witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Achana na wanyamaHahahahahahaha nyie mna huo uwezo wa kusamehe na maisha yakaendelea lakini ME kuingiliwa maeneo yake ya kujidai kusamehe ni ngumu sana. Umeshawahi kuwaona majike ya wanyama wowote wale hata kuku wanagombea MadumeLakini jogoo na wanyama wengine madume yanapigana sana kwa sababu ya majike.
Tena sisi tunaumia kuliko nyinyi nikwambie ukweli