Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Aah sawa pua zako ziliziba toka lini.Diyo ni kweli kabisa kabiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah sawa pua zako ziliziba toka lini.Diyo ni kweli kabisa kabiza
KumbeTena muke wake anafaa ushungi kube dania ana matakko makubuwa sikujua
Aah pole sana nenda kwa Mwamposa harakaMafua wkki sasaa
[emoji3][emoji3][emoji3] eti eshima na kitu ya bule dugu,Duuuuuuuuuuh umenikpsea sana dugu yagu mimi sina akili?eshima kitu ya bule dugu
[emoji477]Mimi nimepanga kwenye nyumba kubwa yenye vyumba vya uwani. Mimi nafanya biashara nina maduka ya nguo Kariakoo nimepaga bado sijamaliza ujenzi kwangu Madale.
Usiku wa leo niliamka ghafla nilipoona kama kivuli kwenye kioo cha dirisha nikasogea polepole kuangalia kama kuna mwizi nikashangaa kumuona jirani yangu na mkewe wanazunguka nyumba ninayoishi ambayo ni nyumba kubwa wakiwa uchi kabisa.
Mara ya tatu walipofika dirishani nilikuwa nimeshafungua nikawauliza mmebakiza mizunguko mingapi? Walishituka mke akajificha nyuma ya mumewe maana alikuwa uchi.
Nikamuambia mama Omari kumbe una kitako cha ndanindani. Mume akalopoka. Tumeshaaribu dawa.
Wakarudi Ndani kwao. AsubuHi leo Hawataki kuonana nami nimempigia simu jirani hapokei nilitaka nimsalimie kagoma jirani ana roho mbaya sana.
Pale naniiii.Ivi anabatikana wapi I'm
Hahaaa ,eti kitako cha ndani ndani ,we jamaa ,watakutoa msukule sasa hiviMimi nimepanga kwenye nyumba kubwa yenye vyumba vya uwani. Mimi nafanya biashara nina maduka ya nguo Kariakoo nimepaga bado sijamaliza ujenzi kwangu Madale.
Usiku wa leo niliamka ghafla nilipoona kama kivuli kwenye kioo cha dirisha nikasogea polepole kuangalia kama kuna mwizi nikashangaa kumuona jirani yangu na mkewe wanazunguka nyumba ninayoishi ambayo ni nyumba kubwa wakiwa uchi kabisa.
Mara ya tatu walipofika dirishani nilikuwa nimeshafungua nikawauliza mmebakiza mizunguko mingapi? Walishituka mke akajificha nyuma ya mumewe maana alikuwa uchi.
Nikamuambia mama Omari kumbe una kitako cha ndanindani. Mume akalopoka. Tumeshaaribu dawa.
Wakarudi Ndani kwao. AsubuHi leo Hawataki kuonana nami nimempigia simu jirani hapokei nilitaka nimsalimie kagoma jirani ana roho mbaya sana.