Kaa kimya tu .hii kesi itakurudia tu huwajui wanawake wewe..atamuambia mume wake kwamba unamtongoza..na inavyoonyesha jamaa kwa mke wake amekoleo..usiseme sikukuambia..pita na yakoAmini kwamba ila mimi lazima nimpige pesa mambo ya kuomba uroro sitaki🤣🤣
KUNA KUIBIWA NA KUJIIBA KATIKA MASWALA YA NDOA,Mimi nikiona mtu anaibiwa, naona Kama naibiwa Mimi by mwana fa
Kikubwa msaidie huyo jamaa, Kama sio kwa ajili yake Basi hata kwa ajili ya kizazi chake
Piga kimya. Usiwe sababu ya kuvunja ndoa ya watu.🤔🤔🤔 Nitafanya hivyo Kwa sababu yeye ni mbea sana
Hujawahi kuona mwanamke msaliti alivyo shetani basi jaribu utaona,Inabidi nimwambie alete 1m unless nimtonye jamaa
***** wallah wanawake pasua kichwa sanaHuyu jirani yangu tunaheshimiana sana yaani katika watu safi hapa kitaa ni huyu jirani yangu, maisha safi Hana njaa na ni mtu tunapeana advice ya hapa na pale yaani Kwa kifupi jamaa ni mtu mmoja cool sana.
Jana nimekutana na jamaa tumeongea mengi sana na alinambia anataka kujenga shopping mall Kuna kiwanja ana mpango wa kununua kwakua ni katikati ya mji inamlazimu alipe fidia ya milion sio chini ya 200 ili avunje nyumba zilizopo ndo apate kiwanja na alipanga kiwanja aandike jina la mke wake mama G kwani anampenda sana.
Ilikua ni katika kusogeza mda tu mimi kulikua na mtoto wa chuo nasubiri appointment yake nikamnyandue.
Tumeachana na jamaa ya mida ya saa mbili usiku wakati huo NAMI pisi ilikua ishafika tukapata shot mbili tatu Kisha safari ikawa ni kwenye uwanja wa mapambano (lodge)
Ile nafika tu nikaoneshwa chumba nikaona kipo safi kinaendana na thamani ya pesa ninayolipa Kisha nikamuacha mchumba ndani na kurudi mapokezi kulipia room
Nafika mapokezi nakutana USO Kwa USO na mke wa jirani yangu Yani huyo mama G mwenyewe Sasa yupo na kijamaa kimoja Cha hovyo wakiwa wanalipia chumba pale kwaajili ya kunyanduana[emoji33][emoji33]
Alafu bila aibu akanisalimia huku akitabasamu na kunipa mkono[emoji51][emoji51][emoji51][emoji706]
I nearly rejected her greetings lakini nikaona poa tu kwani Nini?
Nikamsalimu pia
That was so shocking to me[emoji33][emoji33]
I had to change the venue room yenye sikulipia nikatoka nje na kumcheki mchumba oya tuondoke apo sio poa vibaka ni wengi sana.
[emoji848][emoji848]Nipo kuwaza hapa yaani ata show yenye nilipiga kinyonge Sana[emoji846]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kazi kwel kwel
Achana nao huenda jamaa hamnyandui vzur huyo manzi yeye amekomalia kumnunulia madude ya humu duniani utazani mama G amekuja kuishi milele
Muache mama wa watu akojozwe
Dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo kausha halafu muombe na weye akupe ili utunze siri !
Duniani hakuna asiye na dhambi halafu bahati haiji mara mbili mie kabla sijahamia kwangu mwaka jana wakati nimepanga mitaa ya CBE nilikuwa namkula mke wa mwenye nyumba kwa miaka miwili nikiwa hapo (hii ilitokea baada ya kukutana lodge akiwa anatoka kupigwa mboo na kajamaa flani ka hapo kitaa nikamkaushia ila akaja kujilengesha mwenyewe ili nimfichie siri) mme wake ni polisi mpaka nafikia kuhama hakuwahi kustuka.
Sio kweli mkuu, kuna watu wanakula mademu wakiwamo hao wake za watu balaa ila unakuta wake zao watulivu kinoma hadi unamuonea huruma katokana wapi na huyo mkosi!Kwenye maisha yako mtoto wa kiume usiguse mke wa mtu. Ni laana lazima na mkeo ataliwa! Kama umekubuhu itakuwa hivyo hivyo kwa mkeo.
Kucheat inaweza kutokea lakini ukitafuna mke wa mtu usijekuchanganyikiwa pia ukikukuta mkeo akiliwa! Kama unajiheshimu na unakula mke wa mtu kimya kimya na wako ataliwa kimya kimya hivyo hivyo. Kama unabisha fatilia wala wake za watu nini hutokea.
Mimi toka enzi hizo niliapa sigusi mke wa mtu! Hata nikutane na tamaa ipi, wanawake wamejaa wa kila aina hakuna sababu ya kuhangaika na mke wa mtu. Kama unahisi roho itakuchomoka ukijua unagongewa basi kaa mbali na wake za watu roho isijekukuchomoka kweli au kupata stress na kuona life haina maana [emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Huyu jirani yangu tunaheshimiana sana yaani katika watu safi hapa kitaa ni huyu jirani yangu, maisha safi Hana njaa na ni mtu tunapeana advice ya hapa na pale yaani Kwa kifupi jamaa ni mtu mmoja cool sana.
Jana nimekutana na jamaa tumeongea mengi sana na alinambia anataka kujenga shopping mall Kuna kiwanja ana mpango wa kununua kwakua ni katikati ya mji inamlazimu alipe fidia ya milion sio chini ya 200 ili avunje nyumba zilizopo ndo apate kiwanja na alipanga kiwanja aandike jina la mke wake mama G kwani anampenda sana.
Ilikua ni katika kusogeza mda tu mimi kulikua na mtoto wa chuo nasubiri appointment yake nikamnyandue.
Tumeachana na jamaa ya mida ya saa mbili usiku wakati huo NAMI pisi ilikua ishafika tukapata shot mbili tatu Kisha safari ikawa ni kwenye uwanja wa mapambano (lodge)
Ile nafika tu nikaoneshwa chumba nikaona kipo safi kinaendana na thamani ya pesa ninayolipa Kisha nikamuacha mchumba ndani na kurudi mapokezi kulipia room
Nafika mapokezi nakutana USO Kwa USO na mke wa jirani yangu Yani huyo mama G mwenyewe Sasa yupo na kijamaa kimoja Cha hovyo wakiwa wanalipia chumba pale kwaajili ya kunyanduana😱😱
Alafu bila aibu akanisalimia huku akitabasamu na kunipa mkono😬😬😬🚮
I nearly rejected her greetings lakini nikaona poa tu kwani Nini?
Nikamsalimu pia
That was so shocking to me😱😱
I had to change the venue room yenye sikulipia nikatoka nje na kumcheki mchumba oya tuondoke apo sio poa vibaka ni wengi sana.
🤔🤔Nipo kuwaza hapa yaani ata show yenye nilipiga kinyonge Sana🙂
Wewe mjinga unapenda sana kuwa criticism kwenye nyuzi za wenzako wewe unatumaga sana mikojo humu lkn tunakunyamazia,umeenda jukwaa la entertainment ukaharibu Uzi WA Omughaka punguza ujuaji mjinga weweULINIAMBIA UNAPENDA KUTUNGA TUNGA VITU. SASA UWE UNATUNGA VITU VYA MAANA ACHANA NA HIVI VYA KIPUUZI HAVINA TIJA. SAWA?
Unatokwa na povu kila sehemu ya uwazi ya mwili wako.....🤣🤣🤣🤣🤣Wewe mjinga unapenda sana kuwa criticism kwenye nyuzi za wenzako wewe unatumaga sana mikojo humu lkn tunakunyamazia,umeenda jukwaa la entertainment ukaharibu Uzi WA Omughaka punguza ujuaji mjinga wewe