Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Nimemleta Anko kutoka kijijini, wife kaanza vijitabia vya ubinafsi

Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Mueleweshe kuwa dogo unamtumia kiuchumi. Sema mkeo anaweza ropoka
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
1. Dogo hapaswi kuandaliwa chakula...ajichukulie mwenyewe acha utemi..mfanye familia ajihudumie mwenyewe..mume ni mmoja tu hapo.
2. Mkeo naye njaa kali sharti tu ameleta kamdomo!
 
Chakula si kiwekwe tu sehem Mtu ajichukulie jamani tena kijana mdogo
 
Dharau inatokea wapi sasa?. Yaan mkeo kumuandalia mdogo wako wa kiume ni dharau?. Aisee ndio nimeona leo, uzuri Mimi nilikulia na kusomea kwa kaka yangu form one mpaka form four, shemeji alikua ananiandalia chakula na wakati mwingine hata kunifulia. Leo hii hapa nilipo si haba, nikiwa naenda nyumbani likizo lazima nipite na kwa brother wangu, siwezi acha mpelekea shemeji zawadi kwa namna nilivyo ishi nae.

Na namjli na kumuheshimu kama mlezi kwangu.

Nahata Mimi siwezi ruhusu mke wangu amdharau kwa namna yeyote ndugu yangu.
Ampikie ampakulie hapana uho ni ubwege uyo dogo anashindwa kupakua mnawalemaza hao vijana tena ingebidi mchana asonge ugali wali wote kama wewe haupo
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
mkuu hapo usicheke na kima simamia hapo hapo, hakikisha dogo anaishi vyema ili awe na morale ya kazi. Hawa viumbe "ke" nao wana madhaifu yao ikiwemo ubinafsi
 
Wanawake ni wabinafsi sana, nilipiga marufuku ndugu zake kwangu baada ya wakwangu kufanyiwa figisu na akanuna akaondoka sikupiga simu wala kumtafuata. Karudi na Baba na Mama yake kuomba radhi, nimewarudisha natafakari mpango wa kuishi na wanangu tu.
Hongera sana mkuu. Wanaume wanatakiwa wawe kama mimi nawewe una simama wewe kama wewe hapa jukwaani una letya feedback tu ziwe nzuri ama mbaya but tyr maamzi ulikwisha chukua
 
Kwenye case ya huyu jamaa mi nimeona issue ni moja tu ya kueleweka. Wife kugomba sababu tu dogo kanunuliwa nguo. Ila hilo la kutaka dogo atreatiwe kama mume nae, sio mchongo
Kabisa ujinga uho mm nilikaa na shemeji yng wakike yule ni mchoyo ila bro alikuwa anajua ila anakausha chakula nilikuwa napika nakula na bro siku akinuna
 
Kama sehemu ipo kubwa hapo nyumbani kwanini akapange?

Wahindi wanaishi pamoja ukoo mzima kwenye nyumba moja na wana upendo sana wanarithishana biashara na mitaji.

Nyie kuishi na dogo wa form four tu ni nongwa, ulafi wa ugali tu.

Aisee nachukia watu walafi wa maugali.... I hate it deeply and passionately.

Nikimbaini mtu mlafi namcharaza bakora halafu namfukuza.
Mkuu hapo kwenye ulafi wa maugali aisee hakika wanawake karibi asilimia 90 ni walafi wa maugali na wabinafsi na wana roho mbaya na ukitaka kumjua mkeo subiri ndugu zako waje kwako wakae hata siku mbili…
 
Wanawake mna ubinafsi sana.

Kwanini hampendi ndugu wa Mume?
Kwasababu ndugu wa mme mna kiranga sana 😹😹

Yani we unaweza kuwa kwako unakula dona na harage ila ukienda kwa mke wa kaka ako ukila tu hata wali maharage yatakutoooookaaaa aaah si ungebeba hiyo nyama unayoitaka kula 😂😂😂
 
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Mkeo ana umri gani, elimu na kabila gan?
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri,

Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya amuandalie wakati siku za mwanzo alikuwa anamuandalia. Nikamwambia hakikisha unamwandalia Chakula isijirudie tena.

Majuzi nimemnunulia dogo shati nikasikia anaongea "eeh nguo mnajinunulia tu wenyewe" . nikamwambia we sijakununulia majuzi tu. jibu lake "hata kama"

Visirani visivyokoma utakuta siku mbili kafunga uso.

Hana akili aisee, dogo anatuingizia hela kila siku hesabu kutoka salon anashindwa kujua hilo. ujinga tu hawa watu.
Mkeo atakuwa ametoka familia masikini sana
 
Wachaa...umeguswa pia. Iko hivi, ukitaka familia zikae sawa bila kujali ndugu wa kike au kiume, hasa wageni wenyeji, ni kuwaingiza kwenye mfumo wa mazingira yenu. Na hiyo heshima ihubiriwe kwa pande zote wenyeji waheshimu wageni na vivyo hivyo kwa wageni. Heshima pande zote inapunguza makando kando mengi ikiwemo hii ya roho ngumu ya kukwazika na mtu kununuliwa shati.
Kikubwa ni mawasiliano mema kati ya wenye nyumba wenyewe, hasa kwenye mustakabali wa ndugu zao.
Ila bado nakataa, nikaanze harakati za kusomba maji ya shemeji wa form 4! Hapana, na kufuga kucha au bila kufuga hapana.

Kwasababu ndugu wa mme mna kiranga sana 😹😹

Yani we unaweza kuwa kwako unakula dona na harage ila ukienda kwa mke wa kaka ako ukila tu hata wali maharage yatakutoooookaaaa aaah si ungebeba hiyo nyama unayoitaka kula 😂😂😂
Wanawake acheni roho mbaya.

Mnakuwa wachoyo hadi aibu, Mnaumia ndugu kula ugali.
 
Wanawake acheni roho mbaya.

Mnakuwa wachoyo hadi aibu.
Ni hivi hakuna mtu anaependa kuingiliwa kwenye himaya yake....hata wewe faza hausi akija kidume ndani akakaa levo za faza hausi hautataka.

Sasa ndugu zenu wanashindwa kuelewa hiyo ni himaya ya mwanamke mwengine wanakaa bila mipaka....jua tu lazma moto uwake hata kama ni wa chini chini.

Solution: kila mtu akae kwake
 
Ni hivi hakuna mtu anaependa kuingiliwa kwenye himaya yake....hata wewe faza hausi akija kidume ndani akakaa levo za faza hausi hautataka.

Sasa ndugu zenu wanashindwa kuelewa hiyo ni himaya ya mwanamke mwengine wanakaa bila mipaka....jua tu lazma moto uwake hata kama ni wa chini chini.

Solution: kila mtu akae kwake
Naunga mkono hoja yako

Huwezi mleta mdogo wako af utake asifanye chochote hasa ha watoto wakiume hawa hizi ni lawama kabisa kwangu mgeni wa kiume kama hana msaada wowote atakaa siku tatu tu kesi najua zitakuwa nyingi toto linalala mpaka saa nne wewe mwenye nyumba umeamka una angaika na fagio kusafisha uwanja NO
 
Wachaa...umeguswa pia. Iko hivi, ukitaka familia zikae sawa bila kujali ndugu wa kike au kiume, hasa wageni wenyeji, ni kuwaingiza kwenye mfumo wa mazingira yenu. Na hiyo heshima ihubiriwe kwa pande zote wenyeji waheshimu wageni na vivyo hivyo kwa wageni. Heshima pande zote inapunguza makando kando mengi ikiwemo hii ya roho ngumu ya kukwazika

Ni hivi hakuna mtu anaependa kuingiliwa kwenye himaya yake....hata wewe faza hausi akija kidume ndani akakaa levo za faza hausi hautataka.

Sasa ndugu zenu wanashindwa kuelewa hiyo ni himaya ya mwanamke mwengine wanakaa bila mipaka....jua tu lazma moto uwake hata kama ni wa chini chini.

Solution: kila mtu akae kwake
Huu ni Ubinafsi wa kiwango cha juu kabisa.
 
Back
Top Bottom