Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Kabisa mzee mwenzangu ,kheri ya mwaka mpya .
Uko uliko hakuna kabinti kadogo kanakotaka kuolewa nimechoka kujiuguza na majeraha ya kudondokea mitaroni ninapotoka klabuni
Hahaha..........Kuna Binti wa Mzee Juma hapa jirani alimaliza kidato cha nne Mwaka Juzi, nafikiri huyu atakufaa Mzee mwenzangu, Kwa maana namwona yupo busy na shughuli za Kilimo tu

Heri ya Mwaka Mpya kwako Mkuu, ni neema ya Mungu kuweza kuona Mwaka Mpya
 
Shemeji ni Shemeji hata kama ni mdogo heshima lazima iwepo. Yule ni mume wako pia.

Nyie wanawake wa siku hizi hamjui maadili ya ndoa kabisa, mnapaka tu kucha rangi.

Sio kwangu, nikibaini una viashiria vya utovu wa nidhamu nakushughulikia instantly.

Utarudi kwenu no matter what.
Aah bro...si utafanya hata mkeo akose viheshima fulani maana ufanyacho wewe hata wengine wataiga na kufanya ndio utaratibu.
 
Braza
Lazima mke achote maji na awakarimu wageni kwa heshima kubwa.

Sisi kwetu ukerewe mama zetu walikuwa wanapiga hadi magoti mbele za mashemeji zao tena kwa heshima kubwa sana goti linapigwa mpaka linagusa ardhi.

Nyie WAFUGA KUCHA na MAKOPE na diploma zenu za kijinga hizo zenye D MBILI mnajifanya wa kisasa kumbe hakuna lolote mavi matupu ndo maana hamuolewi.

Kama huna adabu olewa na baba ako usilete visirani.
chogo unatokea ukerewe afu Leo upo serious kinoma 😂
 
Wanawake hua wanataka freedom,huyo dogo kampangishie chumba huko nje,
Dogo amekuja kufanya kazi/Kuishi,sio mgeni,
So,hawezi kupata treatment kama mgeni kwa siku zote,tatizo lako mleta mada,unaona kumuendesha mkeo hata kwa sababu za kijinga,eti ndio uanaume,

Uanaume ni busara,kujua una solve vipi issue za kifamilia,kuisimamia familia yako,
Sasa wewe jambo dogo kama hilo unakimbilia kulianika mtandaoni? halafu watu wakikushauri unawatukana na kuwakasirikia,sasa ulianzisha mada ya kazi gani?
 
Ili la dogo ku
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
chukua maandazi kweny deli sioni shda in fact kama ni Anko wako na sawa na mtot wenu pia,na mtot kuandaliwa chakula na mamake sio poa anaweza kwenda kuchukua tu peke Ake ,kwanza kama ndo kamalza kdato hakuna shda,, labda la mke kuongea ongea lakn pia bible umesema tuishi nao Kwa akili maana ni viumbe dhaifu ,, hapo tuu msifie dogo ukiwa na mke wako kua walau kipato Cha familia kimeongezeka baada ya dogo kuja kweny saloon ,mwambie aone umuhim wa dogo ,alaf mletee mkeo zawad naye peke Ake
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Acha ujinga mkeo amuandalie chakula dogo kama nani? Acheni kuwapa majukumu ya ma house girl wake zenu. Dogo ànatakiwà atumwe na mkeo jikonu àkalete chai mezani.
Wanaume wengine mnatuaibisha.
 
Mkuu Kama ni dar vyumba ni elfu 40-50, mkoani hadi 30 una pata.
godoro used hadi 80 zuri.

halafu kijana si Ume muajiri, mbona una taka kumpa vyeo viwili??. yaani umpe kazi na umpe mfanya kazi ambae ni mkeo!!.

angalia uta gongewa na si mayai.
Dogo ni mtoto wa dada yangu mkuu sijamuajir tunapiga kaz apa salon nimempa kitu na mashine tujenge uchumi naye apate ya sabuni
 
Hahaha..........Kuna Binti wa Mzee Juma hapa jirani alimaliza kidato cha nne Mwaka Juzi, nafikiri huyu atakufaa Mzee mwenzangu, Kwa maana namwona yupo busy na shughuli za Kilimo tu

Heri ya Mwaka Mpya kwako Mkuu, ni neema ya Mungu kuweza kuona Mwaka Mpya
Wacha niangalie namna nikaribie kwa mzee Juma nitume washenga nione wao wanasemaje .
 
Wanawake hua wanataka freedom,huyo dogo kampangishie chumba huko nje,
Dogo amekuja kufanya kazi/Kuishi,sio mgeni,
So,hawezi kupata treatment kama mgeni kwa siku zote,tatizo lako mleta mada,unaona kumuendesha mkeo hata kwa sababu za kijinga,eti ndio uanaume,

Uanaume ni busara,kujua una solve vipi issue za kifamilia,kuisimamia familia yako,
Sasa wewe jambo dogo kama hilo unakimbilia kulianika mtandaoni? halafu watu wakikushauri unawatukana na kuwakasirikia,sasa ulianzisha mada ya kazi gani?
Huyu ng'ombe ndo anasababisha wanaume tunaonekana hatuna busara.
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Viumbe hao ni hatari sana,wana Roho mbaya
 
Wanawake hua wanataka freedom,huyo dogo kampangishie chumba huko nje,
Dogo amekuja kufanya kazi/Kuishi,sio mgeni,
So,hawezi kupata treatment kama mgeni kwa siku zote,tatizo lako mleta mada,unaona kumuendesha mkeo hata kwa sababu za kijinga,eti ndio uanaume,

Uanaume ni busara,kujua una solve vipi issue za kifamilia,kuisimamia familia yako,
Sasa wewe jambo dogo kama hilo unakimbilia kulianika mtandaoni? halafu watu wakikushauri unawatukana na kuwakasirikia,sasa ulianzisha mada ya kazi gani?
Dogo hashindi nyumbani kutoka sa 2 kurudi sa 2 freedom gani?
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Ndio walivyo, wanataka ndugu zao tuu ndio wajazane!
 
Back
Top Bottom