Nimemkuta mke wa jirani yangu guest house akienda kunyanduliwa

Mimi nikiona mtu anaibiwa, naona Kama naibiwa Mimi by mwana fa

Kikubwa msaidie huyo jamaa, Kama sio kwa ajili yake Basi hata kwa ajili ya kizazi chake
Kwa kweli uvumilivu utanishinda. Naona kwanza nimchimbe biti huyu mchepuko wake😬😬😬 akizingua namchomea au unasemaje mkuu
 
Kijamaa cha hovyo ndiyo kipoje?
 
Kichafu kichafu hakieleweki, afu kilevi sana
Wanawake waki Tanzania wachache sana wanao angalia uvaaji tofauti na Wazungu wao wanaangalia upendo kama unawapenda tu mavazi kwao siyo kipaumbele kwasababu mavazi yana badilika lakini roho aibadiliki
 
Kule ni jandoni / unyagoni ya kule huruhusiwi kuyasema.
 
Wanawake waki Tanzania wachache sana wanao angalia uvaaji tofauti na Wazungu wao wanaangalia upendo kama unawapenda tu mavazi kwao siyo kipaumbele kwasababu mavazi yana badilika lakini roho aibadiliki
Mkuu upendo Gani Kwa mke wa mtu zaidi ya tamaa
 
Acha uchawa
 
Wewe mjinga unapenda sana kuwa criticism kwenye nyuzi za wenzako wewe unatumaga sana mikojo humu lkn tunakunyamazia,umeenda jukwaa la entertainment ukaharibu Uzi WA Omughaka punguza ujuaji mjinga wewe
Huyu ni chizi maaarifa na maarifa hayamsaidii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…