bibliography
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 614
- 228
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tumia simu ya mtu mwingine au nenda kwaoHapokei simu, hajibu sms,whatsapp blocked
ahahaaaa aisee usiku mwema? poleNahisi kilio chake kinanihukumu maana tangu nimuache naokota magarasaaa! Karma is a B.itch!
Nahisi kilio chake kinanihukumu maana tangu nimuache naokota magarasaaa! Karma is a B.itch!
Sasa mkuu inakuwaje kama nimewabikiri watatu au wanne?Mkuu kiimani Ukimtoa Mwanamke Bikra huyo ndo Mke wako wa agano kabisa maana alivuja damu siku hiyo sasa kama hujui alama ya damu aloimwaga siku ya kwanza basi.... Jitahidi umtafute muongeee tena na kama unania ya kumrekebisha ongea nae kwa ukarimu saa ingine huaga ni Stress tu .... Na hata akiolewa atakuwa kaolewa tu ili kuridhisha jamii kwamba lazima Mwanamke aolewe ...lakin wew ujue ndo Mme wake .... Atazidi kukukumbuka . .... Na si ajabu anaweza akose Mtoto na atakutafuta wew ili umpe mtoto ....acheni Mungu aitwe Mungu ....my friend trust me
hamna mkuu .kawaida tu . ila wewe sehemu za wauzaji ulienda kufanya nini?Hizi ndio habari unapenda kusikia...
Kwanini ununue wanaojiuza kwanini Jamani mbona wajiweka hatariniIndirect nisingejua....kama ambavyo wengine nanunua bila kujua