Nimemkuta mke wa jirani yangu guest house akienda kunyanduliwa

Amini kwamba ila mimi lazima nimpige pesa mambo ya kuomba uroro sitaki🤣🤣
Kaa kimya tu .hii kesi itakurudia tu huwajui wanawake wewe..atamuambia mume wake kwamba unamtongoza..na inavyoonyesha jamaa kwa mke wake amekoleo..usiseme sikukuambia..pita na yako
 
Mimi nikiona mtu anaibiwa, naona Kama naibiwa Mimi by mwana fa

Kikubwa msaidie huyo jamaa, Kama sio kwa ajili yake Basi hata kwa ajili ya kizazi chake
KUNA KUIBIWA NA KUJIIBA KATIKA MASWALA YA NDOA,
KIKUBWA KWANZA NI KUJUA LIPI HAPO NI JIBU NDIPO UTAJUA KAMA MAMA G ASAIDIWE KUACHA TABIA HIYO AMA JAMAA AMUACHE MAMA G,
 
Haha kuna comments humu inabidi kuhamishiwa kwenye thread inayosema "kama umewahi kula tunda kimasihara"
 
Kwa ushauri wangu mkuu, mpotezee huyo mwanamke
 
si naskia siku hizi wanaume mnamsemo wenu kwamba michepuko ndo inalinda ndoa.

Hivi niulize, wanaume mliooa mnapoenda kuchepuka huwa mnajua kama yule mwanamama ni mke wa mtu au sio? Unadhani unavyozurula huko karma inakuacha?

Kuna mtu mzima mmoja aliwahi kusema hivi, ndoa siku hizi hazivunjiki. Wanawake wamelia sana. Mwanaume anatembea na marafiki wa mke, anahamia kwa ndugu wa mke, anazaa na kuleta watoto, siku hizi wanawake wanafinya kimya kimya ili kupooza machungu. Sikuelewa ila hii dunia kama wanaume mnaumia kuchapiwa labda mkijifunza kutulia na wake zenu watatulia. Hakuna mwenye moyo wa cement
 
Inabidi nimwambie alete 1m unless nimtonye jamaa
Hujawahi kuona mwanamke msaliti alivyo shetani basi jaribu utaona,
Atakuseti akukamatiahe kwamba unamtongoza na jamaa anamuamini sana inaelekea hadi anampenda hivyo mtu mnafiki kama huyo lazima ufikirie mbali , itakuwa analishwa malimbwata ndio maana mama g anajiamini hata alipokuoma hakistuka maana anajua ameshaseti mambo yake kwa jamaa vizuri, hawezi kufurukuta,
 
***** wallah wanawake pasua kichwa sana
 
Kaa kimya usiseme ulichokiona utahatarisha ndoa ya watu
 
Kazi kwel kwel

Achana nao huenda jamaa hamnyandui vzur huyo manzi yeye amekomalia kumnunulia madude ya humu duniani utazani mama G amekuja kuishi milele

Muache mama wa watu akojozwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa kama Mume kakwambia anampenda sana Mke wake huwezi kujua hayo anayofanya pia yanachangia...anaenda kutoa stress akirudi home ndoa inakuwa shwari.

Ila na wewe umethibitisha vipi kama wanaenda chumbani kuchepuka? Labda wanaenda kuhesabu pesa na hawataki kuonwa, na labda Mzee anajua.
 
Sio kweli mkuu, kuna watu wanakula mademu wakiwamo hao wake za watu balaa ila unakuta wake zao watulivu kinoma hadi unamuonea huruma katokana wapi na huyo mkosi!
Vice versa is also true.
 
Your browser is not able to display this video.
 
ULINIAMBIA UNAPENDA KUTUNGA TUNGA VITU. SASA UWE UNATUNGA VITU VYA MAANA ACHANA NA HIVI VYA KIPUUZI HAVINA TIJA. SAWA?
Wewe mjinga unapenda sana kuwa criticism kwenye nyuzi za wenzako wewe unatumaga sana mikojo humu lkn tunakunyamazia,umeenda jukwaa la entertainment ukaharibu Uzi WA Omughaka punguza ujuaji mjinga wewe
 
Wewe mjinga unapenda sana kuwa criticism kwenye nyuzi za wenzako wewe unatumaga sana mikojo humu lkn tunakunyamazia,umeenda jukwaa la entertainment ukaharibu Uzi WA Omughaka punguza ujuaji mjinga wewe
Unatokwa na povu kila sehemu ya uwazi ya mwili wako.....🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…