Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Huoni hata aibu kujiaibisha? Soma paragraph ya pili,
Chanzo kikuu cha kuletwa hii mada ni dogo kula maandazi mkononi,

"Nikamwambia hakikisha unamwandalia chakula" umeelewa hapo? Kwani maandazi sio chakula? Hiyo chakula imetajwa in general ila issue ni maandazi,

Kama unaona unipe Miwani,basi mimi naona wewe ndio unatakiwa upewe akili ya uelewa.


Ngoja niheshimu nukuu za wahenga..

Sito jibizana na wewe

NB.
If you can use that energy for your life, then you will not begging for food.
 
Kama kujipakulia msosi mbona simple tuu...... Hata nisipoandaliwa fresh ishu asinikunjie sura ama mdomo ndo ntashindwa kula

Kingine so lazima ukinunua kitu Cha dogo wife ajue......

Wanawake walio wengi ni wabinafsi na wachoyo hasa kwa ndugu wasio wake
haya mambo kuyamonita mpaka usome cuba,ndo utaelewa.
 
Hongera kufungua kitega Uchumi Mkuu, kupitia biashara pamoja na mshahara na Mapato mengine, kutasaidia familia yako iwe na ustawi mzuri

Ninachokushauri, nenda kampangie Chumba huyo Dogo wako wa Saluni ili wewe na Mkeo muwe huru

Sio Wanawake wengi hupendi Wageni, Wageni hufanya msiwe huru

Kama Mkeo alizoea kukaa na wewe mkikumbatiana sebuleni, kwasasa hapati Tena huo Uhuru

Jitahidi umpe furaha Mkeo

Kila la heri kwenu
Babu kwa ushauri wako huu akimpangia chumba tu na biashara inaenda kufa mazima..!!
Dogo hatokubali alale peke yake ghetto lazima atafuta wa kumpa kampani (Kausha damu)

Muhimu huyo faza hausi apunguze ubabe huyo dogo vitu vidogo vidogo awe anafanya mwenyewe..!!
Na maza hausi naye apunguze gubu
 
Jirani yangu mmoja alikuwa anatakiwa kuchotea shemeji zake maji ya kuoga...hivi kweli?!
Kuna makabila yana itikadi za kijinga sana, wengine wakifiwa na waume zao basi anarithiwa na shemeji yake..!!
 
Af ukiweza kuna vitu kwenye familia viache idara ya mkeo.
Sasa mwanaume unajua mpk nani kashika andazi, nani kaosha kijiko.

Ndo mana unapigwa vijembe badala ya mtu kuleta hoja mezani, iwapo kuna ulazima
 
Lazima mke achote maji na awakarimu wageni kwa heshima kubwa.

Sisi kwetu ukerewe mama zetu walikuwa wanapiga hadi magoti mbele za mashemeji zao tena kwa heshima kubwa sana goti linapigwa mpaka linagusa ardhi.

Nyie WAFUGA KUCHA na MAKOPE na diploma zenu za kijinga hizo zenye D MBILI mnajifanya wa kisasa kumbe hakuna lolote mavi matupu ndo maana hamuolewi.

Kama huna adabu olewa na baba ako usilete visirani.
aiseeh!
 
Babu kwa ushauri wako huu akimpangia chumba tu na biashara inaenda kufa mazima..!!
Dogo hatokubali alale peke yake ghetto lazima atafuta wa kumpa kampani (Kausha damu)

Muhimu huyo faza hausi apunguze ubabe huyo dogo vitu vidogo vidogo awe anafanya mwenyewe..!!
Na maza hausi naye apunguze gubu
Hahaha.......kwahiyo hofu ni kwamba Dogo ataanza kuiba ili kuweza kupata wapenzi

Vipi lakini akiendelea kukaa humo humo ndani hatotamani kumwiba Shemeji yake? Manake upwiru atakuwa nao pale pale
 
Af ukiweza kuna vitu kwenye familia viache idara ya mkeo.
Sasa mwanaume unajua mpk nani kashika andazi, nani kaosha kijiko.

Ndo mana unapigwa vijembe badala ya mtu kuleta hoja mezani, iwapo kuna ulazima
niache ili mambo yaharibike natazama?
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Yaani Hako katoto ndio kaandaliwe chakula? Kwa nini kenyewe kasiende kuchukua msosi ulioandaliwa?

Ndoa tamu ,hiyo ni treila
 
Hahaha.......kwahiyo hofu ni kwamba Dogo ataanza kuiba ili kuweza kupata wapenzi

Vipi lakini akiendelea kukaa humo humo ndani hatotamani kumwiba Shemeji yake? Manake upwiru atakuwa nao pale pale
na ndo wanakoelekea.
Dogo atapewa, kirahisi kabisa.
Atarudi hapa kuomba ushauri
 
na ndo wanakoelekea.
Dogo atapewa, kirahisi kabisa.
Atarudi hapa kuomba ushauri
Na kama mnavyojua, Vijana wa miaka 20 hadi 27 wanavyokuwa wamoto

Watafanya hadi sisi Wanaume zao tuonekana hatuna nguvu, maana si huwa tunapiga kimoja chali
 
Back
Top Bottom