Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Wanawake unatakiwa uishi nao kikatiii na jeur
 
Do go akileta pesa usimwambie hu yo Delila wako
 
Aaahh eti anapitia same changamoto
Hahaha.............. hayo mambo zipo familia nyingi zinayapitia.

Ni vile wamekosa platform ya kukiri hadharani

Ndiyo ile Wajerumani wanasema, kufa na tai shingoni
 
Kitu ninachojaribu kukiepuka kuliko nyoka ni kuoa mwanamke mwenye tabia za kiswahili. Ni kujitakia kifo kwa kelele na maumivu ya kichwa.
 
Kitu ninachojaribu kukiepuka kuliko nyoka ni kuoa mwanamke mwenye tabia za kiswahili. Ni kujitakia kifo kwa kelele na maumivu ya kichwa.
hivi tabia za kiswahili ndo zikoje? samahani.
 
Sasa hebu mpe ushauri faza. Huyo dogo kwa mtazamo wako unataka aandaliwe chakula na nani? Aingie jikoni akajiandalie? Au amuandalie yeye mwenyewe faza haus?? Toa maoni mkuu
pima sms za kujibu boss vichaa wa ticktock hao
 
Kila ndugu yake wakiume akija kukaa kwake amtagutie chumba Ili asigombane na mkewe?. Na ndugu wa mke nao wakija iweje?.
Kwa kweli cultures zinatofautiana
Kama mke mbaya kwa mdugu zako kwanini ujiumize roho?
Unakuta wengine wamelelewa bila kuwa na upendo na mtu
Wapo wanaochukia mpaka mama mkwe akija hata kutembea tu
Nafikiri mgeni au ndugu wawe na limits
 
Hakuna cha nyama wala nini,huu ni ugomvi unaohusu Maandazi na shati jipya,au hujasoma mada?

Kwa Nia njema tu,
Unapendaga majibizano yasiyo na tija πŸ€” mstari wa mwisho unasemaje? Hapo au upewe MIWANI hujaona nucta then hapo baada ya nucta na neno CHAKULA.

Salamaleko.
 
Wewe naona unamchokoza sana chogo mkuu mi namuogopa huyooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…