Nimecheka mpaka nimesinzia.manina kabisa,mtu mwenyewe hata kuandika hujui ndo utakuwa na hayo maduka,amka usingizini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka mpaka nimesinzia.manina kabisa,mtu mwenyewe hata kuandika hujui ndo utakuwa na hayo maduka,amka usingizini
Sio nyumba yako...nyumba yako umesema ipo Madale na bado kumalizika. Acha kuota ndoto za ramli chonganishi.Mimi nimepanga kwenye nyumba kubwa yenye vyumba vya uwani. Mimi nafanya biashara nina maduka ya nguo Kariakoo nimepaga bado sijamaliza ujenzi kwangu Madale.
Usiku wa leo niliamka ghafla nilipoona kama kivuli kwenye kioo cha dirisha nikasogea polepole kuangalia kama kuna mwizi nikashangaa kumuona jirani yangu na mkewe wanazunguka nyumba ninayoishi ambayo ni nyumba kubwa wakiwa uchi kabisa.
Mara ya tatu walipofika dirishani nilikuwa nimeshafungua nikawauliza mmebakiza mizunguko mingapi? Walishituka mke akajificha nyuma ya mumewe maana alikuwa uchi.
Nikamuambia mama Omari kumbe una kitako cha ndanindani. Mume akalopoka. Tumeshaaribu dawa.
Wakarudi Ndani kwao. AsubuHi leo Hawataki kuonana nami nimempigia simu jirani hapokei nilitaka nimsalimie kagoma jirani ana roho mbaya sana.
Tumekuelewa..unakaa nyumba ya uani,kubwa ,unafanya biashara kariakoo...unajenga madale!!!😄😄😄Mimi nimepanga kwenye nyumba kubwa yenye vyumba vya uwani. Mimi nafanya biashara nina maduka ya nguo Kariakoo nimepaga bado sijamaliza ujenzi kwangu Madale.
Usiku wa leo niliamka ghafla nilipoona kama kivuli kwenye kioo cha dirisha nikasogea polepole kuangalia kama kuna mwizi nikashangaa kumuona jirani yangu na mkewe wanazunguka nyumba ninayoishi ambayo ni nyumba kubwa wakiwa uchi kabisa.
Mara ya tatu walipofika dirishani nilikuwa nimeshafungua nikawauliza mmebakiza mizunguko mingapi? Walishituka mke akajificha nyuma ya mumewe maana alikuwa uchi.
Nikamuambia mama Omari kumbe una kitako cha ndanindani. Mume akalopoka. Tumeshaaribu dawa.
Wakarudi Ndani kwao. AsubuHi leo Hawataki kuonana nami nimempigia simu jirani hapokei nilitaka nimsalimie kagoma jirani ana roho mbaya sana.
Litakukuta jambo🤣🤣🤣🤣🤣 jifanye mwambaMimi nimepanga kwenye nyumba kubwa yenye vyumba vya uwani. Mimi nafanya biashara nina maduka ya nguo Kariakoo nimepaga bado sijamaliza ujenzi kwangu Madale.
Usiku wa leo niliamka ghafla nilipoona kama kivuli kwenye kioo cha dirisha nikasogea polepole kuangalia kama kuna mwizi nikashangaa kumuona jirani yangu na mkewe wanazunguka nyumba ninayoishi ambayo ni nyumba kubwa wakiwa uchi kabisa.
Mara ya tatu walipofika dirishani nilikuwa nimeshafungua nikawauliza mmebakiza mizunguko mingapi? Walishituka mke akajificha nyuma ya mumewe maana alikuwa uchi.
Nikamuambia mama Omari kumbe una kitako cha ndanindani. Mume akalopoka. Tumeshaaribu dawa.
Wakarudi Ndani kwao. AsubuHi leo Hawataki kuonana nami nimempigia simu jirani hapokei nilitaka nimsalimie kagoma jirani ana roho mbaya sana.
Ipo wqpi
Adika kisuahili duguPole kaka, ila jitahidi kuwa unarejea chapisho unalotaka kulichapisha.
Kwenye kichwa cha habari umesema 'Nyumba yako', kwenye maelezo ukasema umepanga. Na hayo maelezo kidogo hujayatiririsha inavopaswa. Anyway, isiwe kesi. What's your hometown? Nisijekuwa nashauri mhadizabe! 😁
Kisuahili 🤔!!!?Adika kisuahili dugu
Humu Jukwaani saizi sijui nini kimetokeaHalafu ww no wa kitambo tu humu nawewe umeamua kuandika kiujinga ujinga mkuu how come?
Bwana dogo aliniuganishia ili namimi nichat na watu umu na kutagaza biasara zagu.za.duka la.guo kariakoooKisuahili 🤔!!!?
Nitaandika kaka usijali.
We ni mzaliwa wa wapi ndugu, na jukwaa hili ulijiunga mwenyewe, au kuna mtu alikufungulia akaunti?
[emoji23][emoji23] apo ndio unamvuruga zaidNi ndoto tu utakuwa sawa,
Wanzingua sana tatzo wengne wanaforce kiki ili wawe maarufu sasa wanakuja na style za zamani ambazo kuna watu walishakujaga nazo kitambo hikoHumu Jukwaani saizi sijui nini kimetokea