Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Single mother upo??? Mtoto mzima???Kiukweli Wanaume jamani dahhhhhh Mungu awasamehe maskini binti Wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Single mother upo??? Mtoto mzima???Kiukweli Wanaume jamani dahhhhhh Mungu awasamehe maskini binti Wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ulikosea mkuu yaani ulitakiwa usiku ule ule ulivyokutana nae ungemtoa hata hela kdgo alafu ungemwambia asihofu utamtafuta siku nyingine,hapo cha kufanya sahv ni kutumia tu n.o ya mtu mwingine alafu uombe kukutana nae ili muongee vizuri bila kusahau kumrushia mpunga...
Naona hela ndio solution pekee..Mtumie message na umwambie kwamba utampa millioni tano ili aanze biashara,yeye mwenyew atakutafuta
Ndo ujiongeze ujutie kwanini ulifanya hivo ?! Na Rudi kwa Mungu yeye Muweza wa Mambo yoteSasa mkuu inakuwaje kama nimewabikiri watatu au wanne?
Kiukweli Wanaume jamani dahhhhhh Mungu awasamehe maskini binti Wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
OkKuna vitu nataka kuweka sawa.
Jitaidi umrudie no way out[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kuna vitu nataka kuweka sawa.
Am sorry wala sifurahi ila responds ya watu ndo inanikoshaGeni nini kinakufurahisha? Mimi kuumia?!
Wee huwa unakomaaga na wanaume tu kisa wanaume ni wavumilivu hatusemagi ovyo.Kiukweli Wanaume jamani dahhhhhh Mungu awasamehe maskini binti Wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamujioni mnayoyafanya bila uyo kaka kumtenda uyo Dada asingejiuza Leo inamaana kayachukia mapenz kaona bola iwe hivyoWanaume wamefanya nini?
Hamujioni mnayoyafanya bila uyo kaka kumtenda uyo Dada asingejiuza Leo inamaana kayachukia mapenz kaona bola iwe hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sikatai ila nyie Wanaume mmezidiWee huwa unakomaaga na wanaume tu kisa wanaume ni wavumilivu hatusemagi ovyo.
Unafikir nyie huwa hamtutosi?
Binafsi nmeenda masomon tena mda mchache tu nakuta mtu ameshaolewa unafikiri iliniumaje?
Hadi leo naona kiumbe chochote cha kike ni kisaliti,kiungo.
Unapotetea tetea kubalance sio wanaume tu mnatubwaga sanaa tu sema tunajikaza na hatuwez anika ovyo malalamishi.
Unafujo shoga ex mpenzi uliekuwa nae au mtu mlieachana sijui nimepatia wasubilie wasomikwan maana ya ex ni nn jaman!dah tunapishana
Aaaaah sababu zenu zinajulikanaJe unajua sababu za jamaa kumuacha?
Unafujo shoga ex mpenzi uliekuwa nae au mtu mlieachana sijui nimepatia wasubilie wasomi
Sent using Jamii Forums mobile app