana si kivili issue ni vile nilijitoa Kikamilifu kwakua ni Mama watoto wangu

Kama haukula ujana vyema, ndio maana unateseka.
Kwa uzoefu wangu wa kuwafilimba na nimeachana na mademu kibao. So kuachana na mtu hakunitoi roho walah hata.
 
Ningemsamehe tatiZo njia aliyotumia

Ulikosea kumsaliti mwenzio in the first place na yeye amekosea kukulipizia kwa kukusaliti. Usaliti unaumiza pande zote. Jipe muda, tulia jiuguze maumivu yako na yeye ajiuguze ya kwake. Baadaye kaeni muone namna ya kuweka mambo sawa. Hakuna kisichozungumzika. Naamini muafaka utafikiwa tu
 
Pole mkuu!

Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana? Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....

Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa

Mrudie!
Hapo kwenye shirk nimepapenda sana Wittie,...afu we mtt huwa nakuhusudu kinyama yan,,,,,,dooh!!!
 
Pole ndugu yangu ndio ukubwa..ila mwanaume inauma ukisalitiwa askwambie mtu.
 
Kama wewe ni family man utanielewa kinyume huwezi kunielewa
Kama mwanamke atakuja kukuomba msamaha na kweli ameregret hapo unaweza kumfikiria. Otherwise achana naye. Peleka watoto kwa bibi tafuta mwanamke ambaye ataweza kukusukuma katika kipindi hiki ili uweze kusahau maumivu (temporary wife). Baadaye utarecover na kutafuta wa kukufaa. Jipende mwenyewe enjoy your life. You deserve best. Acha kumfikiria.

Sent from my SM-G530W using JamiiForums mobile app
 
Ego yako imekuwa so bruised.
TAFUTA HELA.
ILA PIA FANYIA KAZI VITU VIWILI
-KUJIAMINI.
-UTAWALA WA KIUME.

Sisi wanawake hatupendi sana wanaume wa aina yako.

Mi hapa unavolalamila lalamika hivi yani uuuuuuuwih najikuta tu nakosa poz.

This isn't ideal kind of man ,a woman wud settle with , let alone settle for less.
Na hata akishasettle ,kukukimbia rahisi sana.
Akikutana tu ni mwenye personality ya umiliki na utawala kukuacha ni dk sifuri.

Niamini mimi, you are too naive.
Too fragile.
Ulikuwa mume but hukuwa na ownership kwa huyo mke.
Mwanamke akikosa kumilikiwa ( haihusishi hata kidogo na ukatili, unynyasaji)
Humpi sababu ya kuwa mkeo au kuendelea kuwa mkeo.

Ungenioa mimi , we hata mwezi usingemaliza.
Kwanza sijui hata ungepeleka posa kwetu.
Ah, hata kwanza usingenitongoza.
Kila siku ungekuwa unalia lia.
Na nisingekuelewa still.

Sijakutukana, nimekuwa tu mkweli nikusaidie.
Una mengi ya kufanyia kazi ndani yako kabla ya kufikiri ndoa inakuondolea ukamilifu.

THE INNER YOU ndo kuna shida, na hii usopoifanyia kazi.
Kila siku utakuwa na threads hapa.
embu fafanua vizuri umiliki kivipi vipi
 
Kwa uchungu mkubwa nikupe polekwa kutombewa ndugu yangu, again nikupe pole kwa ku compromise na issues zinazohusu usaliti hasa kwa mwanamke, we jamaa, hivi unajua mwanamke aliyetombwa nje kisawasawa huwezi kumbadilisha hata ukirudiana nae?, for experience nimekula wake za
Umemaliza mkuu, akitaka aje kufa amsamehe, mwanamke alitombwa nje haachi hata aje huku anatambaa kuomba msamaha.
 
Back
Top Bottom