🤣🤣🤣🤣🤣unanogesha na wana NJENJE kwa mbaaaaliSiku hizi taarabu zenu vurugu nyingi.
Raha ya taarabu ilikuwa mduara wanawake mbele wanaume nyuma.
Mnazunguka.
Hapo inapigwa riziki mafungu saba,paka mapepe,nimekinai umasikini wangu n.k
Mara zinapigwa za Omar kopa,mzee issa matona n.k
Kuja kushtuka saa 9 usiku.
Wanaanza kupiga bongo fleva.kipindi hicho hakuna singeli
Zipo nyingi ila mpaka uwe mpenzi WA taarab utafahamu ipi.Najua mtaani bado ipo na mimi nasikiliza taarabu sana ila niambie msanii gani wa taarabu anayetrend saivi au wimbo gani wa taarabu upo kwenye trend
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]unanogesha na wana NJENJE kwa mbaaaali
Hata hizo ulizozitaja mkuu bado sio taarab za kizamani. Hizo zote ni modern na zipo mpk sasa sema sio mpenzi WA taarab huwezi kuzifaham.
Hazina mzuka kama za akina NasmaZipo nyingi ila mpaka uwe mpenzi WA taarab utafahamu ipi.
Kwan wewe mkuu unazungumzia uzaman ule wa Muunguja Siti Bint Saad ama 🤣🤣🤣?Hata hizo ulizozitaja mkuu bado sio taarab za kizamani. Hizo zote ni modern na zipo mpk sasa sema sio mpenzi WA taarab huwezi kuzifaham.
Enhee taarab za zamani za kina siti bwana 😂😂😂 hizo za kina khadija zote modern na ndio zipo mpk leo .Kwan wewe mkuu unazungumzia uzaman ule wa Muunguja Siti Bint Saad ama 🤣🤣🤣?
Wewe sio mpenzi mkuu wa hiyo fani uliifatilia Kwa mkumbo Tu.Hazina mzuka kama za akina Nasma
Wewe tu uliifatilia Kwa mkumbo ila wapenzi wataarab tunazidi kuburudika dailyhizo ujue zilikuwa za miaka ya 2003 kupanda juu.
Ni modern taarabu lakini hazijachangamka Kama hizi za saa
Ndio mbaya kupumuliwa mkuu...Sio mbaya
Mbaya kwakoNdio mbaya kupumuliwa mkuu...
Kwako ni ruksa??Mbaya kwako
Kipindi kile kila mtu alifuatilia taarab ndo ujue hao waimbaji walikuwa spesho.Wewe tu uliifatilia Kwa mkumbo ila wapenzi wataarab tunazidi kuburudika daily
Kilicho kibaya kwako si lazima kiwe kibaya na kwa mwenzakoKwako ni ruksa??
Confirm, wewe kupumuliwa ni kitendo kizuri kwako??Kilicho kibaya kwako si lazima kiwe kibaya na kwa mwenzako
Sio kitendo kizuri wala kibaya. Ni kitendo tu kama vitendo vingine visivyovunja sheriaConfirm, wewe kupumuliwa ni kitendo kizuri kwako??
Sheria ipo bana,ukibainika unatiwa hatianiSio kitendo kizuri wala kibaya. Ni kitendo tu kama vitendo vingine visivyovunja sheria
Sheria ipi na ya wapi?Sheria ipo bana,ukibainika unatiwa hatiani
SomaSheria ipi na ya wapi?