Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Pole mkuu , nilipitia hali kama yako so tunajuana ndgu yangu. Yawezekana alikua anakupenda ila kujishusha shusha kwako kumeshusha CV yako akakudharau. Na kama mkirudiana basi jaribu kubadilika weka kaukali kidogo kwenye mambo usiyopenda.

Wanawake ndo wapo hivyo wanataka mwanaume strong coz wanaamini we ndo mlinzi wake. Sasa akiona mtu unalega lega kama mlenda, kosa lake unaomba msamaha wewe. Apo ndgu yang unapoteza sifa hata kama anakupenda aje.
Sure I learnt a lesson from it
 
Muachie nyumba akae na watoto wewe kaanze maisha ya ubachela.
 
Habari,

Kwa maskitiko makubwa baada ya kugundua mke Wang anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.

Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years).

Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.

Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke nnaopata Hadi nakonda na hamu ya kula inaisha.

Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli💘. Nahisi
Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana na teseka

nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi Kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia .

Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)

Separation sijambo rahisi wazee Kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late.

I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili take.

Usiombe
 
Ego yako imekuwa so bruised.
TAFUTA HELA.
ILA PIA FANYIA KAZI VITU VIWILI
-KUJIAMINI.
-UTAWALA WA KIUME.

Sisi wanawake hatupendi sana wanaume wa aina yako.

Mi hapa unavolalamila lalamika hivi yani uuuuuuuwih najikuta tu nakosa poz.

This isn't ideal kind of man ,a woman wud settle with , let alone settle for less.
Na hata akishasettle ,kukukimbia rahisi sana.
Akikutana tu ni mwenye personality ya umiliki na utawala kukuacha ni dk sifuri.

Niamini mimi, you are too naive.
Too fragile.
Ulikuwa mume but hukuwa na ownership kwa huyo mke.
Mwanamke akikosa kumilikiwa ( haihusishi hata kidogo na ukatili, unynyasaji)
Humpi sababu ya kuwa mkeo au kuendelea kuwa mkeo.

Ungenioa mimi , we hata mwezi usingemaliza.
Kwanza sijui hata ungepeleka posa kwetu.
Ah, hata kwanza usingenitongoza.
Kila siku ungekuwa unalia lia.
Na nisingekuelewa still.

Sijakutukana, nimekuwa tu mkweli nikusaidie.
Una mengi ya kufanyia kazi ndani yako kabla ya kufikiri ndoa inakuondolea ukamilifu.

THE INNER YOU ndo kuna shida, na hii usopoifanyia kazi.
Kila siku utakuwa na threads hapa.
Fanya tukutane physically naona utanisaidia saana😇😇
 
TATIZO Sina demu na nahitaji demu mkali zaidi yake ili nafsi yangu itulie
Yaani demu mkeo wa ndoa ni demu kuna umuhimu wa kusikiliza upande wa pili kabla ya kutoa ushauri eti una hitaji demu mkali zaidi yake hata ukipata demu mkali kamwe hutomsahau nguvu ya upendo
 
Ego yako imekuwa so bruised.
TAFUTA HELA.
ILA PIA FANYIA KAZI VITU VIWILI
-KUJIAMINI.
-UTAWALA WA KIUME.

Sisi wanawake hatupendi sana wanaume wa aina yako.

Mi hapa unavolalamila lalamika hivi yani uuuuuuuwih najikuta tu nakosa poz.

This isn't ideal kind of man ,a woman wud settle with , let alone settle for less.
Na hata akishasettle ,kukukimbia rahisi sana.
Akikutana tu ni mwenye personality ya umiliki na utawala kukuacha ni dk sifuri.

Niamini mimi, you are too naive.
Too fragile.
Ulikuwa mume but hukuwa na ownership kwa huyo mke.
Mwanamke akikosa kumilikiwa ( haihusishi hata kidogo na ukatili, unynyasaji)
Humpi sababu ya kuwa mkeo au kuendelea kuwa mkeo.

Ungenioa mimi , we hata mwezi usingemaliza.
Kwanza sijui hata ungepeleka posa kwetu.
Ah, hata kwanza usingenitongoza.
Kila siku ungekuwa unalia lia.
Na nisingekuelewa still.

Sijakutukana, nimekuwa tu mkweli nikusaidie.
Una mengi ya kufanyia kazi ndani yako kabla ya kufikiri ndoa inakuondolea ukamilifu.

THE INNER YOU ndo kuna shida, na hii usopoifanyia kazi.
Kila siku utakuwa na threads hapa.
Kaomba physically mkutane umsaidie
 
Back
Top Bottom