Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Nimefikiria kdg kwa kuwaunampenda na bado unamuitaji alee watoto wako bas mpe likizo ya miezi mitatu HV au miwil Wala usitoe talaka mrudushe Apo hasira yako itakuwa imepoaa snaana maisha yateendeleaa kwakwel kumpata mtu atakae kuzoee muda huu Ni Kaz Sana unaenda kuzoa makahaba tu bas mungu akusaidie
TATIZO hiio miezi mitatu na yeye anageuka kahaba
 
Ni rahisi wewe kusema hivyo sababu ni mwanamke....huijui inner psychology ya wanaume. dhambi kubwa ya mwanamke kwa mme wake ni kwenda kutombesha nje...wanaume wengi tuko very serious na hii kitu, hatutaki ujinga. Tukijua things will never be the same again...
Huwezi amini alikua hapiki Wala haangalii watoto yeyw ni kujua wameamka shule na wamelala anawahi kazini na kuja kulala karibu mwaka Sasa na nilikua navumilia kisa anadai ana tafuta hela ya kusaidia kwao..... Siku lalamika ila kwa ishu ya kuxhapiwa asikwambie mtu
 
Mwanaume huwa hasaliti ndoa, yeye anakutwa tu. Anayesaliti ni mwanamke na according to men mke akisaliti ndoa dawa ni talaka, ila mume akikutwa na michepuko mke anatakiwa kusamehe. Wanaume wote wanaishi humo [emoji23] hiyo ndo falsafa yao na huwatoi hapo.
Kunywa maji ntalipa😝😝
 
Alikwambia! Au ulijuaje kama anachepuka?

Huwezi amini alikua hapiki Wala haangalii watoto yeyw ni kujua wameamka shule na wamelala anawahi kazini na kuja kulala karibu mwaka Sasa na nilikua navumilia kisa anadai ana tafuta hela ya kusaidia kwao..... Siku lalamika ila kwa ishu ya kuxhapiwa asikwambie mtu
 
Alikwambia! Au ulijuaje kama anachepuka?
Niligundua mawasiliano yako wakiongea na jamaa kupitia simu yake ndo ikabidi aseme ukweli kua anamahusiano na huyo mtu na kunisanukia hata alivyokua hakulala nyumbani alikua kwa jamaa ila haku sex nae mpaka leo😤😤 dahhh mwanamke ananiona zuZu balaa
 
Mwanaume halisi harudii mwanamke msaliti kwa sababu yeyote ile. Mwanamke hasaliti for funny kama mwanaume. Mwanamke husaliti kwa kuvutiwa na kitu/upendo. Ukimsamehe hataacha kamwe hata aombe msamaha wa aina gani. Unachopitia ni kitu cha kawaida haswa kwa vile umesema si mtu wa michepuko na pia alikua rafiki pia. Kamwe usimrudie kwa sababu yyte ile. Inuka, songa mbele ila kama unajiweza sepa, muache akae na watoto hapo mgetoni, hiyo ndio principle yangu ikitokea nimetengana na wife. Pole sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niligundua mawasiliano yako wakiongea na jamaa kupitia simu yake ndo ikabidi aseme ukweli kua anamahusiano na huyo mtu na kunisanukia hata alivyokua hakulala nyumbani alikua kwa jamaa ila haku sex nae mpaka leo[emoji36][emoji36] dahhh mwanamke ananiona zuZu balaa
Pole mkuu alishaliwa, achana nae mazima utakuja kunishukuru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Pole mkuu!

Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana?

Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....

Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa

Mrudie!

Kuna Mambo ya Kusamehe ila sio Kugongewa na MASELA.
 
Habari,

Kwa maskitiko makubwa baada ya kugundua mke Wang anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.

Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years).

Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.

Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke nnaopata Hadi nakonda na hamu ya kula inaisha.

Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli💘. Nahisi
Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana na teseka

nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi Kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia .

Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)

Separation sijambo rahisi wazee Kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late.

I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili take.

Usiombe
mkuu ukimrudia sio dhambi, mpigie simu arudi nyumbani
 
Basi angelipiza nikiwa na hela
Ego yako imekuwa so bruised.
TAFUTA HELA.
ILA PIA FANYIA KAZI VITU VIWILI
-KUJIAMINI.
-UTAWALA WA KIUME.

Sisi wanawake hatupendi sana wanaume wa aina yako.

Mi hapa unavolalamila lalamika hivi yani uuuuuuuwih najikuta tu nakosa poz.

This isn't ideal kind of man ,a woman wud settle with , let alone settle for less.
Na hata akishasettle ,kukukimbia rahisi sana.
Akikutana tu ni mwenye personality ya umiliki na utawala kukuacha ni dk sifuri.

Niamini mimi, you are too naive.
Too fragile.
Ulikuwa mume but hukuwa na ownership kwa huyo mke.
Mwanamke akikosa kumilikiwa ( haihusishi hata kidogo na ukatili, unynyasaji)
Humpi sababu ya kuwa mkeo au kuendelea kuwa mkeo.

Ungenioa mimi , we hata mwezi usingemaliza.
Kwanza sijui hata ungepeleka posa kwetu.
Ah, hata kwanza usingenitongoza.
Kila siku ungekuwa unalia lia.
Na nisingekuelewa still.

Sijakutukana, nimekuwa tu mkweli nikusaidie.
Una mengi ya kufanyia kazi ndani yako kabla ya kufikiri ndoa inakuondolea ukamilifu.

THE INNER YOU ndo kuna shida, na hii usopoifanyia kazi.
Kila siku utakuwa na threads hapa.
 
Pole mkuu!

Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana?

Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....

Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa

Mrudie!
Unarudiana na malaya....??...NEVER.NEVER....
 
Back
Top Bottom