Aise hawa bodaboda ndo hatariUtokea Sana nyumba hizi za kupanga wanaziita behewa yaani zile za kushare korido watu kuzungukana. Haya mambo tuombe tu Mungu azidi kukufunika pazia unaweza ukawa unatembea mtaani bodaboda wanakusanifu tu wanajua udhaifu wako kupitia mkeo.
Hapo sawaNilishawahi kutana na mke wa mwanajeshi lodge sinza tena akiwa na mwanajeshi mwingine ambae naamini alikuwa anafahamiana na mumewe.
Alinisalimia vizuri kabisa na mpaka leo ananichangamkia hata akiwa na mumewe. Sikumuonea huruma mwenye mke sababu na yeye ni muasherati wa wazi wazi. Ni dhahiri couple yao was made for each other maana tabia sawa.
Either way haitaishia poa.Ili akanipake mavi Kwa jamaa tuchukiane mimi nampiga pesa
Shida sio hanyanduliwi shida amekutwa na bwana pepsiKazi kwel kwel
Achana nao huenda jamaa hamnyandui vzur huyo manzi yeye amekomalia kumnunulia madude ya humu duniani utazani mama G amekuja kuishi milele
Muache mama wa watu akojozwe
SawaaAmini kwamba ila mimi lazima nimpige pesa mambo ya kuomba uroro sitaki🤣🤣
[emoji23][emoji23]Basi usimalize kusoma basi usimalize kusoma
Ujue ukisoma moyo wangu unauchoma
😂😂😂😂👊Umeona apo tu🤣🤣
Unatafuta ugomvi na jamaa muda si mrefu.Inabidi nimwambie alete 1m unless nimtonye jamaa
Hao viumbe upenda Sana offer ya usafiri,pili bodaboda ndio uwapeleka wake za watu, pisi kali, watoto wa shule,chuo wanawake kiujumla mnadani kuliwa nyama so ni rahisi nao kupewa offer ya mbususu.Aise hawa bodaboda ndo hatari
😃😃😃Unakopesha pesa malipo ni mbususuHao viumbe upenda Sana offer ya usafiri,pili bodaboda ndio uwapeleka wake za watu, pisi kali, watoto wa shule,chuo wanawake kiujumla mnadani kuliwa nyama so ni rahisi nao kupewa offer ya mbususu.
Hao wenzetu hawana cha ziada maishani cha kutupa asante zaidi ya hicho wao uwapa watu kama asante.Thus ukiwapesha pesa malipo ni kudra Sana zaidi atakulipia kupitia huko.
🤔🤔🤔 Nitafanya hivyo Kwa sababu yeye ni mbea sanaUnatafuta ugomvi na jamaa muda si mrefu.
Labda nimuone mke wa mdogo wangu au kaka wa tumbo moja maana hapa atatuletea damu nyingine.
Mimi hata nikimuona mke wa rafiki yangu siwezi kusema watajuana wenyewe hata km rafiki yangu tumeshibana vipi. Endelea kumfuatilia mwisho wa siku huyo mwanamke atasema kwa jamaa umemtongoza. Uone timbwili lake
Ukikopesha ukiona unazungushwa jua ushauziwa😃😃😃Unakopesha pesa malipo ni mbususu
Aah huyo ni mchache ukikaribia kumaliza nyumba yako mlambe alf uondokeHuyu jirani yangu tunaheshimiana sana yaani katika watu safi hapa kitaa ni huyu jirani yangu, maisha safi Hana njaa na ni mtu tunapeana advice ya hapa na pale yaani Kwa kifupi jamaa ni mtu mmoja cool sana.
Jana nimekutana na jamaa tumeongea mengi sana na alinambia anataka kujenga shopping mall Kuna kiwanja ana mpango wa kununua kwakua ni katikati ya mji inamlazimu alipe fidia ya milion sio chini ya 200 ili avunje nyumba zilizopo ndo apate kiwanja na alipanga kiwanja aandike jina la mke wake mama G kwani anampenda sana.
Ilikua ni katika kusogeza mda tu mimi kulikua na mtoto wa chuo nasubiri appointment yake nikamnyandue.
Tumeachana na jamaa ya mida ya saa mbili usiku wakati huo NAMI pisi ilikua ishafika tukapata shot mbili tatu Kisha safari ikawa ni kwenye uwanja wa mapambano (lodge)
Ile nafika tu nikaoneshwa chumba nikaona kipo safi kinaendana na thamani ya pesa ninayolipa Kisha nikamuacha mchumba ndani na kurudi mapokezi kulipia room
Nafika mapokezi nakutana USO Kwa USO na mke wa jirani yangu Yani huyo mama G mwenyewe Sasa yupo na kijamaa kimoja Cha hovyo wakiwa wanalipia chumba pale kwaajili ya kunyanduana😱😱
Alafu bila aibu akanisalimia huku akitabasamu na kunipa mkono😬😬😬🚮
I nearly rejected her greetings lakini nikaona poa tu kwani Nini?
Nikamsalimu pia
That was so shocking to me😱😱
I had to change the venue room yenye sikulipia nikatoka nje na kumcheki mchumba oya tuondoke apo sio poa vibaka ni wengi sana.
🤔🤔Nipo kuwaza hapa yaani ata show yenye nilipiga kinyonge Sana🙂