nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
- #221
chakula mezani kinaandaliwa na nani?Hiyo ya shati haiko sawa ila hiyo ya chakula sijaona kosa la shemeji yetu. Kwangu msosi unawekwa dinning kila mtu anaenda kujichotea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chakula mezani kinaandaliwa na nani?Hiyo ya shati haiko sawa ila hiyo ya chakula sijaona kosa la shemeji yetu. Kwangu msosi unawekwa dinning kila mtu anaenda kujichotea.
Huoni hata aibu kujiaibisha? Soma paragraph ya pili,
Chanzo kikuu cha kuletwa hii mada ni dogo kula maandazi mkononi,
"Nikamwambia hakikisha unamwandalia chakula" umeelewa hapo? Kwani maandazi sio chakula? Hiyo chakula imetajwa in general ila issue ni maandazi,
Kama unaona unipe Miwani,basi mimi naona wewe ndio unatakiwa upewe akili ya uelewa.
......... anahitaji shenyento kwanzaYule chogo jau sana mkuu ahahahah
Wanaohusika kukiandaa jikonichakula mezani kinaandaliwa na nani?
haya mambo kuyamonita mpaka usome cuba,ndo utaelewa.Kama kujipakulia msosi mbona simple tuu...... Hata nisipoandaliwa fresh ishu asinikunjie sura ama mdomo ndo ntashindwa kula
Kingine so lazima ukinunua kitu Cha dogo wife ajue......
Wanawake walio wengi ni wabinafsi na wachoyo hasa kwa ndugu wasio wake
Babu kwa ushauri wako huu akimpangia chumba tu na biashara inaenda kufa mazima..!!Hongera kufungua kitega Uchumi Mkuu, kupitia biashara pamoja na mshahara na Mapato mengine, kutasaidia familia yako iwe na ustawi mzuri
Ninachokushauri, nenda kampangie Chumba huyo Dogo wako wa Saluni ili wewe na Mkeo muwe huru
Sio Wanawake wengi hupendi Wageni, Wageni hufanya msiwe huru
Kama Mkeo alizoea kukaa na wewe mkikumbatiana sebuleni, kwasasa hapati Tena huo Uhuru
Jitahidi umpe furaha Mkeo
Kila la heri kwenu
ndo yeye sasa,Wanaohusika kukiandaa jikoni
Ewaaah 👊🍺haya mambo kuyamonita mpaka usome cuba,ndo utaelewa.
Kuna makabila yana itikadi za kijinga sana, wengine wakifiwa na waume zao basi anarithiwa na shemeji yake..!!Jirani yangu mmoja alikuwa anatakiwa kuchotea shemeji zake maji ya kuoga...hivi kweli?!
upuuzi sana!Jirani yangu mmoja alikuwa anatakiwa kuchotea shemeji zake maji ya kuoga...hivi kweli?!
aiseeh!Lazima mke achote maji na awakarimu wageni kwa heshima kubwa.
Sisi kwetu ukerewe mama zetu walikuwa wanapiga hadi magoti mbele za mashemeji zao tena kwa heshima kubwa sana goti linapigwa mpaka linagusa ardhi.
Nyie WAFUGA KUCHA na MAKOPE na diploma zenu za kijinga hizo zenye D MBILI mnajifanya wa kisasa kumbe hakuna lolote mavi matupu ndo maana hamuolewi.
Kama huna adabu olewa na baba ako usilete visirani.
Hahaha.......kwahiyo hofu ni kwamba Dogo ataanza kuiba ili kuweza kupata wapenziBabu kwa ushauri wako huu akimpangia chumba tu na biashara inaenda kufa mazima..!!
Dogo hatokubali alale peke yake ghetto lazima atafuta wa kumpa kampani (Kausha damu)
Muhimu huyo faza hausi apunguze ubabe huyo dogo vitu vidogo vidogo awe anafanya mwenyewe..!!
Na maza hausi naye apunguze gubu
niache ili mambo yaharibike natazama?Af ukiweza kuna vitu kwenye familia viache idara ya mkeo.
Sasa mwanaume unajua mpk nani kashika andazi, nani kaosha kijiko.
Ndo mana unapigwa vijembe badala ya mtu kuleta hoja mezani, iwapo kuna ulazima
Yaani Hako katoto ndio kaandaliwe chakula? Kwa nini kenyewe kasiende kuchukua msosi ulioandaliwa?Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,
Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.
Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"
Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.
Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
na ndo wanakoelekea.Hahaha.......kwahiyo hofu ni kwamba Dogo ataanza kuiba ili kuweza kupata wapenzi
Vipi lakini akiendelea kukaa humo humo ndani hatotamani kumwiba Shemeji yake? Manake upwiru atakuwa nao pale pale
nasemajeeee.niache ili mambo yaharibike natazama?
Sawa.nasemajeeee.
unagongewa soon!
Endelea kujifanya unamdelegetia madogo mkeo.
Wanamla ukiwa hapo hapo.
Mark my words!
Na kama mnavyojua, Vijana wa miaka 20 hadi 27 wanavyokuwa wamotona ndo wanakoelekea.
Dogo atapewa, kirahisi kabisa.
Atarudi hapa kuomba ushauri