Nimemkuta jirani yangu anazunguka nyumba yangu usiku

Hivi ni lazima kupost humu? Yaana unapoteza nguvu zako kuandika ujinga tena wa kitoto kabisa
Duuuuuhhh ...weee kuba jiga kabisa sasa bona umjibu posit ya kitoto
 
Mimi nimepanga kwenye nyumba kubwa yenye vyumba vya uwani. Mimi nafanya biashara nina maduka ya nguo Kariakoo nimepaga bado sijamaliza ujenzi kwangu Madale....
Kuna mtu anatafuta mtunzi wa story kama hii, vipi nimuunganishe kwako?
 
Mhhh hii ni stori ya kweli hii😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…