Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Kuna siku atamuandalia chakula chako ndio utanyooka. Mkeo ni boss wa huyo anko acha kumshushia heshima.

Huyo kijana alipata privilege ya kuandaliwa akiwa mgeni ila sio utaratibu. Yeye ndio inatakiwa awaandalie nyinyi acha ujinga
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
 
Kuna siku atamuandalia chakula chako ndio utanyooka. Mkeo ni boss wa huyo anko acha kumshushia heshima. Huyo kijana alipa privilege ya kuandaliwa akiwa mgeni ila sio utaratibu. Yeye ndio inatakiwa awaandalie nyinyi acha ujinga
we boya ujaoa usikomemt huku
 
Kijana usi jitie kukariri eti maadili, zingatia na uwe na maono ya kila uamuzi unao chukua.

Mjomba wangu ali nichukua nyumbani nikiwa na miaka 18, ili nika jifunze kazi na biashara kwa ujumla.

Nili kaa nyumba kubwa (kwake) miezi 1, Baada ya hapo nili hamia nyumba ya nje.
Hii ili saidia kunipa uhuru binafsi, na hata kuheshimu wanao nizunguka.

Kula nili kula na vijana wake,(Kama familia) na si kutengewa na mkewe.
Chakula kina andaliwa ana itwa fulani kwenda kubeba.

Narudia uta gongewa na si mayai
Acha agongewe na malengo ya saloon waanze kupiga mkewe na anko.
 
Wanawake ni wabinafsi sana, nilipiga marufuku ndugu zake kwangu baada ya wakwangu kufanyiwa figisu na akanuna akaondoka sikupiga simu wala kumtafuata. Karudi na Baba na Mama yake kuomba radhi, nimewarudisha natafakari mpango wa kuishi na wanangu tu.
Huo ndio uanaume s kulia lia tu
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Unafeli sana ukishafikia utu uzima kuna vitu vidogo kama hivyo unapotezea mwisho utakuja kuonekana una gubu
 
Mkuu mpangie dogo chumba hawa wanawake wengi n wabinafsi sana angekuwa ndugu yake mambo yangekua tofaut
 
Mkuu sio mawazo ya kipepo bali ni uhalisia
Yanatokea sana hii dunia ina watu wa ajabu
Kama ukianza kumkaripia mkeo hivyo, kesho atachana nguo aseme kataka kunibaka
Kesi hizi nimezisimamia nilipokuwa nafanya kazi za matatizo katika jamii

Nikupe ushauri wa kiume mtafutie chumba hata cha bei rahisi la sivyo utapata shida sana Kama mke katokea kumchukia
Kila ndugu yake wakiume akija kukaa kwake amtagutie chumba Ili asigombane na mkewe?. Na ndugu wa mke nao wakija iweje?.
 
Speaking honestly........ BRAZA CHOGO Leo umenifurahisha kwa nondo Kali....

kumbe sio kila wakati umetawaliwa na muhogo wa jang'ombe....

Uje nioe kabisa nilikuwa KATAA NDOA.....

Itabidi nikuoe sasa

Au unataka ukammalizie Poor Brain kama alivyomfanya mwalimu na kukiona kifo......
 
Wana wake wengi kuishi na ndugu za mwanaume ni kazi, kuna hawa wangoni, wanyakyusa ni tabu lele,but that woman,was an awesome i credit her☺
 
Mkuu ajabu sana juzi dogo katoka kupambana kaleta hesabu fresh nakuta anakula andazi kashika mkononi et kaambiwa achukue tu kule. nilimaindi sana
Kuhusu kuandaliwa menyu ilo nisiliingilie ila ninachosema ni kwamba wanawake wengi hawajui kumteka kutawala furaha ya mtu anaeishinae ili andelee kutumika kuzalisha hela. (hawajui kukaa na raslimali watu)
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Umeandika makusudi tukutolee lugha chafu tupigwe ban? Unaharibu ndoa yako kipumbavu sana.
 
Back
Top Bottom