Nimemkuta Ex wangu 'Anajiuza' roho imeniuma sana

Nimemkuta Ex wangu 'Anajiuza' roho imeniuma sana

Pole kwa mkasa. Kwanini ulihitaji kumhoji???
 
RRONDO,
Mkuu unajua ulikosea... Ulichotakiwa kufanya we ungemnunua tu kwnz then ungeenda nae samwhea ukala mzgo ksha ndio umuulze.... Lakin kwaivo ulivofanya ni amekudharau dats y hatak kupokea ata cm yko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtumie message na umwambie kwamba utampa millioni tano ili aanze biashara,yeye mwenyew atakutafuta
 
Tatizo ulikosea mkuu yaani ulitakiwa usiku ule ule ulivyokutana nae ungemtoa hata hela kdgo alafu ungemwambia asihofu utamtafuta siku nyingine,hapo cha kufanya sahv ni kutumia tu n.o ya mtu mwingine alafu uombe kukutana nae ili muongee vizuri bila kusahau kumrushia mpunga...
 
Back
Top Bottom