No ninavyo msaidia ni pale tu ninapomkuta na shida kubwa na hana msaada wowote mfano hyo situation aliyo elezea mtoa uzi, sina maana kwamba nataka kurudiana nae, basi tu kama kipo ndani ya uwezo wangu namsaidia alafu kila mtu na njia yake!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] haya Upendo mwemateh teh huenda shoga! ngj nianze kujifunza sasa
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] haya Upendo mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]tetetet
Ungejaribu kumuungisha, huenda ulimtia nuksi siku hiyo biashara ikamwendea vibaya!Weekend hii iliopita kwenye misele yangu ya usiku nilipita viwanja fulani maarufu kwa kutembelewa na wazungu wengi sana. Nilipofika hapo katika kuangazaangaza kwenye kona fulani nikaona msichana ambae alinivutia sana.
Nikawa napanga mikakati nimuingieje. Baada ya kumtupia jicho nikahisi kama namfahamu, nikajipitisha pale la haula kumbe ni ex wangu ambae mimi nilikuwa mwanaume wake wa kwanza na hatujaonana kama miaka mitatu hivi.
Alishtuka sana aliponiona na mimi sikutegemea kumkuta mazingira yale na mitego aliokaa. Nikamuuliza maswali mawili matatu anajikanyaga nikaamua nipotezee tukachat mawili matatu nikachukua namba yake nikaondoka eneo lile nikamwacha.
Kesho yake nikamtafuta nikaemdelea kumhoji nini kinaendelea kwenye maisha yake mpaka amefikia hatua hio. Najuta kumuuliza kwani alinitukana sana (wenyewe wanaita kuchamba) na kusema mimi ndio moja ya sababu yuko alivyo leo na akaamua kuniblock kabisa whatsapp. Hapa nilipotangu juzi namtafuta hapokei simu.
Who are we to judge?You are very smart. Some people are too quick to judge.
Yes, hainaga makombo ile[emoji1] wala kwa nini ujute?
Vitu vidogo sana u can solve them in no time!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kurudia matapishihakuna kitu ambacho hua naamin hakuna dharau kubwa km kurudiana na ex jaman !hv huwa mnamanisha hakuna mwingine au ni 'MAZOEA'? unajua unadharaulika sana !hehhhe over ny dead body siwez mie jaman !kwakweli [HASHTAG]#hongera[/HASHTAG]
Weekend hii iliopita kwenye misele yangu ya usiku nilipita viwanja fulani maarufu kwa kutembelewa na wazungu wengi sana. Nilipofika hapo katika kuangazaangaza kwenye kona fulani nikaona msichana ambae alinivutia sana.
Nikawa napanga mikakati nimuingieje. Baada ya kumtupia jicho nikahisi kama namfahamu, nikajipitisha pale la haula kumbe ni ex wangu ambae mimi nilikuwa mwanaume wake wa kwanza na hatujaonana kama miaka mitatu hivi.
Alishtuka sana aliponiona na mimi sikutegemea kumkuta mazingira yale na mitego aliokaa. Nikamuuliza maswali mawili matatu anajikanyaga nikaamua nipotezee tukachat mawili matatu nikachukua namba yake nikaondoka eneo lile nikamwacha.
Kesho yake nikamtafuta nikaemdelea kumhoji nini kinaendelea kwenye maisha yake mpaka amefikia hatua hio. Najuta kumuuliza kwani alinitukana sana (wenyewe wanaita kuchamba) na kusema mimi ndio moja ya sababu yuko alivyo leo na akaamua kuniblock kabisa whatsapp. Hapa nilipotangu juzi namtafuta hapokei simu.
Ooh kumbe ex's are reajects isn't it?She is your EX for a very good reason Mkuu. Leave her alone and don't waste your precious time unless unataka kuyaoga matusi ya nguoni mengine.