Nimemkuta Ex wangu 'Anajiuza' roho imeniuma sana

Nimemkuta Ex wangu 'Anajiuza' roho imeniuma sana

Tafuta namna ya kumshawishi uonane nae. Muongee mawili matatu labda utaweza kumsaidia kimawazo au kifedha.
 
hata ningekublock tu, unamuulizaje kwa simu jambo kubwa namna hiyo, ungemtafuta siku nyingine tena ukiwa umeshamtumia hata elfu hamsini ili akija asiwe na mawazo ya kukosa biashara ya siju hiyo
Mungu anakuona...
 
Mkuu kiimani Ukimtoa Mwanamke Bikra huyo ndo Mke wako wa agano kabisa maana alivuja damu siku hiyo sasa kama hujui alama ya damu aloimwaga siku ya kwanza basi.

Jitahidi umtafute muongeee tena na kama una nia ya kumrekebisha ongea nae kwa ukarimu saa ingine huaga ni Stress tu.

Na hata akiolewa atakuwa kaolewa tu ili kuridhisha jamii kwamba lazima Mwanamke aolewe lakin wew ujue ndo Mme wake atazidi kukukumbuka. Na si ajabu anaweza akose Mtoto na atakutafuta wew ili umpe mtoto, acheni Mungu aitwe Mungu my friend, trust me.
 
Mkuu kiimani Ukimtoa Mwanamke Bikra huyo ndo Mke wako wa agano kabisa maana alivuja damu siku hiyo sasa kama hujui alama ya damu aloimwaga siku ya kwanza basi.... Jitahidi umtafute muongeee tena na kama unania ya kumrekebisha ongea nae kwa ukarimu saa ingine huaga ni Stress tu .... Na hata akiolewa atakuwa kaolewa tu ili kuridhisha jamii kwamba lazima Mwanamke aolewe ...lakin wew ujue ndo Mme wake .... Atazidi kukukumbuka . .... Na si ajabu anaweza akose Mtoto na atakutafuta wew ili umpe mtoto ....acheni Mungu aitwe Mungu ....my friend trust me
Sasa mkuu inakuwaje kama nimewabikiri watatu au wanne?
 
RRONDO,
Ndio Ukome kufuatilia watu wakiwa kwenye kazi zao, kwani ulienda kununua au kujua wamefikaje kufanya kazi zao?
 
RRONDO,
Huyo ndio mkeo halisi, mfuate ulipomkuta haraka sana.

Mwanamke akikuambia hivo, ujue unatembea na debe la machozi yake.
 
Back
Top Bottom