Hahaha..........Kuna Binti wa Mzee Juma hapa jirani alimaliza kidato cha nne Mwaka Juzi, nafikiri huyu atakufaa Mzee mwenzangu, Kwa maana namwona yupo busy na shughuli za Kilimo tuKabisa mzee mwenzangu ,kheri ya mwaka mpya .
Uko uliko hakuna kabinti kadogo kanakotaka kuolewa nimechoka kujiuguza na majeraha ya kudondokea mitaroni ninapotoka klabuni
Aah bro...si utafanya hata mkeo akose viheshima fulani maana ufanyacho wewe hata wengine wataiga na kufanya ndio utaratibu.Shemeji ni Shemeji hata kama ni mdogo heshima lazima iwepo. Yule ni mume wako pia.
Nyie wanawake wa siku hizi hamjui maadili ya ndoa kabisa, mnapaka tu kucha rangi.
Sio kwangu, nikibaini una viashiria vya utovu wa nidhamu nakushughulikia instantly.
Utarudi kwenu no matter what.
acha kabisaDawa ya mwanmke ni kuwa jeuri tu na katili hata kaa alete mazoe ya kipuuzi puuz, ila mkichekeana hvyo hvyo atakuzoeaa vibay sna
chogo unatokea ukerewe afu Leo upo serious kinoma πLazima mke achote maji na awakarimu wageni kwa heshima kubwa.
Sisi kwetu ukerewe mama zetu walikuwa wanapiga hadi magoti mbele za mashemeji zao tena kwa heshima kubwa sana goti linapigwa mpaka linagusa ardhi.
Nyie WAFUGA KUCHA na MAKOPE na diploma zenu za kijinga hizo zenye D MBILI mnajifanya wa kisasa kumbe hakuna lolote mavi matupu ndo maana hamuolewi.
Kama huna adabu olewa na baba ako usilete visirani.
Yaani hapo ndo mwanzo..mikasa mingine itakujaakili akili akili akili
chukua maandazi kweny deli sioni shda in fact kama ni Anko wako na sawa na mtot wenu pia,na mtot kuandaliwa chakula na mamake sio poa anaweza kwenda kuchukua tu peke Ake ,kwanza kama ndo kamalza kdato hakuna shda,, labda la mke kuongea ongea lakn pia bible umesema tuishi nao Kwa akili maana ni viumbe dhaifu ,, hapo tuu msifie dogo ukiwa na mke wako kua walau kipato Cha familia kimeongezeka baada ya dogo kuja kweny saloon ,mwambie aone umuhim wa dogo ,alaf mletee mkeo zawad naye peke AkeDogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,
Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.
Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"
Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.
Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Acha ujinga mkeo amuandalie chakula dogo kama nani? Acheni kuwapa majukumu ya ma house girl wake zenu. Dogo Γ natakiwΓ atumwe na mkeo jikonu Γ kalete chai mezani.Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,
Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.
Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"
Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.
Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Dogo ni mtoto wa dada yangu mkuu sijamuajir tunapiga kaz apa salon nimempa kitu na mashine tujenge uchumi naye apate ya sabuniMkuu Kama ni dar vyumba ni elfu 40-50, mkoani hadi 30 una pata.
godoro used hadi 80 zuri.
halafu kijana si Ume muajiri, mbona una taka kumpa vyeo viwili??. yaani umpe kazi na umpe mfanya kazi ambae ni mkeo!!.
angalia uta gongewa na si mayai.
Wacha niangalie namna nikaribie kwa mzee Juma nitume washenga nione wao wanasemaje .Hahaha..........Kuna Binti wa Mzee Juma hapa jirani alimaliza kidato cha nne Mwaka Juzi, nafikiri huyu atakufaa Mzee mwenzangu, Kwa maana namwona yupo busy na shughuli za Kilimo tu
Heri ya Mwaka Mpya kwako Mkuu, ni neema ya Mungu kuweza kuona Mwaka Mpya
Huyu ng'ombe ndo anasababisha wanaume tunaonekana hatuna busara.Wanawake hua wanataka freedom,huyo dogo kampangishie chumba huko nje,
Dogo amekuja kufanya kazi/Kuishi,sio mgeni,
So,hawezi kupata treatment kama mgeni kwa siku zote,tatizo lako mleta mada,unaona kumuendesha mkeo hata kwa sababu za kijinga,eti ndio uanaume,
Uanaume ni busara,kujua una solve vipi issue za kifamilia,kuisimamia familia yako,
Sasa wewe jambo dogo kama hilo unakimbilia kulianika mtandaoni? halafu watu wakikushauri unawatukana na kuwakasirikia,sasa ulianzisha mada ya kazi gani?
Kumnunulia nguo dogo mpaka aambiwe huyo ni wivu unamsumbua.... Kabila gani kwanzasi kaona dogo katinga kitu new amesens tu sijamwambia mimi.
Kila la heri Mzee mwenzangu, hili baridi tusipochukua maamuzi ya kutafuta dogo Dogo, tunaweza kufa Kwa baridi πWacha niangalie namna nikaribie kwa mzee Juma nitume washenga nione wao wanasemaje .
Viumbe hao ni hatari sana,wana Roho mbayaDogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,
Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.
Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"
Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.
Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
πππKila la heri Mzee mwenzangu, hili baridi tusipochukua maamuzi ya kutafuta dogo Dogo, tunaweza kufa Kwa baridi π
Sasa ndo mkeo amuandalie chakula? Huyo ni mtoto wake kimahusiano lazima dogo atumwe na mkeo. Acha dharau kwa mke wako.Dogo ni mtoto wa dada yangu mkuu sijamuajir tunapiga kaz apa salon nimempa kitu na mashine tujenge uchumi naye apate ya sabuni
Dogo hashindi nyumbani kutoka sa 2 kurudi sa 2 freedom gani?Wanawake hua wanataka freedom,huyo dogo kampangishie chumba huko nje,
Dogo amekuja kufanya kazi/Kuishi,sio mgeni,
So,hawezi kupata treatment kama mgeni kwa siku zote,tatizo lako mleta mada,unaona kumuendesha mkeo hata kwa sababu za kijinga,eti ndio uanaume,
Uanaume ni busara,kujua una solve vipi issue za kifamilia,kuisimamia familia yako,
Sasa wewe jambo dogo kama hilo unakimbilia kulianika mtandaoni? halafu watu wakikushauri unawatukana na kuwakasirikia,sasa ulianzisha mada ya kazi gani?
Kwani uki mpa kiti na mashine si ndo ajira yenyewe, au una taka mpaka umpe mtaji.Dogo ni mtoto wa dada yangu mkuu sijamuajir tunapiga kaz apa salon nimempa kitu na mashine tujenge uchumi naye apate ya sabuni
umeoa?Sasa ndo mkeo amuandalie chakula? Huyo ni mtoto wake kimahusiano lazima dogo atumwe na mkeo. Acha dharau kwa mke wako.
Ndio walivyo, wanataka ndugu zao tuu ndio wajazane!Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,
Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.
Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"
Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.
Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.