Nimemkuta jirani yangu anazunguka nyumba yangu usiku

[emoji477]
 
Hahaaa ,eti kitako cha ndani ndani ,we jamaa ,watakutoa msukule sasa hivi
 
Jaman kitako ulikionaje wakati mama Ommy unasema alijibanza nyuma ya baba Ommy
 
Mwanetu Guru Guja umetuangusha sana master yaan manzi yupo uchi na umemuacha ungemkimbilia na condom hapo ndo wangeelewa vzur na wasingerudia hiyo tabia..2023 ukikamata mchawi ni kumbandua tu ela zenyewe tunapata kwa shida af bado mtu akuloge
 
Ha ha ha ha ha nitafania ivo siku igine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…