Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Nimemkumbuka mke wangu baada ya kuachana

Umeandika Kama unanifahamu. .. ukweli mtu hata wazazi wake hasa baba amenilaumu kwakumpenda binti ake bila akili mpaka nnkamwaribu
Pole mkuu , nilipitia hali kama yako so tunajuana ndgu yangu. Yawezekana alikua anakupenda ila kujishusha shusha kwako kumeshusha CV yako akakudharau. Na kama mkirudiana basi jaribu kubadilika weka kaukali kidogo kwenye mambo usiyopenda.

Wanawake ndo wapo hivyo wanataka mwanaume strong coz wanaamini we ndo mlinzi wake. Sasa akiona mtu unalega lega kama mlenda, kosa lake unaomba msamaha wewe. Apo ndgu yang unapoteza sifa hata kama anakupenda aje.
 
Mwanaume halisi harudii mwanamke msaliti kwa sababu yeyote ile. Mwanamke hasaliti for funny kama mwanaume. Mwanamke husaliti kwa kuvutiwa na kitu/upendo. Ukimsamehe hataacha kamwe hata aombe msamaha wa aina gani. Unachopitia ni kitu cha kawaida haswa kwa vile umesema si mtu wa michepuko na pia alikua rafiki pia. Kamwe usimrudie kwa sababu yyte ile. Inuka, songa mbele ila kama unajiweza sepa, muache akae na watoto hapo mgetoni, hiyo ndio principle yangu ikitokea nimetengana na wife. Pole sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mweeh wewe bado uko na wife wako ila unamshauri mwanaume mwenzako amuache wake..so selfish [emoji848][emoji21]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi huwa hamsamehi huwa mnazuga tu kisha kwenda kuchepuka utadhani malaya wa kona Bar. Ndani ya kipindi kifupi umechepuka na ME wanne au watano. Na hili la kurevenge nimelisikia sana kwa KE waliomo ndani ya ndoa. Yeah! Nachelewa kurudi atanidunda lakini ndiyo nimeshalalwa na ME mwingine kwa raha zetu lol!!!
Kumbe unajua[emoji1787][emoji1787]
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kila siku tunasema unapoachana na mtu " Hesabu gharama kwanza" kabla ya kufikia conclusion. Na katika kuhesabu gharama usimuhusishe mtu yeyote Bali wewe mwenyewe kwa sababu gharama za kuachana unalipia wewe, unayemuacha na watoto wako.

LAKINI pia Kaa ukijua kwamba hata mke au mume akukosee Nini, tambua kuwa Kuna uzuri wake na Kuna faida za kuwa naye ambazo hutazipata mtakapoachana. So mkitaka kuachana hakikisha kosa lake limesababisha 'usimpende tena'; namaanisha uzito wa kosa uwe umezidi kiwango Cha upendo, then uko tayari kulipia gharama zote za kuachana. Then unaweza kumuacha mtu, vinginevyo utateseka sana.

Gharama za kuachana ni kama, watoto kulelewa na upande mmoja, kuona mkeo akiolewa au mume akioa mtu mingine, matatizo ya kiuchumi, upweke, ugumu wa kulea watoto ukiwa peke yako n.k
Hata Biblia imeruhusu waachane.... Mwanamke mzinzi ni sumu...
Wasukuma tu ndo huwa wanawasamehe wakiwafumania
 
Habari,

Kwa maskitiko makubwa baada ya kugundua mke Wang anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.

Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years).

Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.

Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke nnaopata Hadi nakonda na hamu ya kula inaisha.

Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli💘. Nahisi
Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana na teseka

nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi Kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia .

Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)

Separation sijambo rahisi wazee Kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late.

I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili take.

Usiombe
Muwe mnatoa msamaha ona sasa unavyohaha, na watoto chini ya miaka 7 ungemwachia mkeo lakini kwasababu ya kutaka kumkomoa hukuruhusu.
 
Hata Biblia imeruhusu waachane.... Mwanamke mzinzi ni sumu...
Wasukuma tu ndo huwa wanawasamehe wakiwafumania
Yes biblia inaruhusu lakini hailazimishi kuachana kwa sababu ya uzinzi. So ikitokea mtu kafumania anatakiwa kuchukua maamuzi binafsi lakini kwanza anatakiwa kuhesabu gharama zote za kuachana na ajue atadeal Nazo vipi kabla ya kuachana. Lakini pia uwe uamuzi binafsi, asishinikizwe na rafiki, mama, baba, au ndugu yoyote
 
For the sake of your Children,tafadhari samehe na fanya utaratibu wa kurudiana naye! Vinginevyo hutakuja kupata amani kabisa.
Achana na mambo ya Talaka hata kama ataomba yeye Talaka kataa!
 
Not every loss is a loss kama mtu anakusaliti na mna watoto under 7.. Huyo akishawishiwa na mchepuko wake akuue si dk 0 tu.

Bible pia inaruhusu mwanamke kuachwa kwa kosa moja tu la uasherati maana yake ni kwamba hilo kosa ni zaidi ya makosa ya kawaida
 
Muwe mnatoa msamaha ona sasa unavyohaha, na watoto chini ya miaka 7 ungemwachia mkeo lakini kwasababu ya kutaka kumkomoa hukuruhusu.
Wala si kumkomoa kaniachia mwenyewe
 
For the sake of your Children,tafadhari samehe na fanya utaratibu wa kurudiana naye! Vinginevyo hutakuja kupata amani kabisa.
Achana na mambo ya Talaka hata kama ataomba yeye Talaka kataa!
Ishu iko complected now japo I wish ingekua hivo
 
Not every loss is a loss kama mtu anakusaliti na mna watoto under 7.. Huyo akishawishiwa na mchepuko wake akuue si dk 0 tu.

Bible pia inaruhusu mwanamke kuachwa kwa kosa moja tu la uasherati maana yake ni kwamba hilo kosa ni zaidi ya makosa ya kawaida
Yaani hii point ndio inaniumiza kichwa balaa
 
Utapotea wewe...hakupendi angekuzalia watoto?

Hao wanaokushauri hivo nao mahusiano yao rojorojo, tia maji shauri yako
Kwao lazima wote wawe wake? Anawezza kuwaleta kutoka mchepukoni.
 
Back
Top Bottom