Nimemkuta Ex wangu 'Anajiuza' roho imeniuma sana

No ninavyo msaidia ni pale tu ninapomkuta na shida kubwa na hana msaada wowote mfano hyo situation aliyo elezea mtoa uzi, sina maana kwamba nataka kurudiana nae, basi tu kama kipo ndani ya uwezo wangu namsaidia alafu kila mtu na njia yake!

lakini chances za kurudiana nae ni kubwa zaid! mie ukinikuta nisalimie nitakujibu ukinitxt nitakujib lakini sitakuonesha kukufeel !siwez kbs
 
Ungejaribu kumuungisha, huenda ulimtia nuksi siku hiyo biashara ikamwendea vibaya!

Wacha kumtafuta kwa simu pita siku ingine viwanja ivo utampata but wote ndio hivyo ni makahaba wewe na yeye
 
Ungemnunua alafu ingemuhoji wakati upo nae ndani. Sasa wewe biashara mbaya alafu unaleta usiku aaahh siyo mambo kichambo halali yako.
 
Hukutafuna papuchi!?[emoji2] ss we unaenda kuuliza maswali meeengiiiiiii wkt mtu anajiuza[emoji23][emoji23][emoji23]

Ugiligili
 
Na wewe wakati unamsalandia si ulikuwa mnunuzi sasa kwanini unamshangaa yeye anayejiuza bila kujishangaa wewe mwenyewe
Hivi ndivyo alivyoletwa kwa Yesu mwanamke mzinzi ili apigwe mawe Yesu alishangaa huyu Mwanamke alizini vipi peke yake akawatolea nje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna kitu ambacho hua naamin hakuna dharau kubwa km kurudiana na ex jaman !hv huwa mnamanisha hakuna mwingine au ni 'MAZOEA'? unajua unadharaulika sana !hehhhe over ny dead body siwez mie jaman !kwakweli [HASHTAG]#hongera[/HASHTAG]
Kurudia matapishi

invest what you are willing to lose
 
She is your EX for a very good reason Mkuu. Leave her alone and don't waste your precious time unless unataka kuyaoga matusi ya nguoni mengine.

 
She is your EX for a very good reason Mkuu. Leave her alone and don't waste your precious time unless unataka kuyaoga matusi ya nguoni mengine.
Ooh kumbe ex's are reajects isn't it?
 
Reactions: BAK
Kiwanja hicho huyo kawa concord tayari, we nenda siku za biashara mbovu. Utamkuta wanaita kachunda sasa na ww ingia kimalaya mwaga hela mtaondoka kiulainiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…